Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Hoja yangu inalenga hasa kwa maeneo ya mjini ambako ndo kuna kizungumkuti katika uendeshaji wa halmashauri za miji. Pendekezo langu ni kwamba tupunguze maeneo ya halmashauri za miji. Mfano: 1...
1 Reactions
16 Replies
7K Views
Ndugu zangu, Nimemsikia Kikwete akiwaambia mawaziri kwenye semina elekezi Dodoma kwamba uchaguzi unapoisha unaashiria mwanzo wa uchaguzi unaofuata. Hivi nchi hii itakuja iendelee lini jamani...
2 Reactions
35 Replies
4K Views
Nakuomba ndugu Lula Wa Ndali rudia tena yale maoni yako kuhusu muungano na vituko vya wazanzibar nakumbuka uliweka wazi kabisa tena kwa hoja kuwa tusifike sehemu ya kuchomeana vibanda vyetu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nionavo mie tatizo la umeme hapa nchini ni sawa na la chakula. Chukulia mfano huu, mkulima mdogo ana eneo pana la kulima karibu na mto lakini anatumia jembe la mkono kulima sehemu ndogo tu kila...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Namkubali sana Nyerere kutokana na jinsi alivyokuwa kiongozi shupavu mwenye kuweza kumnyamazisha na kumpotezea yeyote yule,kipindi chake nidhamu ilikuwepo bwana.Watu walikuwa wapigwa ban za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
*Awaagiza watendaji waiokomeshe ili CCM ishinde 2015 *Asisitiza nidhamu ya matumizi ya fedha za walipakodi *Makamu wa Rais: Ufisadi ulipunguza ushindi wa CCM Na Pendo Mtibuche, Dodoma RAIS...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
SALAM ZA MWAKA MPYA ZA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHESHIMIWA DKT.JAKAYA MRISHO KIKWETE KWA WATANZANIA, TAREHE 31 DESEMBA, 2010 Ndugu Wananchi; Habari za jioni. Leo tunauaga...
0 Reactions
162 Replies
16K Views
Wana JF Kwa mwezi mzima nimekuwa nikifuatilia vurugu za uchaguzi za uganda kutokana na kile wanachodai kuwa uchaguzi haukuwa huru na haki zikiongozwa na Dr Kiza Besige kuongozi mkuu wa upinzani...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nidhahili nikiwa naona kuzaliwa kwa CCM ni takribani miaka 30 na ushehe hivi tangu kiko Madarakani!! Ajabu wananchi wake wamekata tamaa!!Je nikwanini wananchi wameendelea kusota kwenye Dimbwi la...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa maoni yangu, kama kuna eneo rais ameonyesha mapungufu makubwa, ni katika kulinganisha gharama iliyotumiwa na faida iliyopatikana (value for money). Kwa mfano, hivi majuzi wakati akifungua...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
wana jf hivi lini hospitali yetu ya muhimbili itakuja kuwa bora kwa huduma? Inasikitisha sana kuona watu wanapoteza maisha kwa ajiri tu yakukosa pesa kidogo ya kIpimo au que ya kumuona...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
CHADEMA yamuonya Ngawaiya asikurupuke na Grace Masha, Moshi CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimemtaka Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Baada ya kuchomewa nyumba na biashara zao, wale Watanganyika wenzetu bado wanaendelea kuteseka kwa kuishi maisha mabaya kuliko hata wakimbizi. Kwa sasa wamehifadhiwa katika vyumba viwili vidogo...
2 Reactions
43 Replies
6K Views
Hizi cheki zina matatizo yake.. Toka kwa Mjengwa Blog
0 Reactions
167 Replies
15K Views
Katika gazeti la Mwanahalisi la leo, anaonekana mtoto anayekadiriwa kuwa na miaka 12 akiwa na bango likisema "KIKWETE KAMA NCHI IMEKUSHINDA NIPE MIMI" nionavyo hii ni kejeli iliyopitiliza katika...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
* Wakwepa kodi ya mamilioni ya fedha TRA * Ni ya kuingiza vifaa vya uchaguzi, mishahara * Mbowe, Ndesamburo kukifilisi kwa madeni * Slaa abainika kujilipa posho ya nyumba mara mbili...
0 Reactions
92 Replies
7K Views
Wakati hali ya muungano ikiwa tete hebu tuchukulie umeshavunjika alafu mchakato wa kugombea uwakilishi visiwani utakuwaje wale wa kule vs wa jamhuri si patakuwa hapatoshi au watakata tena...
0 Reactions
64 Replies
5K Views
Nimejaribu kujiuliza sikupata majibu, nikaona nilete hapa jamvini. Hivi kuna tatizo gani kwa kiongozi kwenye chama au taasisi fulani kuongoza watu wanaomzidi mshahara? Mfano, uwe waziri lakini...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Juzi juzi Mheshimiwa Kikwete alifanya Semina Elekezi kwa Mawaziri wake na katika Semina hiyo alidai kwamba kila Wizara ina Msemaji wa wake na ni vizuri wawe wanajibu kila hoja inayotolewa dhidi...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Jamani kwa kweli baba wa taifa alikuwa na malengo na nia nzuri sana kwa watanzania. Ebu tuziangalie imani za chama chetu cha Mapinduzi. Nita nukuu.... Chama kinaamini kwamba:- Binadamu wote ni...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Back
Top Bottom