Wana JF kuna jambo hapa laweza kuwa kudhihirisha kwishiwa kwa serikali au muendelezo wa ufisadi nchini na kwa ccm kiujumla. nimetonywa kuwa ile siku ya kemia duniani iliyoadhimishwa pale...
Hivi hii kesi imefikia wapi? Maana upande wa pili ukishindwa kufika mahakamani kwa ahadi zao wanashambuliwa kweli. Hii kesi imefika wapi? Watanganyika bwana.
Kesi ya Prof. Mahalu – Zengwe jipya jikoni
Kuna habari kwamba upo uwezekano mkubwa upande wa mashitaka ukaumbuka kisawasawa kutokana na affidavit ya His Excellency BWM, our ex President...
Mimi ningemshauri Raisi Kikwete badala ya kulalamika atubu mabaya kwa Watanzania na atoe ahadi na kufanya jitihada za kubadilika. Kikwete hagombei tena urahisi huu ni wakati wa kufanya kazi bila...
Mara nyingi tumekuwa tukisikia serikali na tasisi zake, kadhalika hata watu binafsi kuahidi kufanyia kazi mambo mbalimbali.Hii hupelekea ama kusitisha mjadala au kuongeza kiu ya wananchi na...
Nape tunashukuru sana kwa kuja hapa JF, tunajua una kazi nyingi ila mtindo wako wa kuweka bandiko hapa na kukimbia sio fresh, hapa JF ukiweka bandiko lazima ulitetee, sio lazima ujibizane au ujibu...
Miaka sita, saba kasoro
Mimi nauliza swali utakomaa lini? Nchi yetu inazidi kurudi nyuma
Ulipomaliza miaka yako mitano ulisema unajifunza, je hadi sasa unajifunza?
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singidan Selestine Yunde akifungua kikao cha baraza la madiwani. Kulia ni Mkurugenzi wa halmashauri hiyo Illuminata Mwenda na kushoto ni Makamu Mwenyekiti...
Kuna tetesi zimezagaa kwamba JK amemteua bwana Abdala Mtonga kuwa internal auditor general.
Kama ni kweli nadhani uteuzi wake utakuwa mzuri maana jamaa alikuwa afisa masuhuri wa ofisi ya CAG...
Katika gazeti la Tanzania Daima, kuna habari inamhusu Jenister Mhagama ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya Bunge huduma za jamii. Huyu mama kama mwenyekiti, alikuwa anajaribu kuizuia kamati yake...
Idd Azzan aomba radhi CCM
MBUNGE wa Kinondoni, mkoani Dar es Salaam, Idd Azzan, ameomba radhi mbele ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Dar es Salaam, kwa kitendo cha kukiuka maadili ya...
*NI laana, ni bahati mbaya, ni Ujinga, ni umaskini wa fikra, ni kupumbazwa au ni kitu gani hiki kinachosababisha tusherehekee miaka 50 ya Uhuru wetu bila ya kuwa na vitu vya uhakika?
Hatuna...
Katika kutapatapa kwa na kwa kufanya mambo ambayo hawajajiandaa na hawajui wafanyeje CCM na JK wamejikuta wanafanya dhambi hizi , na ambazo hazitawaacha salama:
1. Kufuta azimio la Arusha na...
Wanajamii
Jana kupitia vyombo mbalimbali vya habari tumesikia na kuona kuwa miili ya wapiganaji wetu ilitelekezwa baada ya kuibiwa Motuary na polisi usiku wa kuamkia jana. Ni maajabu kwelikweli...
ni kweli wanasiasa ni waongo kwasababu wanapopewa madalaka hawatekelezi wajibu wao lakini kipindi cha uchaguzi ni wakwanza kutoa haadi nitafanya iki,nitawapa lakini wakisha ingia bungeni...
Kulingana na utaratibu wa sasa wa kupitisha bajeti, waziri wa fedha katika hotuba yake ya bajeti uelezea kwa kinagananga jumla yafedha zilizopangwa kutumiwa na serikali kuendesha shughuli zake...
H.E. Mr. Benjamin Mkapa, former President of Tanzania
Chairperson,
Members of the Board of the Thabo Mbeki Foundation,
Distinguished Invitees,
Ladies and Gentlemen
I am most grateful to...
*Ni kutokana na mauaji ya wananchi watano Tarime
*Yalaani, yasema huo ni ukiukwaji wa haki za binadamu
Na Agnes Mwaijega
BARAZA Kuu la Chama cha Wananchi (CUF) limemtaka Waziri wa Mambo ya...
Mi mzalendo mtanzania halisi. Nimechoshwa na kelele za marumbano zinazogonga masikio yangu kila kukicha na kila mmoja akimnyoshea kidole mwenzie kuwa ni mkosaji.. Sasa nataka uniambia wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.