Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
nilikuwa nasikiza mapitio ya magazeti kwenye moja ya stesheni za redio na nikastuka kusikia gazeti moja la kila siku likiripoti kuwa mtu wetu wa bagamoyo ameagiza waliotekeleza mauaji ya mwakeenja...
6 Reactions
54 Replies
4K Views
"mtoto alikataa kwenda shule, mzazi akatafta kiboko kimpge aende shule, KIBOKO KIKATAA. Kwa hasra, akaenda kumwambia MOTO aunguze kiboko ili kiboko kimchampe mtoto, MOTO UKAKATAA! Mzazi akaenda...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Daktari (PhD) wa ukweli amemjibu Mukama kuwa wananchi wanauezo kikatiba wa kumuondoa JK madarakani kabla ya 2015. “Ibara ya 146 ya Sheria ya Serikali za Mitaa ya mwaka 1982, inasema wananchi ndio...
3 Reactions
104 Replies
11K Views
Ndugu zangu, CCM inayumba, kusema kingine ni kuwadanganya CCM, haitawasaidia. Ndio, jahazi linapopoteza mwelekeo kinachofuatia ni kuyumba na hatimaye kuzama. CCM kama chama, kiko...
6 Reactions
36 Replies
4K Views
Mwanasheri wa Chadema Mabere marando,amesema wameshafanya uchunguzi wao kama walivyotumwa na chama dhidi ya mauaji ya watu 5 pale Nyamongo Tarime. Na maiti za watu hao wamezihifadhi ktk hali...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Huyu nnape ni dc ila takribani wiki 2 sasa yupo kwenye siasa je huo u-dc kampa nani?maana muda wote huo sijasikia anatangazwa kuzindua mradi wowote wilayani masasi.na je itakuwaje mwanasiasa kama...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Tumewaona vijana wanajeshi kule Misri wakishikana mikono na wananchi. Ni ukweli, wengi wa wanajeshi hao wamekuwa recruited ( kuingizwa jeshini) wakitokea kwenye familia za kimasikini. Kwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kama kunakitu chenye kuuma katika nchi hii ni jinsi ambavyo suala la wizi wa fedha za umma linavyoshughulikiwa na uongozi wa nchi hii ya tz. Haingii akilini eti leo rais anasimama anasema wazi eti...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Shalom wana jamvi kamwe dunia itabaki na vijana tutaandika historia leo hii serikali imestisha ajila yangu kissa kwangu nina bendera ya ukombozi ya cdm na kua naandesha migomo toka nikiwa udsm...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
UCHAGUZI 2010: USHINDI WA JAKAYA KIKWETE, SHUBIRI KWA CCM Mwaka 2005 wakati Jakaya Mrisho Kikwete akiwania kuwa Rais wa Nne wa Tanzania, aliendesha kampeni za ndani ya CCM kwa hila, mbinu na njia...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
kwa wale wanaopita pita mjini dodoma leo ni masimulizi ya jinsi FEDHA na UBABE wa siasa umeshindwa kufanya kazi katika jamii ya wasomi...... pamoja na matumizi makubwa ya rasilimali...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Watanzania wezangu, Tanzania yetu inatakribani ya watu milioni 45 na vyama vya siasa kadha wa kadha kama vile CCM, CDM, CUF, kwa uchache. Wananchi walio wengi wanahitaji viongozi bora kwa ajili...
0 Reactions
0 Replies
963 Views
Mbunge wa Mufundi Kaskazini, Mahamud Mgimwa? amesema hataweza kuvumilia kuona wagonjwa katika jimbo hilo wakibebwa kwa kutumia machela na kwa hiyo ameamua kutumia Sh. 90 milioni, alizokopeshwa na...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
TAMKO LA WAZIRI KIVULI (MSEMAJI WA KAMBI RASMI YA UPINZANI) WIZARA YA NISHATI NA MADINI JUU YA MASUALA, MATUKIO NA MWELEKEO WA SERIKALI KUHUSU UMEME KATIKA KIPINDI CHA MWEZI MEI Utangulizi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Barrick yashangazwa na mauaji Kampuni ya African Barrick North Mara imesema inapata tabu kila yanapojitokeza matukio ya ukiukwaji haki za binadamu na mauaji, huku akionyesha kuwalaumu polisi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanajamvi napitia gazeti la Dira hapa sasa hivi kuna mchambuzi kanifurahisha sana aisee yeye anamtaka Nape Nauye afikiri kabla hajajibu hoja lakini huyu mchambuzi kanifurahisha zaidi anapohoji...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
MAHOJIANO YA JANUARY MAKAMBA NA JARIDA LA UMOJA 1. Umekuwa msaidizi wa karibu wa Rais Jakaya Kikwete tangu akiwa Waziri wa Mambo ya Nje ya Nchi na Ushirikiano wa Kimataifa hadi hivi sasa, ni...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
kiuandaj lilikua limeandaliwa vzur ila sdhan km yaletuliotazamia kupata tumeyapata,waheshmiwa walioalikwa hakuonyesha dalil za kutak kutueleza tumejikwaa wap na tufanye nn kujinasua na tatzo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
BAADHI ya wafanyakazi wa Ofisi ya Bunge wametoa tuhuma nzito kwa baadhi ya viongozi wao wa juu kutokana na kile wanachokiita ni kubaguliwa kwa kuitwa ni watu wa kundi la Spika mstaafu Samuel...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwakweli pamoja na mapungufu yote ambayo binadam wanayo na mfumo wowote unayo, CCM ni chama cha demokrasia ya kweli, kwa kukubali kukosolewa na kujirekebisha, mazingira yananionyesha CHADEMA...
1 Reactions
75 Replies
6K Views
Back
Top Bottom