Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wana jamvi habari ndiyo hiyo tuwaunge mkono kwa kuitembelea na kutoa maoni yetu: "Waheshimiwa viongozi na wapenzi wa CHADEMA, Napenda kuwajulisha kuwa UONGOZI wa CHADEMA Mkoa wa ARUSHA...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Tatizo ni nini hata haya mauji kila kukicha yanatokea mapya, ni kweli siasa zinahusika mana imekuwa kama mchezo au vyombo vya usalama haviwajibiki ipasavyo nina shaka katika hili la usalama wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama mnavyoelewa kesho ndo kumbukumbu ya kuzama kwa MV.Bukoba naamini bado tuna maswali mengi ya kujiuliza ambayo hayajapatiwa majibu.bado tunawapa pole wale wote waliofariki,kupotelewa na ndugu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
'Eat more rushwa,more miradi'Mapacha watatu say 'More magamba,more majumba,but sisi ni walalahoipay' This is the slogan that suits us:JK ni gamba gumu zaidi! WanaJF mnasemaje?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Source Raia Mwema. NOVEMBA 26, 2010, saa saba usiku, wakati idadi kubwa ya Watanzania wakiwa usingizini, katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) kulikuwa na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Imebainika kuwa kushindwa kwa Chama cha Mapinduzi katika kuongoza Taifa hili kunatokana na uzee uliokizunguka chama hicho kila kona. Viongozi wake wote wakuu ni wazee wa zaidi ya miaka 60...
0 Reactions
1 Replies
921 Views
Nimeshangazwa na kauli za Mawaziri wa mambo ya ndani kuhusina na mauaji yaliyofanywa na dola dhidi ya watanzania waliokuwa wakipigania rasirimali za Taifa zinazoibiwa na wazungu wanaolindwa na...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Ukoloni wetu wa mwisho. Na ole wako hayo mashirika ukiyarusu.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ikiwa ni takribani saa 48 tu baada ya Chadema kuibua tuhuma za kuwepo kwa sukari ya magendo iliyofichwa katika maghala 7 ya mbolea katika mji mdogo wa Makambako polisi kwa kushirikiana na TRA na...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Nimesikia kwenye vyombo vya habari majibu rahisi aliyoyatoa Mh. Kagasheki kuhusu vurugu na mauaji ya raia huko Nyamongo tarime kuwa wananchi wameandamana kwa kushawishiwa. Mimi nadiriki kusema...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari WanaJF Ni masikitiko yangu kuwa wazima, lakini napenda kutoa dukuduku zangu juu ya chama changu ccm kwa kuendeleza utemi nakutosamini wanachama wake, wengi wa wanachama wamekikimbia...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
http://www.everbuy.com/m-webad-a-r-lid-248.htm Saa hapa, wote Gadgets ni chini ya $ 1 na meli ya bure! Ajabu, lakini bei I am interested sana katika hilo, hivyo nafuu, inawezekana?
0 Reactions
0 Replies
772 Views
Kuna taarifa kuwa Mnajimu na mtabiri Sheikh Yahya amefariki dunia. Tunawaombea heri na uvumilivu wafiwa na kumuombea kwa Mungu marehemu alazwe mahali pema peponi!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu sera na uratibu wa Bunge, Wiliam lukuvi, amekana kumiliki vitalu katika msitu wa sao hill kama ilivyodaiwa na katibu mkuu wa CHADEMA Dk wilbrod Slaa katika...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mh. Zitto, napenda kukupongeza sana kwa mchango wako mkubwa kwa Taifa letu. Juhudi yako tunaiona, na ni imani yetu kuwa utaidumisha. Mh. Zitto, Mungu amekujalia kuingia katika duru la siasa hali...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Baraza la Madiwani la Manispaa ya Sumbawanga, limepitisha bajeti ya sherehe za kuuaga mwaka uliopita na kuukaribisha mwaka 2011. Hata hivyo, madiwani wa chama cha upinzani Chadema, wameahidi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari toka mtandao wa Wikileak zinaonyesha kuwa mzee wa kazi Dominique Straus Kahn aliwahi kumzingua mdada katika mambo ya kiunoni. Habari kamili zipo hapa. Babu anaonekana ana ubavu sana, at 62...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tofauti na nchi nyingine za Afrika na duniani, Tanganyika,Zanzibar ama Tanzania uhuru kutoka kutoka utawala wa mkoloni haukupiganiwa na wengi (mass movement). Watanganyika wachache ambao ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika mfululizo wake wa maanadamano na mikutano Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimefanikiwa kuishinikiza serikali kulipa mishahara ya watumishi wake mapema. Akiwa katika mji wa...
1 Reactions
51 Replies
6K Views
Rais Jakaya Kikwete akipokea zawadi kutoka kwa Msaidizi Mtendaji Mkuu wa Uongozi Institute, Linda Manu baada ya kuzindua bodi ya chuo hicho jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mwenyekiti wa bodi...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Back
Top Bottom