Egypt's former Finance Minister Youseff Boutros Ghali has been given a 30-year jail sentence over corruption charges, court sources said.
The judges also ordered him to pay back 60m...
May 30, 2011
Statement from Barrick Gold Corporation concerning the
North Mara Mine, Tanzania
INTRODUCTION
Barrick Gold Corporation, and its affiliates and subsidiaries, operate in some of the...
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Pius Msekwa, amekutana na viongozi watatu wa chama hicho wanaotuhumiwa kwa ufisadi, katika utekelezaji wa uamuzi wa kujivua gamba uliofanywa na Mkutano wa...
Wakuu habari!!
Mnadhimu Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni Tundu Lissu na Kiongozi wa Upinzani Bungeni Freeman Mbowe leo wamezungumza na vyombo vya habari kwenye Ofisi za Kambi ya Upinzani...
Na Muhibu Said
4th June 2011
Watangaza mgogoro wa kuingilia uhuru wa Bunge
Polisi wadaiwa kuendesha upendeleo wa dhahiri
Hoja ya mvutano wa Bunge na Mahakama yaibuka...
Je, Wamasai ndio mfano wa kuigwa?
Picha by Mtanzania, 3/2/11
Hapo yaani wameshajikwatua kwa ajili ya kwenda "out" kumwona daktari!
Watanzania wengine wanavyoona Wamasai kama mfano wa kuigwa...
wakati Tanzania inapata uhuru kulikuwa na msemo uliokuwa ukitumiwa na viongozi wa wakati huo kwamba "Ili tuendelee, tunahitaji Ardhi, Watu, Siasa Safi na Uongozi Bora". Kwa wakati ule walikuwa...
JK Rais wangu sijui nani atakufikishia huu ujumbe.........!!!!!!!!unakumbuka maneno matamu ambayo ulikuwa unasema mbele ya wapigakula na wagonjwa wa hospitali yetu ....tunaiita ya taifa japo mie...
Mnaweza jionea wenyewe uyu mzee anatema nondo kumbe nguzo gharama yake ni 250000 wakatii tanesco wanatugonga milioni na ushee mbaya zaidi nguzo za mufindi pale!
Ni mzee Mkinga kama kawaida yake...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Freeman Mbowe anatarajia kuongea na waandishi wa habari leo saa tano asubuhi jijini Dar es salaam kuzungumzia masuala mbalimbali ya chama...
Katika mjadala wa ITV unaoendelea leo saa 10.30pm kulikuwepo wachangiaji mbalimbali wakiongozwa na Chua kama mwenyekiti. Lakini Ghafla RENATUS MKINGA kapotezwa Ghafla na kuwekwa Jamaa wa uchumi...
Mkutano wa Nne wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unaotazamiwa kuanza tarehe 7 Juni hadi tarehe 7 Septemba 2011.
Posho na alawansi TSh (90,000 x 90) +(7 0,000 x 90) x (239)= ()...
At Tanganyika's independence in 1961, the world was divided into two main blocks the Western, led by the USA and the Eastern block, led by the then USSR. Several developing countries tried to...
Dear JF readers,
I heard yesterday evening and this morning on radios across the country people discussing the issue of sitting allowances. Hon Zitto put it straight that the saving from this...
Kila nikitafakari mchakato wa katiba mpya napata kigugumuzi kutokana na uchelewashwaji na umakini wa jambo husika, nikitaka kwenda mbele kwa kutumia nguvu nakutana na Bango linasema demokrasia ya...
Naomba nisipewe jina la Shekhe Yahya au Pweza Paul,kwa vyovyote vile kwa mwenendo jinsi ulivyo kwa sasa, CCM wanawinda chini ya siasa za maji taka. Kila kundi linajipanga kwa 2015, Je CCM...
Kuna taarifa toka vyombo vya habari vya kimataifa vinavyokariri upande wa upinzani wa utawala wa Yemen kuwa, rais Ali Abdalla Saleh ameuawa leo mchana huu!
kama kuna mwenye taarifa zaidi atujuze...
Leo wakati nabadilishana e-mail na rafiki yangu ambaye ni mfanayakazi wa wizara ya mambo ya nje ya marekani NY. tulijikita zaidi kwenye ujenzi wa highway kupita hifadhi ya serengeti na mambo ya...
Vyombo mbalimbali vimekuwa vikiripoti vipaumbele vya bajeti ya mwaka mpya wa fedha. Suala ambalo limekuwa na mvuto zaidi ni kukatwa kwa posho za vikao kwa wabunge ambapo ni sehemu ya bajeti ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.