Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kifungu hiki cha bajeti kingefaa kuweka nafuu ya kodi kwenye vifaa vya ujenzi ili wananchi waweze kujenga nyumba bora za kuishi kwa bei nafuu. Hii ya kusamehe tu kodi ka NHC haitoshi kwani ni...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Obviously hakubaliani na mengi yanayoendelea ndani ya chama tawala na kutokana na kauli zake za public na private inaonekana hana interest na CCM na ni wazi anatekeleza ilani ya CHADEMA. Sasa...
1 Reactions
56 Replies
5K Views
Utashi na mtu atkavyokuwa baadaye huanzia tumboni mwa *****.yapo mambo mengi yanayotokea wakati mtoto anakuwa tumboni na baada ya kuzaliwa.yote haya yana sababishwa na mambo mengi sana ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimegundua kuwa mawaziri wa JK huwezi kutuliza akili ukawasikiliza kabisa. Kwanza hawako connected wanapoanza kutoa hotuba zao, yaani namaanisha akisema kitu kimoja hafikishi mwisho anaanza...
2 Reactions
31 Replies
4K Views
Natoa rai wakuu ianzishwe thread special huku JF ya kuipongeza na kuisifia serikali na nyingine ya kuikosoa serikali. Inanichanganya kuona kila post ina comments za kuiponda serikali ina maana...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Natoa rai Kwa Kikwete kuwa utaitumbukiza nchi yetu kwenye majanga. Wamarekani sio watu, ni wauaji. Hakuna mahali walipokwenda waamerika pakawa na ustawi. Ni fathers of exploitation of human being...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hivi sasa ndugu zangu hapa Sumbawanga wanalalamika kupata mbunge ambae hana elimu. Wanasema eti CCM ingesimamisha mtu aliye na elimu huenda wangepata angalau waziri hata mmoja ambae angeharakisha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani wanajamii wenzangu mi nipo udom kama kuna mtu wa udom humu ndani na anajua mahali kadi zinapatikana anielekeze jamani
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Mkapa alipoingia madarakani alianzisha TACAIDS kwa madhumuni ya kupambana na janga la ukimwi Tanzania na alipoingia Kikwete alianzisha NACP kwa ajiri ya madhumuni hayo hayo na mbaya zaidi kwasasa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Moral reasoning lies at the heart of the debate on separating business and politics. It emphasizes the need to do the right thing by the right means inoder to achieve a specific end..
0 Reactions
31 Replies
3K Views
TRA yajipanga kudai mabilioni CHADEMA * Ni ya ukwepaji kodi kwa miaka 19 * Wajitetea kupoteza kumbukumbu Na Mwandishi Wetu CHAMA cha CHADEMA, ambacho kinadaiwa kukwepa kulipa kodi...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Habari wandugu. Nina ndugu yangu anafanya vitengo muhimu vya serikali kama mwanauchumi, kuna taarifa kuwa hadi sasa serikali imechukua kodi mpaka ya decemba 2011 yaani serikalu imepigika haswa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Topic; Uganda's walk to Work Protest
0 Reactions
1 Replies
1K Views
He is so powerful, well connected, collected, he knows his targets, his enemies, timing well for presidential candidate to be thru CCM, i see him from a distance kashajipanga vizuri, wabaya wake...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Namsikiliza Kintu Nyago na Dr. Besyigye, mdahalo ni 'maandamano ya kazini kwa mguu. Shaka kauliza: what brought you here? Besigye: medical chech up for being brutally...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA), John Heche amesema ataandaa mikutano itakayofanyanyika nchi nzima kulaani kitendo cha kukamatwa na kuwekwa ndani mwenyekiti wa chama hicho...
0 Reactions
76 Replies
5K Views
baada ya waziri wa fedha kuisoma budget 2011/12 ambapo vipaumbele kua umeme,kilimo,ajira,maji na miundombinu. . Lakini hii bajeti kw asilimia kubwa ni tegemezi kwa maana ya kutoka nje na kukopa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Haya nilipo umeme umeshalaza mpaka kesho asubui alafu eti jana Gamba kuu anasema tutaiuzia south africa umeme.hahahaha siasa bwana naitamani sana ila naogopa kuwa muongo wa waziwazi yani kuahidi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani kati ya wafanyakazi wanaostafuu na kuwa na maisha ya kifukara na ombaomba ni wanajeshi na polisi. Usimwone kagonja anavimbisha mashavu, na anaongea kwa kukejeli wapinzani waofanya kazi ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wana JF. Kuna article moja nimesoma kuwa usalama wa taifa wamesomea zaidi jinsi ya kudhibiti upinzani nchini zaidi ya jinsi ya kulinda usalama wa taifa. Wapinzani wawe makini sana na simu zao...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom