Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Chama cha magamba kwa sasa kimepoteza mvuto kwa wananchi hasa vijana. Hili halina ubishi na limeshasemwa mara nyingi. Tathmini yangu ni kwamba, ifikapo 2020, chama hiki hakitakuwepo tena au...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Waraka wangu kwa Wabunge CHADEMAIkiwa leo ni Ijumaa ya 17 Juni 2011 tayari siku 9 za bunge la Bajeti zimekwishaondoka huku dhahiri kambi ya wabunge wa CDM haijakaa imara katika kutetea hoja zao...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
RAIS mstaafu wa UJERUMANI Hosrt Kohler atakutana na viongozi wa kitaifa wa CHADEMA mjini Arusha siku ya Ijumaa tarehe 17 Juni 2011. Taarifa zaidi ya kikao hicho tutawaletea baadae. source...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
The basic principal of survival is adaptation. What do you have to adapt to? Change? Can you avoid change? If you ask anyone they will tell you change is constant. The reason we humans have...
0 Reactions
0 Replies
676 Views
Habari ya leo wana JF wenzangu, najua kwa sasa macho yote ya watz yapo kwenye suala la posho na tumesahau kabisa kuhusu mkwara aliowachimba DK. Slaa na Mch. Mtikila, ninachojiuliza ni mbona alitoa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Leo ni Alhamisi dk 30 zijazo tutamshuhudia waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Kayanza Peter Pinda akijibu maswali ya Papo kwa papo kwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya...
6 Reactions
196 Replies
15K Views
Salaam, Posho za Vikao zinapingwa kwa sababu zinakataa mantiki- Mbunge kutokana na nafasi yake ni wazi atahudhuria vikao mbalimbali vinavyoendana na majukumu yake hivyo kumlipa posho kwa...
2 Reactions
70 Replies
5K Views
CDM na vyama vingine vya upinzani nashauri muwekeze sehemu kubwa ya mlichonacho kwenye hili la BALALI.. For sure it can be the last touch to win this Game of finishing CCM kwenye fikra za watz...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa jinsi bunge linvyoendeshwa na kitendo cha spika kuwanyima nafasi wabunge wa upinzani kujieleza kinazidi kuwafanya watanzania kuendelea kuichukia serikali ya ccm. ccm itakufa na haitafufuka kamwe.
0 Reactions
0 Replies
693 Views
Hodi wanaJF! Naomba kujuzwa na wanaojua. Hivi EL, RA na Chenge wanahuduria vikao vya bunge vinavyoendelea? Nauliza kwa sababu wameandamwa sana na chama chao. Kama wanahuhuduria basi ni majasiri...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mama mkongwe kwenye kile chama cha magambaza ameshindwa kujizuia tbc muda sio mrefu na kuanza kummiminia jj mnyika sifa kibao na kumuambia wazi kuwa anamuombea mungu jj arudi bungeni 2015 na...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
14 June 2011 Dodoma — The minister for Defence and National Service, Dr Hussein Mwinyi, has refuted reports that Zanzibaris are subjected to rigorous health screening when applying to join the...
0 Reactions
0 Replies
597 Views
  • Closed
Ripoti hii ina mambo yake na ina hoja zake. Kama nilivyoahidi, baada ya hii ni sabbatical ya muda mrefu kupumzika (details in the report). Enjoy na tuwashukuru wale wote ambao wameweka mikononi...
10 Reactions
58 Replies
6K Views
Lissu aibua bungeni mauaji ya Nyamongo NA WAANDISHI WETU Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, (Chadema) Spika wa Bunge Anne Makinda, ametaka Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wednesday, June 15, 2011 Na Deodatus Balile INANIWIA vigumu jinsi ya kuanza makala hii, kwani safu hii imekuwa na utaratibu wa kuja na kupotea. Inapotea si kwa nia mbaya, bali kutokana na mbanano...
1 Reactions
40 Replies
4K Views
Dah wana JF mmemcheck Jenista Muhagama alivyoliongoza Bunge leo japokuwa U-CCM ulimwathiri wakati akiliongoza Bunge leo toka asubuhi lakini ameonekana imara na kujiamini kuliko Mama Makinda?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mambo yanavyoendeshwa hapa tanzania ni kama vile kubadilishana kipande cha chupa kwa kipande cha almasi.fikiria uwanja wa ndege kama kia unakodishwa kwa usd 1000.mrahaba unaotokana na madini...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama kuna mtu ana report (zote au mojawapo) kati ya ile Waziri Masha juu ya madini na ile ya tume ya Nyalali ya mwaka 1991 nitashukuru sana kama atatutupia pande hii. I have been googling it up...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Hili Baraza la maadili nashindwa kuelewa utendaji wake upo vipi? Kuna haja gani ya kutumia resources nyingi kuwaita watu na kuwahoji? wanashindwa vipi kuwapigia simu? kwanini kurudisha form inakua...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wdau embu nisaidieni kwenye red (from Wikipedia) The Tanzanian national anthem is Mungu Ibariki Africa (God Bless Africa), composed by South African composer Enock Sontonga in 1897. The tune...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Back
Top Bottom