UTETEZI uliotolewa mahakamani kwa njia ya maandishi na Rais mstaafu Benjamin Mkapa katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Profesa Costa Mahalu...
Nilikuwa katika pilika za hapa na pale, nikakutana na vijana wanaongelea juu ya uozo uliomo ndani ya Mahakama ya Rufaa na Mahakama Kuu, akawa anawaeleza wenzake kuwa kuna waraka umetolewa na...
Akiwa katika ziara yake ya kichama na 'kujitambulisha' kwa wana-CCM wa Mkoa wa Mara,Katibu Mkuu wa CCM,Wilson Mkama ameahidi kuwafukuza wafanyabiashara wote walio ndani ya chama hicho.Kwa jinsi...
Harakati za ukombozi wa kweli wa Tanzania yetu unazidi kushika kasi katika kubomoa ngome mbalimbali za CCM na sasa ni zamu ya chuo kikuu mzumbe.
Dr. Slaa pamoja na wenzake watakuwepo hapa chuoni...
Diwani Vs Spika wa Bunge nani atashinda?
DIWANI wa Kata ya Kijitonyama, Ulole Juma Athuman, amemtaka Spika wa Bunge, Anne Makinda kuifungua barabara inayounganisha eneo la Sinza na Kijitonyama...
"Waziri amesema moja kati ya mambo yaliyosababisha mabadiliko ya Katiba, ni mabadiliko ya Katiba ya Zanzibar. Mabadiliko yale yameifanya Zanzibar kuwa nchi kamili. Na sisi tudai Serikali ya...
Madereva daladala wamegoma kutoa huduma mjini Morogoro kwa kile walichokitaja kuwa kero kubwa kwao kulipishwa ushuru wa Tsh.300/=kwa kila safari wanayofanya waingiapo kwenye Stand ya Manispaa...
na Edward Kinabo
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema chama chake kitahakikisha kinalitumia Bunge lijalo la bajeti kuishinikiza serikali kupunguza...
Jk katika utawala wake kaweka rekodi ya kufanya madudu mengi sana,siwezi kuyaorodhesha hapa kwani watu washayazungumza sana! Ila huyu jamaa kajitahidi sana kukuza demokrasia na kupunguza kuogopana...
Nilikwishawaambia "mawe ni mepesi mkononi, ila ni mazito usoni" sasa leo hii imeanza tarime, mfano ni huu kuanzia sasa, na utaendelea kuwatokea viongozi (watawala)wote.
Mimi ni miongoni mwa...
Kuna tangazo kwenye magazeti ya leo linalohusu kaya takribani 1000 za wananchi wanaoishi kwenye viwanja vya Wazo Hill, kwa maneno mengine wamevamia eneo hili.
Maswali yangu machache kwa serikali...
Am just curious...............
1. Wanajipanga??
2. Wanapangana?
3.Wanashangaa?
Coz kuna habari ya sintofahamu, makamu wa kwanza wa rais Zenj, ambaye ni katibu mkuu inasemekana anaskip vikao vya...
Imepita kama siku tatu hizi,pale ambapo nilimsikia katibu wa CCM bwana Wilson Mukama kwenye taarifa ya habari ya TBC1 saa mbili usiku akibeza viongozi wa CHADEMA wakitembelea kaburi la Baba wa...
Baada ya Nape kuwagusa mafisadi, sasa Nape anashambuliwa kama mpira wa kona, kutoka kila pande. Kwenye magazeti hadi mitandaoni. Ni kweli mafisadi hawagusiki, gusa uone.
baada ya kukiri kwa CDM kwamba wamenunua malori ya mbowe kwa kulipa deni kidogokidogo bila riba inawezekana ikaonekana kama mbowe ameisaidia chadema,lakini mimi naona kuna mgongano wa...
Wasaidizi wana nafuu kuliko rais?
Ansbert Ngurumo
BAADHI yetu hatujaelewa ari, nguvu na kasi ya Rais Jakaya Kikwete. Nina hakika naye ameiimba, lakini hajaielewa barabara.
Kaulimbiu hii...
DEOGRATIUS KISANDU
MGOMBEA UENYEKITI BARAZA LA VIJANA CHADEMA,
Mimi Deogratius kisandu ninawania nafasi ya mwenyekiti wa Baraza la vijana Chadema Taifa katika uchaguzi utakaofanyika mei 28...
leo kwenye taarifa ya habari ya tbc1 kwa mara ya kwanza wameonyesha taarifa ya maandamano na mkutano wa CDM huko Njombe.
wameamua hivyo baada ya wadau mbalimbali wa habari na maendeleo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.