:smow:
Kwa kweli napenda kuchukua nafasi hii kuwajulisha wanachama wote wa mtandao wa jamii forums yafuatayo katika maisha yetu ya kila siku na mambo yanavoenda pamoja na jamii inayotuzunguka...
Mimi ni CUF mpaka kufa sasa
Posted on May 24, 2011 by zanzibaryetu
Mmoja wa wanachama wapya wa Chama Cha Wananchi (CUF) akionesha kadi yake baada ya kujiunga rasmi na chama hicho muda...
Nimefurahishwa na kitu kimoja kwamba walau sasa demokrasia inakomaa Tanzania.Wananchi wamefumbuka na wanaelewa mbivu na mbichi.Wakati wa kudanganya watu umepita kwani vijana wanazidi kupata elimu...
@ Facebook:by William Malecela on Monday, May 23, 2011 at 4:11am
- Mjadala wa suala la Ukabila na udini ni mjadala ambao umeshapittwa na wakati. Sioni sababu kwanini baadhi ya viongozi wa CCM...
Baada ya mkoa kutangaza uchukuji wa form za kugombea uenyekiti wa mkoa,watu zaid ya 10,wamejitokeza kugombea kuziba nafasi iliyoachwa wazi na Shitambala,aliyewafuata ndege wenye tabia kama zake...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni Chama Kilichofanikiwa kwa kiasi kikubwa kujipambanua kama Chama kinachopigania Maslahi ya Uma, na Kwa Bahati nzuri Kimeeleweka hivyo machoni mwa uma...
CCM Mmeishiwa?
Kuna kila dalili kwamba kile chama chetu kikongwe kinapitia wakati mgumu kuliko muda wowote katika uhai wake. CCM na wanaCCM wamejikuta wanashangaa jinsi walivyopoteza mvuto kwa...
Najua wengi wenu mtahisi au mtaniona kama mropokaji lkn kamwe damu ya kitanzania na kamwe haitakuwa ya tanganyika wala ya kizanzibari. kwangu hupatwa na mfadhaiko nikimsikia mtu anajitambulisha yy...
Nimepitia article ya Mzee Pius Msekwa akitoa maoni yake juu ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.
anadai kwamba yeye ni Political scientist, naquote
"The results of the 2010 general elections clearly...
Shout-Africa
Proud African News & Entertainment Hub
Published on: Saturday, May 21st, 2011
By Kizito Makoye in Dar es Salaam Tanzanias anti-corruption bureau has at last released the...
ndugu wana JF bila kujali itikadi zetu na hisia, ningeomba tujadili kwa undani nini hasa kilitokea kwenye mauji yaliohusisha Barricks na wananchi wa Nyamongo.
Upande wa serikali unasema wale...
Na Grace Michael
MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) umeitaka serikali kuhakikisha inapunguza utegemezi wa bajeti kutoka kwa wafadhili kwa kuboresha ukusanyaji wa mapato ya ndani na kupunguza...
Maandalizi ya Kikao cha Bunge la Bajeti linaendelea na ni wakati sasa wa kujiridhisha jinsi gani bajeti
iliyopita imekuwa na impact kwa watanzania.
Maswali ya kujiuliza kuhusu bajeti ni...
Sitta na Mwakyembe wamejitwalia umaarufu kwa muda mrefu kama makamanda wa kupinga ufisadi ndani ya chama cha majoka. Lakini ufisadi ktk ccm ni namna tu ya kawaida ya kutenda kazi...ni mfumo ambao...
Wana JF Habari za kuaminika nilizozipata sasa hivi tundu lisu na wenzake wameachiwa kwa dhamani kutoka mahama ya tarime.na ameambiwa asionekane nyamongo from today. source redio one breaking news...
Thursday, May 26, 2011, 8:27
Habari kuu, Rai
*Wasomi, wabunge waitaka kubadili mwelekeo wa bajeti
*Yatakiwa iachane na tabia ya kunakili za miaka iliyopita
*Wengi walilia bajeti itakayonusuru...
Mkuu wa India kuanza ziara Tanzania Alhamisi
(FikraPevu) Waziri Mkuu wa India Bw. Manmohan Singh anatarajiwa kuwasili nchini siku ya Alhamisi wiki hii kuanza ziara rasmi ya kiserikali...
Serikali yetu haileweki haki ya Mungu, Zombe leo hii naye anadiriki kusema hakutendewa haki wakati anakamatwa na kupelekwa mahakamani hatimaye gerezani, wakati akiwa mkuu wa polisi hakuyaona haya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.