Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema) ameendeleza msimamo wake wa kutokumtambua Meya wa Jiji la Arusha, safari hii akiibua malumbano mbele ya wabunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Mzee Mtei amekiri live kuwa CHADEMA ni kweli wamewachochea vijana wao jasiri kudai haki zao. Nimefurahishwa sana na kauli yake bila kutafuna maneno:dance:. Big up Mzee Mtei! Source: Channel 10...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Na Nova Kambota, Tangu kuibuka kwa maandamano ya CHADEMA ya mkoa kwa mkoa kuna mambo kadhaa yaliyojitokeza na yanaendelea kujitokeza ambayo yanadhihirisha kile ambacho wachambuzi hukiita " ombwe...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Ama kweli mwenye nyumba pia aweza kuwa mpangaji ndan ya nyumba yke, haya tumeweza kushuhudia hapa tarime. Hivi serikal iko kwa ajir ya kulinda hawa wanaojiita wawekezaji au wananch wake? Kampun ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Inasemekama kuwa ziwa Tanganyika limekuwa kama WILD WILD WEST...kila kampuni ya mafuta unayoijua wewe inakimbilia huko na of course kama kawaida NGELEJA hataki kuwaambia watanzania kuwa yale...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Ayayanayotokea TARIME we ayakuhusu au hao raia awapo kwenye nchi ambayo unaiongoza
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimekutana ha hii huko Mwanabidii Dr Lwaitama akimjibu Mjengwa. Soma maoni ya Mjengwa na majibu ya Dr Lwaitama, safi sana nimeipenda. Ndugu yangu Mjengwa Mawazo yako yamenigusa sana...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Na Mwandishi Wetu MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Mkoa wa Dar es Salaam, Bi. Shyrose Bhanji jana aligeuka mbogo kwenye kikao cha halmashauri hiyo kutokana na agenda iliyopenyezwa ya baadhi ya...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau, Jana na leo Power zbreakfast wamerusha segement yao ya kuongelea vitu kimafumbo just before taarifa ya habari ya saa moja asubuhi, naweza nisinukuu yote lakini i got the concept na nina...
2 Reactions
61 Replies
7K Views
Makala ya Emanuel Mbondo, Ukishagundua umefanya ujinga inakulazimu utumie nguvu nyingi kuutetea ujinga wako wa awali, na ukishatetea ujinga kwa nguvu uta oneka na unafanya ujinga zaidi ya ule...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Matangazo yamebandikwa kila mahali kwenye barabara za mjini yakisomeka kuwa ni maandamano ya kumtoa fisadi chatanda pia wanadai kwenye uchaguzi wa MEA arusha aliwatukana viongozi wa Dini...
4 Reactions
28 Replies
3K Views
KAULI YA KATIBU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KUHUSU VITENDO VYA JESHI LA POLISI KWA RAIA NA KUKAMATWA KWA WABUNGE WA CHADEMA Katibu wa Wabunge wa Kambi Rasmi ya Upinzani...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Kwa hapa tulipofikia na tunapoeleka uadui unaongezeka kati ya CDM vs CCM vyama hivi viwili vinakera na vinamatatizo sana Chama neutral ni CUF /NCCR/UDP viungane tuvipigie kura ili tuache...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nahofia sana mfumo wa SIASA tuliouanzisha hivi sasa wa kukuza MIGOGORO na MPASUKO ktk jamii na kuitumia kama MITAJI yetu ya siasa ktk majukwaa ili tupate UMAARUFU. Hatuna fikra kama tukijaaliwa...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Rehema Matowo, Moshi WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Samwel Sitta, amesema anapitia nyakati ngumu za kisiasa kutokana na uamuzi wake wa kusimamia misingi ya haki, usawa na uadilifu...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Ni jambo la ajabu sana linalotia shaka kwa wanasiasa wetu kujinadi kwa sera zinazoingilia uhuru wa nasfi na kuacha kujinadi tukiwapa madaraka wamejipanga vipi kutatua kero zetu...sekta na asasi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Katika pitapita yangu kwenye net nimekutana na hii kitu. Kama imeshawahi kusomeka hapa JF naomba mods muifute. ================= We, the Tanzanian Community now living in Canada, have been...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Yule kada wa CCM, Daniel ole Porokwa yuko katika mkutano na waandishi wa habari hivi sasa. Nimeambiwa amejipanga kupasua jipu kuhusu uanzishwaji wa CCJ. Amepanga kueleza kila kitu juu ya chama...
6 Reactions
207 Replies
17K Views
Baada ya Wazee wastaafu wa Jumuiya ya Africa Mashariki, kuelezwa kuwa hawana haki ya kulipwa, katika hukumu iliyosomwa leo, wazee hao wamelia na wengine kuzimia na kuanza kupepewa. Wengi wamesema...
2 Reactions
36 Replies
3K Views
Back
Top Bottom