Wajumbe kwanza ningependa kuwashukuru sana baadhi ya watu wanao jaribu kudadavua waasisi wa chdema na ccm sasa ambacho naweza kusema ni kwamba si jambo la hekima sana tukianza kuzalisha hayo kwa...
Na mwandishi wetu
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kiko katika maandamano ya amani yanyofanyika katika mikoa mbali mbali nchini kwa sasa lengo likiwa ni kuzunguka nchi nzima...
Juzi na Jana South Africa kulikuwa na Special Vote, Police, Madokta na Manesi, Wanajeshi, Wazee na Wagonjwa wakioa kuwa wamelazwa Hospitalini wakichagua madiwani, wakuu wa wilaya (Vitongoji)...
Kwa kawaida kila kiongozi huwa ana malengo ya kufikia katika kipindi cha uongozi wake, malengo hayo ndio huzaa mipango, mikakati, majukumu na utendaji a kila siku. Mara nyingi viongozi wetu huwa...
Mbunge wa Kyela (CCM), Dk. Harrison Mwakyembe, amejibu mapigo ya Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi maarufu Mr. II, kwamba hana ubavu wa kumng'oa katika uchaguzi mkuu...
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimemshutumu Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, kuwa ni miongoni mwa wanasiasa wanaowahadaa wananchi kutojiunga na Chadema kwa sababu ya dini...
Africa Review|Daily Nation|Business Daily|NTV|Daily Monitor|The Citizen|Mwananchi
Tanzania police top corruption list
Tanzania's President Jakaya Kikwete. An anti-corruption agency report...
KADA wa Chadema, Fred Mpendazoe amewataja mawaziri wawili wa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete, mbunge mmoja wa CCM na makada wengine wawili wa chama hicho tawala kuwa ni miongoni mwa watu waliokuwa...
Nashangaa kila nikiingia humu mazungumzo ni kuhusu hao watu 3!!me naona tunawapa ccm ahueni sana,wanafanya madudu bali hawana wasiwasi kwani wanajua hatutahoji ,tupo bize na mapacha 3!!
Hao...
Join us in raising moraly sensitive Tanzania society under Save the Society (StS) NGO. We are all youth with vision for MORALITY and LEADERSHIP as the only reserved way to take us where we were...
Wakuu,
Je hapa tunaweza kujifunza kitu?
Nilikuwa namsikiliza Mzee Butiku kwenye kipindi cha This Week In Perspective juzi, alisema kuwa mtu yeyote mstaafu aliyekuwa Kiongozi Mwandamizi...
Monday, 16 May 2011
* Akomba wanachama wake 239
* Chiligati: Mamluki CCM kudhibitiwa
Na Ghati Msamba, Bunda
Gazeti la Uhuru
KIMBUNGA cha Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama, kimeitikisa...
Hivi hawa chama tawala eti wanajiandaa na madhimisho ya miaka 50 ya uhuru. Yaani miaka hiyo yote wametufanyia nini hawa ?
Au wanjaiandaa kuadhimisha miaka 50 ya ufisadi hapa Tanzania !
Poleni sana na maisha magumu Watanganyika wenzangu, tufafika tu mdogo mdogo. Mimi sina mengi ila najaribu kuangalia hizi tuhuma mpya za kisiasa ambazo Mpendazoe amezitoa hadharani jana, inaonekana...
Na Faida Muyomba, Geita
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilayani Geita kimewataka viongozi (CCM) kutotumia fedha za wananchi kwa kueneza propaganda wanazodai za uongo majukwaani...
Tanzania's President Jakaya Kikwete. An anti-corruption agency report indicates that the vice continues to thrive under his watch. Photo/LEONARD MAGOMBA
By SYLVESTER ERNEST in Dar es Salaam...
Wanaharakati walaani vurugu Zanzibar.
Wakiongea na vyombo vya habari, wanaharakati wa kituo cha sheria na haki za buinadamu wamekemea kwa ukali sana uvunjifu wa haki na kuteketezwa mali za...
Tuesday, May 17, 2011, 9:38
Biashara, Mtanzania
*Serikali ilitanguliza fedha badala ya elimu ya ushirika
Na Arodia Peter, Dar es Salaam
MWANZONI mwa miaka ya 1960 na 1970, mikoa ya Kagera na...
wadau jana Prof. Maghembe aligeuka kuwa kama JK kwenda kutembelea masoko ili kuona bei za mazao, ziara kama hizi zisizo na tija za kutafuta umaarufu zlishawahi kufanywa na JK ambazo mpaka leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.