Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
WanaJF naomba msaada kujua Kituo Cha Mafuta(PETROL STATION)ina uwezo kiasi gani wa kuhifadhi mafuta?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NIMEFUATILIA KWA MAKINI YANAYOENDELEA HAPA NCHINI. HIVI CHAMA CHA MAGAMBA KIMESHATAFAKARI MAMBO YAFUATAYO? Hivi hawaelewi kuwa 2015 wapiganaji wa kweli tukichukua nchi ni watu wangapi wataihama...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Zitto Kabwe, a Tanzanian Member of Parliament from the opposition party Chadema was arrested on June 4 in Central Tanzania soon after holding a public rally. The rally was one of the series of...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
By In2EastAfrica - Thu Jun 02, 1:02 pm Civic United Front (CUF)'s Publicity Director Salum Bimani also joined Chadema's Dadi Kombo to express concern about the low turnout When...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Mi nashindwa kuelewa hivi hii tanzania tumelaniwa na nani? wala tusimsingizie Mungu[GOD] labda gods,kwani haiwezekani kila mambo ya ajabu ajabu tu,yawe yanatokea kwetu!Inawezekana vipi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wenyeviti wa vijiji vitatu vilivyopo Kata ya Nyamongo, wilayani Tarime wametua jijini Dar es Salaam na kueleza wanaunga mkono viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutetea...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mimi ni mwanachama wa CCM lakini kusema kweli...chama chetu kinaelekea kusiko....naomba nieleweke vizuri....chama chetu kinaitaji sura mpya..tena zenye uwezo..uwezo ninaousema mie sio uwezo wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
aibu kwa hao green guard (police) yan mafisadi wanatesa tu mtaani wao wapo busy kutekeleza mawazo na fikra za mwenyekiti kuwanyanyasa wapinzan.... naona ameanza kucopy ya mwenzie museveni na...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Imeandikwa na Oscar Job; Tarehe: 4th June 2011 MBUNGE wa Kinondoni, Idd Azzan, amekanusha kuomba radhi kwa uongozi wa CCM Mkoa kutokana na kauli yake aliyowahi kuitoa, kutaka uongozi huo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
  • Closed
Ndugu zangu, Sikutaka kabisa kushiriki katika hii mitandao ya kijamii ambayo mimi niliiona kama ni ya kihuni, lakini nimegundua kwamba kuna vitu vya msingi sana ambavyo huwa vinajadiliwa humu na...
9 Reactions
63 Replies
7K Views
Ndugu wanajamvi, Mimi huwa sina kawaida ya kuandika porojo hapa jamvini, jana kuna rafiki anaefanya kazi idara nyeti alinifata ili twend tukapate moja moto moja baridi, Sasa kutokana na hali...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoani Mwanza, Boniphace Magembe (32) amepandishwa kizimbani kwa mashitaka ya kujipatia fedha Sh milioni 20 kwa njia ya udanganyifu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa na mkewe, na Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa nyakati tofauti wametua jana katika uwanja wa ndege wa Ruhuwiko Songea kwa ajili ya kuhudhuria shughuli za Jubilee...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Viongozi na jami ya watanzania na duniani kote. HAKI na UADILIFU ni walinzi pacha ambao hulinda watu Madhumuni ya haki ni kuleta umoja kati binadam Muwe na haki kwenu wenyewe na kwa wengine...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Kosa ni kuendesha mkutano wa hadhara baada ya saa 12 jioni. Habari zaidi tutapeana hapa, inaelekea leo ni siku ya kamatakamata. UPDATES: Inadaiwa katolewa rumande na kaambiwa aripoti kesho polisi
4 Reactions
88 Replies
11K Views
Kwa kweli me hawa ccm hata cwaelewi cause kila wanapofanya mikutano yao lazima waombee watu kuja kuhudhuria mikutano yao, juzi kati hapa alikuja mwenyekiti wa maghambani kwenye uzinduzi wa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
CCM bwana, Mbona wanashindwa kutofautisha alama ya kuzidisha (X) na kujumlisha(+)?: Angalia 2+3=? Jibu: CCM =6, CDM =5 Il kuishinda CDM, Mahesabu ya CCM ni:- 1. Nyang'anya hoja ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ni kweli katika miaka 50 tangu kupata Uhuru wetu kuna mafanikio yamepatikana. Ni lazima kumshukuru Mungu na wale waliofanikisha kupatikana kwa mafanikio hayo. Lakini ninapotakari na kujiuliza...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
KIPAUMBELE cha serikali katika Bajeti inayotarajiwa kusomwa wiki ijayo kitakuwa ni miundombinu baada ya kuelezwa kwamba Wizara ya Ujenzi inayoongozwa na Dk John Magufuli imetengewa kiasi...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Mimi nimekuwa mfuatiliaji wa siasa za hapa kwetu tz kwa muda mrefu sasa na nimefika hatua nimeamua kutojihusisha wala kushabikia siasa za hapa nchini kwa sababu zifuatazo ,kwanza hakuna vyama vya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom