Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Tazama picha hii na uiumbe kimaandishi/maneno.
0 Reactions
0 Replies
786 Views
Kamanda Godbless Lema ameitisha mkutano leo tarehe 25- 05-2011 utakaofanyika maeneo ya Arusha by night... ==== je habari za Kiinterejensia zitaruhusu mkutano huo....
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Polisi waendelea Kufanya vitu vyao. Hivi kweli tutafika kwa mwendo huu? Gazeti la Mwananchi lina habari kamili Polisi wapambana na raia Dar
0 Reactions
2 Replies
1K Views
WanaJF hakika ninayafikiria baadhi ya mambo yanayotendeka humu nchini sasa nikiwakumbuka marehemu mwl J Kambarage Nyerere,E Moringe Sokoine na wengine waliokuwa na mapenzi mema na taifa letu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu zangu watanzania, chama cha mapinduzi kimemtumia Rostam aziz kwa muda mrefu katika kupora mali zetu, ili chama hicho kujipatia fedha za kuendeshea shughuli mbalimbali za kichama. Toka enzi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimejisikia vibaya sana, baada ya kukuta Tanzania, na hasa Dar es Salaam tukitangazwa nje ya nchi kama jiji chafu sana na kuwashauri watalii wanaokuja Tanzania. Nikajiuliza hivi kazi ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kweli ukichokwa! Yaani CDM imezoa wanachama wapya zaidi ya 1000 Morogoro leo. Kwisha habari yao 2015 tunapata mbwa mwenye uwezo wa kumsukuma Kalumekenge aende shule. Source: ITV
1 Reactions
31 Replies
3K Views
By BILHAM KIMATI, 24th May 2011 @ 12:00, VETERAN politician and long serving legislator Dr Chrisant Mzindakaya has proposed momentous reforms within the CCM administrative structures, that...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
May I propose that if the reports that we have been receiving in the past few hours on the forceful removal and displacement of dead bodies from a mortuary in Tarie by the police are indeed true...
8 Reactions
54 Replies
5K Views
mara kwa mara manispaa ya musoma imekuwa inachelewesha mishahara ya watumishi wake, tatizo liko wapi na ni kwanini hawa watumishi wanakuwa hawapewi sababu za kucheleweshwa kwa mishahara yao...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Written by Nassor20 // 25/05/2011 // Habari // No comments May 9, 2011 by zanzibardaima Muasisi wa Muungano, Julius Kambarage Nyerere Hakuna woga katika kulizungumza suala la kuvunja...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ripoti Ya Mjadala Wa Kuadhimisha Miaka 47 Ya Muungano Wa Tanganyika Na Zanzibar (Froud Community Centre – Uk) (Umetayarishwa na Jumuiya ya Zanzibar Welfare Association –ZAWA) 23 April, 2011...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tatizo la CCM bado wana siasa zile za enzi ya kudai uhuru!! Siasa hizi ni za mtindo wa kushambulia mtu si Sera/hoja. Mtindo huu wamerithi kutoka kwa wakoloni. kwa CCM ukiwapinga wanaanza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuuzwa mitambo Dowans balaa *Yadaiwa ni kitendo cha kudharau mahakama Na Rabia Bakari Majira KUUZWA kwa mitambo ya Dowans kwa kampuni ya Kimarekani ya symbion Power kumezua balaa jipya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
UPDATES: -Ni marufuku mawaziri kutoelewana -Mawaziri wakishakubaliana katika baraza la mawaziri ni uamuzi wa wote -Ukiona ni vigumu kuafiki ni bora kutoka -Ni lazima kutekeleza uwajibikaji wa...
11 Reactions
302 Replies
23K Views
Natumai humu ndani ni sehemu mojawapo ambayo waleta maendeleo ya nchi hii wanapata fursa ya kupata, kupashana na pia kuchukulia hatua taarifa kamili ambacho ni muhimu kwa maendeo yetu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Africa about to celebrate 4G Posted on Monday 23 May 2011 - 11:12 dewane08 Divine Ewane, AfricaNews contributor in Douala, Cameroon It was President Julius Nyerere of Tanzania who once said...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tuesday, 24 May 2011 20:08 newsroom NA MOHAMMED ISSA SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema mkataba kati yake na kampuni ya gesi ya Songas una utata na unaweza kulisababishia hasara...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kamanda wa Polisi wa kanda maalum ya Tarime na Rorya Bw. Constantine Masawe amesema Tundu Lissu na watuhumiwa wengine watatu ni watu wa Singida hivyo wanawahoji wamefuata nini Tarime. Nionavyo...
11 Reactions
48 Replies
5K Views
Nilikuwa nimeipuuza sana clouds na kibonde wake. leo nikiwa foleni namsikia kibonde anamwaga point kuhusu kufa mashirika ya umma hasa atc na bima. Wale wanaopenda kutetea magamba, hivi inakuwaje...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Back
Top Bottom