Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
CCM imetoa miezi mitatu kwa makada wake wanaotuhumiwa ufisadi wawe wamejitoa katika nafasi walizonazo katika chama. Sasa kama ni hivyo ina maana waendelee kutanua Serikalini na Bungeni? Ingekuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi nasikitika sana kuona sisi kamataifa moja tamaduni moja lugha moja tunakuwa na mawazo yakutengana kwakutafuta sababu eti muungano uvunjwe iwepo serikali ya zanzibar naserikali ya tanganyika...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Written by mkulima // 29/04/2011 // Habari // No comments April 28, 2011 Rais Jakaya Kikwete Zanzibar Daima imepokea barua ifuatayo kupitia njia ya e-mail kutoka kwa anwani iliyojitambilisha kama...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Julius Kambarage Nyerere, kwa moyo wake wote, fikra zake zote, kauli na vitendo vyake alipigania na kutetea Utu wa Taifa la Tanzania. Utu wa Taifa ni heshima ya Taifa, Ni uzalendo wa taifa, Ni...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Makala iliyoandikwa na Ahmed Rajab katika Raia mwema ya wiki hii, ambapo pamoja na mambo aligusia hatua ambayo ilichukuliwa na Baraza la wawakilishi ya kupitisha sheria inayoondoa suala la mafuta...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wajumbe wenzangu JF: Hivi kweli CCM wataweza kumaliza ufisadi hapa nchini? Inakuwaje tuhuma za ufisadi zachunguzwa na kumalizwa na vikao vya CCM badala ya vyombo rasmi vya sheria? Someni hii...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
  • Closed
Written by mkulima // 30/04/2011 // Habari // No comments...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Jamani mie kila siku nawatafakari Watanzania nashindwa kuelewa sisi ni watu wa aina gani? Je sisi ni sawa na viumbe binadamu kama wengine au tuna mapungufu ya akili ukilinganisha na wanadamu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Leo ni siku ya pili ninahudhuria semina ya maadili kazini inayp tolewa na taasisi ya maendeleo ya chuo kikuu cha dar es salaam na kufadhiliwana ofisi ya raisi, lengo hasa la semina hii ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MAMIA ya wakazi wa Jiji la Arusha leo wanatarajia kujitokeza kwenda Mahakamani kusikiliza kesi inayowakabili vigogo wa Chadema, wakiongozwa na Mweyekiti wa chama hicho Taifa, Freeman Mbowe na...
0 Reactions
176 Replies
13K Views
Wandugu, nachukuaa fursa hii kuwafagilia CCM kwa hatua inazochukua ambazo zimeendana na utafiti wa kisayansi. Uamuzi uliochukuliwa White House, Dodoma ulikuwa mgumu hatahivyo wa lazima kuendana na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Napenda kutumia huu mtandao mashuhuri nchini Tanzania wa jamii forums (JF) kufikisha malalamiko yangu kwenu.naamini kabisa hata wamiriki wa mtandao huu (JMCL) watanisaidia kuwafikishieni taarifa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Toka alipokuwa anafanya halakati za kuingia mjengoni, na hatimaye amefanikiwa kuingia mjengoni,sikutegemea lolote toka kwake hasa ukiangalia historia ya ufanisi wake wa kazi huko aliko pitia...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Jumuiya ya Wanataaluma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA) imeandaa Kongamano la Pili la Katiba litakalofanyika katika ukumbi wa Nkrumah Chuo Kikuu cha Dar es Salaam siku ya Jumamosi, tarehe 02...
1 Reactions
490 Replies
33K Views
WAKONGO wa Kinshasa na kwengineko wanaujua wimbo huu; ”Papaa Mobutu ee, lokuta monene, oy'akanisaka, MPR ekokufaha, wayahaa, Tata Marechal, tikala libela, tata Mobutuee, tikala libela...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Bassaleh:hamuwezi vunja Muungano - mzalendo.net - blip.tv
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wana JF, nimemsikia jioni hii BBC Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Bw. Nape kuhusu kujivua gamba. Ila kwa matamshi anayoyatoa ya kumchafua Ndg. Edward Lowasa siyo ya kiungwana wala kianaume, kwa...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Salaam! Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia mwenendo wa jumuia za wanachuo na hasa Chuo Kikuu Dar. Makongamano, mihadhara, vigoda vya kitaaluma na kadhalika kujadili na kuchambua mambo mbalimbali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni huko Gongolamboto. Slaa alikuwa mmoja ya waombolezaji. Makongolo na wafuasi wake pia walikuwapo. Lakini baada ya Makongolo na watu wake kuondoka, huku nyuma (msibani) zikarindima risasi...
0 Reactions
57 Replies
7K Views
Back
Top Bottom