Hv haya ma ccm yanakuaje jamani? Utakuta kuna shughuli za kiserikali zinafanyika labda uzinduzi wa madarasa nk, pale mambo ya kichama yanakua hayapo tena, ila utayakuta yamevaa me tisht ya kijani...
Mkuu wa Wilaya ya Singida Pascal Mabiti akizungumza na wananchi wa Kata Mpya ya Lighwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Singida.
Mkuu wa Wilaya ya Singida Paschal Kulwa Mabiti ameahidi...
Nashindwa kuipata hii picha: Mtu wa magwanda ya kijani - tuseme Nape au Chiligati au Hizza anahutubia jukwaani kwenye mkutano wa hadhara wa chama halafu FFU wanakwenda kumteremsha na kumtia...
]Kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mpendazoe, anatarajia kufanya uzinduzi wa kitabu chake alichokipa jina la 'TUTASHINDA'. Uzinduzi huoo unatarajia kufanyika Dodoma tarehe...
ukimuangalia vizuri ridhwani utaona kosa si la kwake bali la mzazi especially wa kiume, majibu aliyoyatoa JK kuhusu watoto wa kike wanaopata mimba mashuleni kuwa ni kierehere chao ni kauli tosha...
Ataka posho zote za vikao ziondolewe
Ataka panga pia lielekezwe serikalini
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma, Zitto Kabwe, akisisitiza jambo wakati wa kikao cha...
katika hali isiyotarajiwa katibu mwenezi wa ccm tanzania nape nauye amepita katika mkoa wa tabora kimya kimya akitokea mkoa wa rukwa, nape bila kutarajiwa hata na baadhi ya wana ccm kupata taarifa...
Ni wale walioshitakiwa kwa kumuua yule dereva kipindi cha kampeni za uchaguzi.Mahakama imewaachia huru baada ya mkurugenzi wa mashitaka kuona hakuna haja ya kuendelea na Kesi.SOURCE: ITV HABARI.
Nimeshakutana na watu wazima wengi,nimesikiliza viongoz wa dini mbal mbal wengi wanadai kuwa aliyelilogo taifa letu na kuwa maskini jinsi tulivyo ni Hayati nyerere.Naomba mnisaidie kwa yeyote...
stay tuned lakini kwa watu ambao mshadeal na TRA najua kwenu hili ni la kawaida na hata ukitaka ku supply peni basi huyu jamaa wa Kimasai lazima apate walau nusu shilingi 100 per pen ama sivyo...
Ndugu zangu wakazi wa Mlandizi-bagamoyo bomoabomoa inakuja wameshaa kupiga X baadhi ya nyumba ila utata utakuja kwenye malipo vigezo wanavyo zingatia ni umbali wa mita 22 kutoka usawa wa...
na David Frank, Arusha
MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana Mkoa wa Arusha (UV-CCM), James Millya, ni miongoni mwa watakaohojiwa leo na Kamati ya Usalama na Maadili ya Mkoa kufuatia mgogoro...
nafurahi sana ninaposikia mheshimiwa jk akiongea,...............
msisitizo, mkazo na bashasha kuonesha anaweza ,vinashamiri katika hotuba zake.
wenzako halmashauri ya lindi? (v) unakijua...
Samahani kwa wale nitakao waboa kwa hii thread, bt hii ni imani yangu, ndio maono yangu. Niaminivyo mimi africa ipo ktk crisis kubwa sana hususan katika uongoz na utawala, hii inanifanya niamini...
Mi nahisia tuu hapa....!! Lakini tuchanganue kiukweli kabisa maaana mengi tunafichwa tuu...
ANAKAMATA MILL >15.5M
Anatudanganya anayo mill 25 benki wakati mshahara wa waziri mkuu ni mil 3.5...
UGANDAN President Yoweri Museveni has described Mwalimu Julius Kambarage Nyerere as the greatest black man he had ever met, adding that he deserves to be made a saint by the Catholic Church. "I...
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amedai kuwa amenasa barua za mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Mabere Marando, akikana kuwaambia Watanzania kuwa yeye (Nnauye) alifaidika na fedha za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.