Mwenzenu nashangaa kuona kila mwaka bdhaa ambazo serikali inazipiga vita(sigara na pombe) kuwa ni hatari kwa afya zetu ikijidai inatujali! kumbe wizi mtupu,..lakini bidhaa hzo hzo zinategemewa kwa...
What is the Job of TZ VP? Attending Meetings Unessearly? look at US Delegates they are just officials not even their Ambassador @ the UN... waste of our forex while we did not even have enough...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal akisalimiana na mtangazaji wa Redio ya Umoja wa Mataifa (UN) Flora Nducha wakati mtangazaji huyo alipofika kwa ajili ya...
Serikali yetu ina maamuzi ya ajabu sana!. Je ni kwanini wasingekuwa na 20%-25% share kwenye Gold badala yake wanawekeza kwenye ATC ambayo ina ndege moja ya kokodi, moja mbovu na wafanyakazi...
HATMA ya kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, itajulikana Jumatatu ya wiki ijayo kwa kuwa mdhamini wake amejisalimisha mahakamani jana...
Nasoma kwenye ippmedia, eti Dar mgawo wa maji kuendelezwa mpaka 2032 (Authority keen to end Dar water blues by end of 2032). That is a whole generation of 31 years!!!. With life expectancy at 46...
The Citizen Team
9 June 2011
Concerns have been raised over Finance minister Mustafa Mkulo's failure to show how gains in the 2011/12 Budget will trickle down to improve Tanzanians'...
Wakati CCM wanajaribu kudumisha amani, Chadema wana mtazamo tofauto kwamba amani bila maendeleo ni bure. Je, maendeleo bila amani itakuwa vipi? Basi nashauri vyama hivi na wadau wao, wajaribu...
The Dar es Salaam Water and Sewerage Authority (Dawasa) has unveiled an ambitious plan to meet increasing water demands in Dar es Salaam and Coast regions by 2032.
Addressing Bagamoyo water...
Pengine kuna yeyote aliyeichimbua kwa kina bajeti yetu 2011---, ninamsihi aonyeshe uwepo direct wa fungu la mahakama kama ilivyyo kwa bunge..>>,na ninaona wizara ya sheria ina 4..bil tu je ni...
Nilimsikiliza Nape Juzi akihojiwa Mlimani TV, moja kati ya mikakati yao ni kuwafikia vijana wengi popote walipo. Kati ya njia wanazozitumia ni kutuma vijana waingie kwenye mitandao ya kijamii...
Watanzania wamekupa cheo cha juu na heshima kuliko vyote hapa tanzania.lengo na matarajio ni uongozi na utawala bora.kama wewe hushiriki unayoyakanusha je uoga ni wa nini basi?wewe kama kiongozi...
kwa hali inavyoendelea na jamaa anavyojipanga kuelekea ikulu hana tofauti na jacob zuma jinsi alivyosalitia na bwana thabo mbeki but kutokana na nguvu yake ndani ya ANC akafanya mapinduzi mpaka...
Nadhani mtu akiangalia jinsi mambo yanavyoendeshwa hapa nchini anaweza kuumwa kichwa. Binafsi nlikua nawapa heshima kubwa sana viongozi wetu wa kisiasa, lakini kwa kilichotokea pale UDOM sinahamu...
Ni mbunge wa CUF viti maalum, mbunge pekee wa viti maalum wa CUF aliye active bungeni. Magdalena Sakaya kwa kweli ananifurahisha sana akisimama bungeni na kuongea. She talks sense and she means...
Na Bishop J. Hiluka
Dar es Salaam
RIPOTI iliyotolewa na shirika moja linaloheshimiwa sana nchini Afrika Kusini inayoonesha kuwepo
orodha ya wapiga kura hewa milioni 2.6, kwa dhamira ya...
Shirika la Iritongo Conflicts resolution and Development Initiative Movement (ICORMID) kwa kushirikiana na Star Tv kupitia kipindi chake cha HOJA YANGU, limeandaa mdahalo utakaowahusisha...
hivi majuzi rais wetu alisema eti watanzania wanapenda sana bodaboda.
swali langu ni hili>
Hivi kweli raisi wa nchi hajui kwanini watanzania wanatumia usafiri wa bodaboda?
hivi ndio sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.