Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Ndugu zangu wana JF nilikuwa msomaji wa gazeti la Rai na Mtanzania, ukafika wakati nikayakimbia pale yaliporipoti uwongo. kimsingi magazeti haya yaliwahi kupingana na ukweli yakiwatetea na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
First, at the centre of the ruling coalition is the ruling party, CCM, the bureaucracy and the army. However the structure of the ruling coalition is being modified as lower level factions are...
1 Reactions
0 Replies
965 Views
Wana JF ebu naomba tujitathmini kidogo, Tuangalie Muda ulio pita tangu tupate Uhuru, Tujilinganishe na Mataifa mengine ambayo yamepata uhuru baada yetu sisi, Nini tunawashinda au Nini...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
kila siku chadema chadema sisi vijana hatutaki malumbano ya kisiasa tunataka vitendo tu malumbano baada sasa hata kazi aliyopewa na ccm kuwavua magamba wenzie imeishia wapi? Nakufuatia ahadi hewa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
By In2EastAfrica - Wed Jun 01, 11:45 pm Finance and Economic Affairs shadow deputy minister Christina Mughwai briefs the media on the Opposition's alternative budget outlook in Dar es...
0 Reactions
0 Replies
756 Views
Hivi inakuwaje CHAKushindwa (CHADEMA) watumishi wenu na watendaji wenu hamwalipi mishahara yao ? taarifa za uhakika huu ni mwezi wa 3 , sasa mnawazungusha na kuwalipa partial partial badala ya...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
By In2EastAfrica - Wed Jun 01, 2:17 pm Retired President Benjamin William Mkapa The Kisutu Resident Magistrate’s Court yesterday rejected retired President Benjamin Mkapa’s sworn affidavit in...
0 Reactions
0 Replies
973 Views
UTAWALA wa Rais Jakaya Kikwete umekumbwa na misukosuko mingi, lakini zimekuwepo fursa kadhaa ambazo kama angezitumia vema zingeleta unafuu katika utawala wake. Wakati wa sakata la mkataba wa...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kama mwenye dowans ,meremeta.kagoda,tangold,ricmond,hawajulikani nadhani hata kujivua gamba ni haina maana.kama kaiba ,mfano epa unamwambia rudisha pesa mapema hutashitakiwa na inakuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika hali inayodhihilisha watanzania kukerwa na malipo ya kampuni ya Dowans,mahakama kuu ya Tanzania imepokea na kusajili kesi ya kikatiba kupinga malipo hayo. Kesi hiyo ya kikatiba...
0 Reactions
51 Replies
5K Views
Serikali inapanga kuigawa TANESCO katika makampuni matatu. 1. Kampuni ya uzalishaji. 2. Kampuni ya usafirishaji. 3. Kampuni ya usambazaji. Nisaidieni hapo kwenye makampuni mawili ya...
0 Reactions
59 Replies
7K Views
Zito Kabwe amemtoa nje Waziri Chami aliyeongozana na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Kukuza Mauzo nje (EPZ), Dk. Adelhelm Meru, na watendaji wa mamlaka hiyo kwa madai ya ufisadi wa sh bilioni 41...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wednesday, 01 June 2011 12:45 newsroom NA MWANDISHI WETU CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeelezea kusikitishwa kwakwe na tuhuma zinazotolewa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Tundu Lissu...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
KUJIVUA GAMBA KATIKA FALSAFA YA KIAFRIKA KUJIVUA GAMBA: MTAZAMO KIFALSAFA YA KIAFRIKA? Na Jason Ishengoma Malumbano yanayoendelea ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kati ya vikundi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wednesday, 01 June 2011 21:13 Joseph Lyimo, Babati HALI bado ni tete kwenye Bonde la Kiru, Wilaya ya Babati, mkoani Manyara baada ya Meneja wa Shamba la Kampuni ya Kiru Rift Valley, Sifael...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Wakuu zangu toka mauaji yaliyotokea huko Mara yamekuwa na mjadala mkali sana hapa ktk vyombo vya habari na jana tu nimeona ktk TV (CityTv) likizungumziwa..Na leo ktk pitapita yangu nimekutana na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WAFANYABIASHARA ndogondogo zaidi ya 300 eneo la Manyema, Manispaa ya Moshi, wamefunga barabara ya Manyema inayotokea Mbuyuni kueleka Mtaa wa Viwanda kwa muda wa saa nne, baada ya uongozi wa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hapa naomba tuwe wakweli. Kwa maneno yao wenyewe viongozi wa juu wa CCM wameshuhudia kuwa chama kimepoteza mvuto kwa watanzania na hasa kwa vijana. Wakati huohuo CHADEMA ni chama kilichojipatia...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Mambo ndo yamewiva,sinema ndo imekaribia kuanza kaa tayari. Mtikila amgeuzia kibao Ridhiwan na Janet Josiah MWENYEKITI wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, amemtaka mtoto wa Rais...
2 Reactions
116 Replies
11K Views
Back
Top Bottom