Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Mbunge wa Tarime Nyambari Nyangwine live cloudz msikilizeni yupo na kina Hando
0 Reactions
81 Replies
9K Views
wakuu mwenye taharifa ya maendeleo ya waziri mkuu wetu atujuze ....je amesharudi nchini toka matibabuni na tuambiane hali yake wakuu na habari zingine kwa ujumla
0 Reactions
44 Replies
5K Views
Ukweli siku zote unabakia ukweli, Kikwete nchi imeshamshinda ila anaona aibu kuachia ngazi kuwa ataonekana Kilaza wakati ni kilaza na anazidi kuiharibu nchi yetu. Nchi imekubwa na Matukio juu ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige, amesema wakazi wa vijiji kadhaa vya wilaya ya Mbarali ambavyo vimo ndani ya ramani ya hifadhi ya bonde oevu la Ihefu kuwa wanapaswa kuondoka ili...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mgombea urais wa UPDP aliyejitoa leo, Huyu jamaa ni nani hasa?..
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Nape nilikutahadharisha mapema, Acha kung'ang'ania kutaka kuvaa koti la Dr. Slaa hukunielewa. Oh Dr.slaa ni fisadi, Dr Slaa akakataa kukuvalisha Koti lake akaamua kukupatia koti jepesi kabisa...
10 Reactions
75 Replies
6K Views
Wazee nimesika kwa mabli kwenye TBC kuwa Dr. slaa katoa tamko kuhusu amri ya hakimu kule Arusha ya kutaka wakamatwe. Aliyesikia alilosema atujuvye.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kumbe CHADEMA ILIPATA MSAADA WA SHYROSE WAKATI WA UCHAGUZI. Ndiyo maana yuko karibu sana na CHADEMA! " Idd azzan ambae ni mbunge aliesimamishwa miezi 18 kushiriki shughuli za chama baada ya...
0 Reactions
70 Replies
12K Views
CHANZO: RAIA MWEMA (Mei 25 - 31, 2011) Kikwete na porojo za CCM kujivua gamba - Ni ‘usanii' wa kusafisha njia kwa anayemtaka 2015 Itakumbukwa kwamba, Februari 5, mwaka huu, kwenye...
5 Reactions
133 Replies
15K Views
TAMKO LA VIJANA WA CCM MKOA WA ARUSHA Tarehe 25/05/2011 Ndugu zangu waandishi wa habari leo tumeona tuwaite hapa ili tuweze kutoa maoni yetu kuhusiana na mustakabali wa chama chetu...
0 Reactions
146 Replies
14K Views
JE ZANZIBAR SIO NCHI..........? JE BADO TU MUTASEMA KAMA ZAZNIBAR SIO NCHI NI MKOA WA PWANI..? KAMA SIO NCHI HIZI PESA ZILITOKEYA WAPI..? KAMA HUAMINI HUTA AMINI TENA STAP ZA POST...
0 Reactions
9 Replies
9K Views
- Wasomi wataka maelezo ya serikali - Wapinga masharti ya baadhi ya vifungu Waziri wa Katiba na Sheria, Celina Kombani, amepatwa na wakati mgumu kujibu maswali ya wasomi na wanazuoni wa chuo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa maoni yangu, hali ya muungano inaendelea kuwa mbaya. Wanaosema muungano ni imara ni viongozi tena wa chama fulani. Chuki ya wananchi wa pande hizi mbili inaendelea kukua. Sasa kwa mwenendo huo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Zanzibar Daima Mtazamo wa Mzanzibari kwa Nchi yake « Balozi Seif Iddi na Waziri Nahodha jibuni hoja hizi za Uamsho Mkakati wa kuirejesha Zanzibar kwenye neema » Ya Pwani Mchangani ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani chama changu cha magamba kiko ICU. Kina hali mbaya sana. Enzi za uhai wangu nilijaribu kukilinda kwa majini na maruhani kutoka kuzimu kwa baba yangu Shetani, lakini bado nilipata wakati...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nashangaa kuona hizi taasisi mbili za serikali zinafanya siasa badala ya kufanya kazi kwa mujibu wa sheria. Mfano ni mara kwa mara tumeona TRA na PCCB wamekuwa wakijitokeza kujibu tuhuma ambazo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Tanga kimewashukia viongozi wake waliohamia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema kuwa ni waroho wa madaraka. Akizungumza katika mkutano wa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mwanzoni mwa Mwaka 2005 kulishamiri kundi moja la watu maarufu hapa TZ liloitwa Wanamtandao. kundi hili lilianza rasmi mwaka 1995 ambalo vision na mission yake ni kuongoza Serikali ya JMT(URT)...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
na Edward Kinabo, Mufindi KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amewataja vigogo na watendaji wa serikali wakiwamo mawaziri wawili na wabunge...
0 Reactions
68 Replies
7K Views
Mbunge wa zamani wa jimbo la Musoma mjini kupitia chama cha mapinduzi (CCM) Vedasto Mathayo ameomba arudishiwe madawati yake yenye thamani ya shilingi milion 18 aliyoyatoa kwa shule mbali mbali...
0 Reactions
47 Replies
4K Views
Back
Top Bottom