MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (CHADEMA), amesema kuwa kuna haja ya Watanzania kuungana ili kuzuia mbinu chafu za Chama cha Mapinduizi (CCM) za kugeuza nchi kuwa dola ya kipolisi...
Nilikuwa naangalia kwenye Michuzi blog, wakati wa kuzindua Flaviana Matata Foundation, ambayo pamoja na watu wengine ilihudhuliwa na wabunge kama January Makamba na Zitto Kabwe. Mgeni rasmi akiwa...
Kumbe kamanda kanda maalumu ya kipolisi ya Tarime -Rorya na viongozi wengine wa serikali wanalipwa mishahara mingine mbali ya wanayolipwa na umma wa watanzania kupitia kodi yao sasa
kamanda...
Kwa wale ambao wanafuatilia siasa za marekani watakumbuka kuwa miaka ya 90, serikali ya Clinton ilifanikiwa kuweka makubaliano na Korea kaskazini ili wamarekani wawapatie wakorea mafuta na chakula...
Facebook @ NEW YORK CITY: Imekuwa ni tabia inayokubalika sana miongoni mwetu wananchi, na hasa wana CCM kwa Viongozi watarajiwa kunyamaza kimyaa, mpaka ikishafikia wakati wa uchaguzi ndio utaona...
By ALVAR MWAKYUSA, 31st May 2011 @ 20:00,
TANZANIA Revenue Authority (TRA) has teamed up with tax authorities in four other African countries to investigate allegations of tax evasion facing...
Ziara ya Nape Mkoani Rukwa wiki hii kumefanyika mabadiliko makubwa kwa Nape kuongozana na Katibu Mkuu Mukama na mzoefu mwingine Chilingati.
Hii ni kutokana na mikutano ya Nape mara ya mwisho...
Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, imeshtushwa na matumizi makubwa ya Sh. milioni 350 ambazo zimetumiwa na idara moja kati ya saba kununua...
Habari za leo wapendwa.
Kwa siku takriban tano nimekuwa nikiumiza kichwa na kujiuliza wakowapi wazalendo wa nchi hii? ndio wale wazalendo waaandishi wa habari na wanasiasa waliokuwa wakipinga...
Na Peter Mwenda
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limeanza ujenzi wa mitambo ya kuzalisha umeme wa megawati 100 utakaotumia gesi katika Kituo cha Ubungo na
mwingine utakalozalisha megawati 60...
Mimi huwa najiuliza, kila leo Mkapa anapewa mapande katika anga la kimataifa. Hivi huyu ****** kweli akistaafu atapewa kweli hata ukatibu kata? Tukisema kamkwere ni sifuri mnasema tuna udini ila...
*Adai serikali pekee ndiyo inajua matumizi yake
*Asema bei ya umeme imeongeza makali ya maisha
Na Tumaini Makene
MZIMU wa kashfa ya wizi wa fedha zilizoibiwa katika Akaunti ya Madeni ya Nje...
Bank M Tanzania Limited is among bankers appointed by the Tanzania Revenue Authority (TRA) to collect taxes on the authority's behalf.
The service was officially launched by the bank at a...
Construction of roads is a costly undertaking;it must reflect the value for money,and a road that is sub-standard should not be accepted at all;inspections must be done stage by stage and...
Tarime kuna tatizo na tatizo si CHADEMA, ni Barrick
Lula wa Ndali-Mwananzela
RAIA MWEMA
Mei 25, 2011
TATIZO la Tarime si CHADEMA. Naam, lipo tatizo Tarime na ni tatizo la muda mrefu sana kwa...
Baada ya Kukuru kakara za hapa na pale za CCM na Chadema, Hatimaye imedhihirika wazi kwamba Chadema ni Kidume wa Hoja zenye Mashiko.
Kila anayejaribu kuiparamia CDM anapigwa Knockout kwa hoja...
Nimeona kwenye gazeti la Tanzania Daima ahadi zilizotolewa na JK mkoani mwanza katika sekta ya miundombinu:
ujenzi wa reli (Dar to Burundi)
ujenzi wa reli (Dar hadi Isaka, mwanza,kigoma,mpanda)...
Nimelisoma gazeti la leo la mwanahalisi.Nimekuwa nikifurahishwa na uandishi wa gazeti hili kutokana na umahiri wa waandishi wake.Pamoja na mambo yote mazuri yaliyoandikwa leo,nimefurahishwa na...
Yaaan hizi kampuni za huduma za simu,cjui znazingatia sana kwenye promosheni,na offa zao za ajabu,hadi wanasahau kuhudumia m2,unakuta m2 anapiga simu mpaka ahudumiwe ni nusu saa,isitoshee tatizo...
Kwanza nimewaomba wabunge wa CDM kwasababu nikiwaomba wale WAGONGA MEZA (WABUNGE WA CCM) hawataweza kuuliza hili swali kwasababu ya SERA ya chama chao KULINDANA.
Ninafahamu umuhimu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.