Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wana jamii nimefuatilia kikao cha bunge jioni hii na nilichogundua kikubwa ni kuwa mwenyekiti wa bunge ambaye pia ni mbunge wa kibakwe ambayo ni moja ya majimbo wilayani mpwapwa mkoa wa dodoma...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamani, Naangalia TBC1 hapa kipindi cha usiku wa habari, mtangazaji anawahoji wananchi mbali mbali kuhusu bajeti kama wanajua maana yake au kama wamesikia kama bajeti imeshatangazwa, 98% ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
This is how dictatorship begins! It starts by rigging [kuchakchua] elections, when they have lost the confidence of the voters, then clobbering protesters and shooting them dead, then random...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mheshimiwa Magufuli yupo ITV akitoa mikakati mbalimbali ya Kujenga Barabara! Jamani Magufuli yuko smart sana anashusha vitu!
1 Reactions
2 Replies
1K Views
NCCR-Mageuzi MPs to direct on allowances By Lydia Shekighenda 13th June 2011 NCCR-Mageuzi Members of Parliament today plan to submit letters to finance Minister Mustafa...
0 Reactions
0 Replies
642 Views
Wana JF; Nimekaa na kulifikiria sana baraza la Mawaziri wa serikali ya CCM inyoongozwa na JK! Nimekwenda mbali zaidi kwanza kukukmbuka hotuba zake ndeeefu wakati wa kampeni akisoma Ilani ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WAZIRI Kivuli wa Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), na Mbunge wa Viti Maalumu Chadema, Leticia Nyerere amejiuzulu wadhifa huo.Hatua ya kujiuzulu kwa mbunge huyo imekuja kipindi kisichozidi miezi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
1. Waachane na maandamano 2. Watafute wanachama kila pembe ya TZ na uongozi wote wa juu wa CHADEMA uwe na sura ya KITAIFA SIO KIKANDA 3. WAMSHAWISHI MTU KAMA SITTA au KAMA dr SLAA ATAGOMBEA...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Tabora kimemvua uanachama wa chama hicho Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Gongani, Bi. Rajia Mrisho huku kikimwondoa Bw. Emmanuel Kasoga katika nafasi ya Katibu...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Bunge linaloendelea sasa linakera Sana maana ni sehemu ya mipasho,majungu,fitna,chuki na mipasho yaani hakuna anaeomba muongozo kwa kifungu maana inaonekana hawajui wanasimama tu na kupashan SITTA...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
iMEKUWA KAWAIDA SIKU HIZI KWA WANAJAMII KUPOST VICHWA VYA HABARI TU HUMU NDANI... HAPO TUNAKUWA HATUSHEI TENA HABARI MAANA UNAKUWA UNAIJUA WEWE MWENYEWE HALAFU SIE WENGINE TUNASHINDWA KUELEWA NA...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hali ni tete katika maeneo ya Ukumbi wa bunge Dodoma, Polisi wa kikosi cha kutuliza fujo wametanda kila kona kuzunguka Ukumbi wa bunge kwa hofu ya wanachuo wa UDOM kuzuia shughuli za Bunge, tangu...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
UJUMBE WA WAZI KWA MHE. EDWARD LOWASSA: “Uchaguzi ni wako” Na. M. M. Mwanakijiji Endapo aliyekuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Edward Lowassa (CCM-Monduli)...
1 Reactions
138 Replies
17K Views
Askofu Mkuu wa Kanisa katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam Muadhama Polycarp Kardinali Pengo akimkaribisha ofisini kwake Katibu Mkuu wa CCM Wilson Mukama jana mjini Dar es Salaam ambapo pamoja na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Aaanza kunukuu magazeti kuhusu Posho za wabunge Hata hivyo Busara za Mwenyekiti zimetumika kumwepusha mzee huyu na aibu
0 Reactions
0 Replies
922 Views
THE Controller and Auditor General (CAG), Ludovick Utuoh, has urged the government to rethink plans to privatise key state-run companies, warning that the loss of state ownership and control over...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kutokana na maelezo aliyoyatoa Nape kuhusiana na issue ya posho nadhani kuna kitu hakuelewa vema kutokana na posho zinazidaiwa zifutwe, kwa jinsi nilivyomuelewa zito anataka pesa wanazolipwa...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Ally Mkoreha, Dodoma WAKATI mjadala kuhusu bajeti ya serikali katika mwaka wa fedha wa 2011/12, ukitarajiwa kuwa mkali ndani ya Bunge, kufuatia hatua ya awali ya Kambi Rasmi ya Upinzani, kupinga...
0 Reactions
48 Replies
4K Views
Vijana ni Taifa la Leo, Tupeni nafasi watoto ndio taifa la kesho 'Budget ya mwaka huu inatekeleza usemi huu'
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Migogoro ya madini kati ya wawekezaji na wachimbaji wadogo wadogo yaendelea kushika kasi..vijiji vya Mang'onyi, Taru na Londoni ni baadhi ya vijiji vyenye utajiri mkubwa wa madini aina ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom