Kwa kutambua mapema kuwa mkutano wa CCM ungedorora, jeshi la polisi linatumiwa kuficha aibu hiyo kwa kupiga marufuku mikutano yote ya kisiasa wilayani Tarime. Chadema yadaiwa imenyimwa kibali...
Mimi ni Mtanzania, tena mpenda maendeleo na mpigania vijana... na hasa hasa mpenda haki na maendeleo ya nchi
sipendi viongozi wanaoonyesha picha mbaya kwa namna yoyote ile kwani wanatunyima...
Ukisoma tahariri ya gazeti la Nipashe (May 19, 2011) iliyobeba swali la Aibu hii ya ukosefu madawati hadi lini? kama kweli una moyo wa binadamu utasikia machozi yanakububujika kama sio kwa nje...
Katika tukio la mauaji yaliyotokea Tarime (North Mara Mine) shirika la utangazaji la taifa limeonyesha mapungufu makubwa na kupoteza kabisa umuhimu wa kuwepo kwake, kwa siku mbili mfululizo...
Mbowe akiwa omba kuongozwa na Mbunge Msigwa kuingia katika nyumba yake ya kisasa ili aweze kujionea ndani ubora wa nyumba hiyo ,viongozi hao wa Chadema Taifa wamempongeza mbunge huyo kwa kuwa na...
God is not unjust; he will not forget your work and the love you have shown him as you have helped his people and continue to help them. - Hebrews 6:10
Ndugu wanaJF naomba kuchukua nafasi kuwauliza viongozi na wapenzi au washabiki wa CCM walioko humu ndani " Kwa nini viongozi wa CCM wakiongozwa na Nape wanahangaika sana kwenye chaguzi za serikali...
Ndugu Zangu,
Kusoma ni burudani pia. Wikiendi hii nasoma kitabu hicho pichani, Gamba La Nyoka, mwandishi ni Euphrase Kezilahabi. Kumbe, hata miaka hiyo kuna walioliona na kulijadili gamba...
Uendeshaji wa vyama kupitia maandamano unaficha mambo mengi ambayo ni vyema watanzania tujiulize. Je miaka 2010 hadi 2015 tutegemee maandamano wa mji hadi mji? Ndio demokrasia ya vyama...
Kumbe alama ya vidole viwili inatisha ,naona wanafunzi waliiga ktk TV za nje mambo ya vidole vy libya au wana maana gani labda cdm au mimi sijui naombeni wana JF mnifahamishe maana mke wa...
Baada ya Bunge kuukataa mswada/rasimu ya katiba mpya, serikali ya JK inafanya chini chini kuhakikisha kuwa rasimu hiyo ambayo wanadai inatengenezwa au kufanyiwa marekebisho mapya, kuwa inapita...
Siasa ni mchezo wa ajabu. Katika siku za karibuni Zito alitukatisha tamaa sana. Gafla amerudi kwa kasi ya ajabu, amekisikia kilio chetu. Nadhani alidanganywa na RACHEL sasa ameona hamna dili. Kwa...
Kipima Joto Cha leo swali lilikuwa ni, 'Je! Kitendo cha wananchi kumpiga mawe mbunge wao mawe ni suluhisho la matatizo yao'? Asilimia sabini na sita (76%) ya waliohojiwa walisema 'NDIYO'!!!
Ngeleja: Hoja si kujiuzulu
Imeandikwa na Lucy Lyatuu;
Tarehe: 8th December 2010
WAZIRI wa Nishati na Madini, William Ngeleja amesema tatizo sio kujiuzulu, bali ni jinsi ya kutatua kero za...
Jana nilisikiliza BBC walitangaza kuwa taasisi ya Public Utilities Regulatory Commission ya nchini GHANA wamepitisha sheria ya kuwa shirika la umeme la nchi hiyo haliruhusiwi kukata umeme zaidi ya...
Imekuwa ni Tabia ya Serikali kubana Maendeleo kwa yale maeneo ambayo ni Ngome ya Upinzani. sasa Serikali msipokuwa makini ipo siku hawa jamaa watatimiza kauli za
Je huu Ujumbe una Maana yeyote...
Nimemshangiaa N/ waziri wa mambo ya ndani Kagasheki kusema eti serikali inamjua mbunge MMOJA wa chama kimoja alietoka kwenye jimbo lake na kwenda kuchochea fujo Tarime.
Hii ni kauli ya kichovu...
Iringa leo kumekucha ni makombati, skafu za chadema, ni mwamko wa hali ya juu maandamano yanatoka sehemu tatu ipogoro, kihesa na mkwawa, watu ni wengi sana hapa kihesa wakisubiri kuanza kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.