Katika kipindi cha Miezi Miwili hapa tanzania Vyama vikubwa vya Siasa hapa Tanzania CHADEMA na CCM vimefanya harakati zenye lengo la kuwaambia wananchi ni kwa nini waungwe mkono wao na si...
Kiherehere chao kimewaponza.walikuwa wameweka bango kubwa kikwete akiwa na maaskofu wa kkkt,ALEX MALASUSA, na ELISA BUBERWA, wakaandika eti tunaheshimu uhuru wa kuabudu. Mnamuona kikwete? Maaskofu...
Ndugu wadau,
Ninaomba kueleweshwa na yeyote anayefahamu kuhusu shindano la kuandika hotuba linalojulikana kama shindano la mwanaharakati, nimelisikis juu juu kupitia channel 5 nimeshindwa kupata...
Ndugu zangu wa CCM,
Juzi aliyekuwa mpinzani wa Rais Obama kwenye kinyang'anyiro cha Urais [Maccain]nchini Marekani alisafiri kwa niaba ya Taifa lake kwenda kujadili na wapinzani wa Gadaffi namna...
Wandugu,
Hivi ipo tofauti gani kati ya staili aliyotumia rais kwenye semina elekezi ya hivi karibuni huko Lidodomya na mimi ambaye naamua kuweka hadharani udhaifu wa mke wangu mbele ya...
WanaJF:
Hii ni sehemu ya habari kuu katika gazeti la T. Daima la leo Jumapili, na nimekiweka kipande hiki kutokana na kauli ya Mh Zitto hasa hapo kulikoonyeshwa kwa rangi nyekundu. Kama ni kweli...
WANANCHI wanatakiwa kutobabaishwa na kauli zinazotolewa na viongozi wa Chadema kutokana na chama hicho kutokuwa na nguvu ya UMMA, na badala wajikite zaidi katika kuijenga nchi kwa mshikamano bilia...
By In2EastAfrica
Deputy Speaker Job Ndugai
Members of Parliament have defended decisions made by the Local Authority Accounts Committee (LAAC), of issuing orders of arrest and...
Ndugu zangu,
WAKRISTO na hata wengine wasio Wakristo wanakitambua kisa cha Essau na Yakobo. Na tafsiri zaweza kuwa nyingi; hii ni ya kwangu. Tunasoma, kuwa Essau na Yakobo walikuwa ni...
Written by administrator // 20/05/2011 // Habari // 8 Comments
Ally Saleh,
Leo nilikwenda Pwani Mcahangani kibinafsi kutizama hali ilivyo ikiwa ni karibu wiki mbili tokea tukio la kuchomwa moto...
Mbunge wa arusha mjini na waziri kivuli wa mambo ya ndani akiwa ameambana na mbunge wa vitimaalum chadema ester matiku leo walitembelea tarime kwenye yale mauaji ila kabla hawajaenda huko walienda...
Kumekuwa na kauli nyingi tokea kamati ya bunge kuja Zanzibar, kukusanya maoni kuhusuru rasimu ya marekebisho ya katiba. Na wazanzibar wakaonesha msimamo wao kuhusu mustakbal wa nchi yao , na...
Katika hali inayoshangaza mkuu wa wilaya ya mbarali amempiga marufuku mbunge wa jimbo la mbarali (ccm) kufanya ziara jimboni mwake, kisa amekuwa akiwatetea wananchi walioporwa ardhi na mwekezaji...
Saturday, 21 May 2011 21:43
Balozi Ibrahim Kaduma aliyekuwa Waziri katika Serikali ya Awamu ya Kwanza ya Mwalimu Julius Nyerere akizungumza katika mahojiano maalumu na Gazeti hili jijini Dar...
Saturday, 21 May 2011 23:19
Bank of Tanzania (BoT) twin tours. EPA (External Payment Arrears Account) was set up at the BoT to take care of debt arrears, which were owed to foreign...
Saturday, 21 May 2011 10:33
President Jakaya Kikwete makes a point during a cabinet meeting at State House. PHOTO | FILE
Top government officials converge on Dodoma last week to attend a...
Jamani,
Kwa wale wadau waliopo serikali ebu tupeni ukweli kuhusu hili. Sisi tuliopo kwenye sekta binafsi tunaona dalili zote kuwa serikali imefulia. Jamaa yangu mmoja amenihabarisha kuwa...
..basi ni hii waliyopewa wenzetu ya kujaribu kuwafanya watu wenye akili zao wakubali kugeuza uongo kuwa kweli kwa manufaa ya Chama Cha Magamba. Nakupa mifano michache (mdau ongeza nitakayokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.