Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Makamu mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya huduma za jamii Dr Ndugulile ameharibu mlolongo wa bajeti, ana kampuni ya mambo ya maabara na anaharibu utaratibu wa kuendeleza vitengo kwa kubamba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MIAKA 50 YA UHURU: Watoto na wazazi wa Kijiji cha Oliipil, Loliondo mkoani Arusha wakisubiri wauguzi na madaktari kutoka Hospitali ya Wasso kwa ajili ya kliniki. Jengo linaloonekana ndiyo...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Leo naona media zinatetea upupu wa blahblah za kikwete kugeneralize viongozi wa dini na dawa za kulevya.huyu shehe basalehe Anapayuka.nzowa anabwabwaja tu.mwandishi haulizi maswali magumu.mfano...
2 Reactions
35 Replies
3K Views
Mwandishi Saed Kubenea leo ameondoka kuelekea India kwa matibabu ya macho na baadae Sweden ambako atakutana na wataalamu wa kampuni iliyotengeneza mtambo wa kuchapa magazeti alioununua hivi...
0 Reactions
56 Replies
5K Views
Tanzania tumekuwa tukijivua amani kwa miaka mingi sana na hadi leo licha ya viongozi wetu kuonyesha dhahiri akili zao zimefika mwisho wa kufikiri yaliyo na amani na kuanza kutumia njia za utawala...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Jana Wabunge wa upinzani wa nchini Uganda walitoka nje ya Bunge la Uganda wakati Rais wa nchi hiyo,Yoweri Kaguta Museveni,alipokuwa anaendelea kuhutubia. Tukio hilo lilitokea mara tu baada ya...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Wana Jf Jana Mwenyekiti wa Kamati ya REFORMS UVCCM, Hussein Bashe akiwa katika Mkutano Mkuu wa Uvccm Mkoa wa Dar es Salaam, alitoa Onyo kwa UVCCM na Chama Cha Mapinduzi, Bashe alisema Wakati...
10 Reactions
221 Replies
22K Views
Ahadi za Kikwete: Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa-Nzega, Tabora Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda- Tanga mjini Tabora kutumia maji ya Ziwa...
0 Reactions
1 Replies
959 Views
Na Yona F Maro (from wanabidii) Jun 7, 6:01 pm Kumekuwa na mijadala kwenye mitandao hii juu ya Mhe Raisi kutuhumu baadhi ya viongozi wa dini kujihusisha na biashara za madawa ya kulevya na...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Heko heko watanzania serikali yenu itakuwa imewasikiliza vya watu wengi budget ya neema ndo imewadia wafanyakazi walimu kupata unafuu wa maisha, kodi kushuka kwa 6% katika mafuta hapa kila mtu...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Uhasama wa CCM, CHADEMA Arusha wahamia serikalini Mbunge Lema asusiwa hafla na vigogo watendaji Awezesha wanafunzi 400 wa shule za kata kusoma bure UHASAMA wa kisiasa baina ya watendaji wa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu, tunaomba mwenye copy ya budget aiweke humu. Nakumbuka mwaka jana muda kama huu tulishaipata. Nilitegemea mwaka huu tumejivua GAMBA basi budget ingepatikana mapema zaidi.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna mtafaruku hapa duce,wanafunzi wa mwaka wa tatu wamejikuta wote wanadaiwa ada licha ya kuwa wanapaswa kulipiwa na bodi ya mikopo.chuo kinatupia lawama bodi na bodi inatupia lawama chuo.hali...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Serikali ihalalishe matumizi ya BANGE NA GONGO SASA kwani ongezeko la kodi kwenye bidhaa hizo hatutaweza kumudu gharama za matumizi ya Bia na Sigara tena KELEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Uzoefu unaonesha kuwa watawala wa Kiafrika huwapa vyeo jamaa zao katika taasisi nyeti za dola ili wasichukuliwe hatua wanapofanya ufisadi. Kuna umuhimu wa kuanzisha Mahakama Huru ya Kimataifa ya...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni hari ya kusikitisha sana hasa kiuchumi nchi inavyoaanza kuchumia tumbo baada ya kuwekeza kwenye kuindeleza. Huu ni uchumia tumbo kabisa hasa unaopoona budget ya 2011/2012 ya 11.9 tr/- out of...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Jeshi la polisi limedaiwa kufanya tena mauaji,mugumu mkoani mara ambapo safari hii,askari wa kituo cha mugumu wilayani serengeti wamedaiwa kumuua Nyitamboka Mwita(28)kwa kumpiga risasi akiwa...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha, linamshikilia na kumhoji anayedaiwa kuwa ni mfuasi wa Chadema, Prosper Mfinanga (40), mkazi wa Kijenge kwa tuhuma za kutembea na bango lenye maandishi...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Nafuatilia hotuba ya rais wenu JK, anatoa historia ya uchumi TZ tangu enzi za uhuru. Eti uchumi umekua kwa asilimia 7 ikilinganishwa na malengo ya asilimia 8. Anajitahidi kusisitiza kuwa hali...
0 Reactions
291 Replies
18K Views
Mafisadi CCM wageuka mbogo Na Jabir Idrissa - Imechapwa 01 June 2011 Lowassa, Rostam wamkoromea Msekwa SASA ni piga ni kupige ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Wanaotuhumiwa kwa...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Back
Top Bottom