Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Katika Kikao cha Bunge lililopita nilishangazwa kumsikia Mbunge Henry Shekifu akiwasifia bila aibu polisi kwa kuua na kujeruhi katika maandamano huko Arusha, kwa kusema waliovijaribu vyombo vya...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
haya ni machale yangu binafsi yanayonicheza kuwa huyu mama anajipanga,..ndio home sweet home lakini hivi vitrip vyake lately sio bure halafu ****** body language yake pembeni ni kama...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Hodi hapa barazani, salaam! Hoja ya haja, Kwakua wakati wa uteuzi wa spika walitumia kigezo cha jinsia ili kuwaengua baadhi ya watu (Samuel Sitta mathalani) kutoka kwenye kinyang’anyiro cha...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Imeandikwa na Frank Leonard, Iringa; Tarehe: 29th April 2011 KIKAO cha Baraza la Madiwani wa Manispaa ya Iringa jana kiligeuzwa kwa muda kuwa uwanja wa kurushiana maneno baada ya Mbunge wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
They are talking about 47 yrs of the Union.
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Kesho tunatarajia hukumu ya kwanza ya kesi za EPA katika Mahakama ya Kisutu. Hukumu hiyo itakayosomwa na mahakimu watatu ambao ni Saul Kinemela, Focus Bambikya and Elvin Mugata itakuwa dhidi ya...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu JF Siku moja nilikuwa nasoma makala moja kwenye Internet iliyoandikwa FOOLISHNESS OF AFRICAN SLAVES. naomba niwashirikishe kwenye kisa hicho ili hapa GREAT THINKERS muweze...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ziko sifa kadhaa ndogondogo za kumfanya mtu aweze kuchaguliwa na wananchi kuwa Rais wao. Lakini kubwa sana zenye ushawishi kwa watu kuweza kumchagua mtu ni hizi hapa; 1. Historia ya utumishi...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Nashangaa, kwani ni Jeshi la Polisi walitumia risasi za moto?? Kuna Risasi za mpira, hata Uganda zipo. Jeshi la Polisi lishitakiwe.. Jeshi la polisi Tanzania hawajui kuhusu rubber bullets
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Askofu Godfrey Mdimi Mhogolo wa Dayosis of Central Tanganyika Mkoani Dodoma,amemjia juu Katibu Mkuu wa Chadema na chama chake kuwa wana wachezea Watanzania kwa kujijengea umaarufu rahisi(cheap...
5 Reactions
226 Replies
23K Views
Katika kile kinachoonekana kuwa sasa wanatangaza vita, gazeti la Mtanzania linalomilikiwa na Rostam Aziz na kusimamiwa na Hussein Bashe limemchimba JK kwa kuandika leo kwamba Kikwete naye fisadi...
10 Reactions
202 Replies
20K Views
Hv sijui tunaelekea wapi Tanzania,DSM haina RC kwa muda sasa hii sio kusema wenye sifa hawapo bali propaganda zinaendelea,Kuna kitu nyuma ya pazia kina eleza kuwa kuna yule aliyekosa jimbo Arusha...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Raisi hawazi kuweka maendeleo kwa kuchagua wakuu wa mkoa ambao wanahama kila siku na wengi wao hawajui mazingara ya mkoa wanaoongoza. Kikubwa na kibaya zaidi ni kwamba kama mkuu wa mkoa akifanya...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Nikiwa nimefunzwa na kufuzu shule ya msingi na kukubuhu hasa katika maswala ya nahau na methali, napenda kuwakumbusha baadhi. Kwanza wahenga walisema "ukitembea na mwizi na wewe utakuwa mwizi"...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Parliament of Tanzania Nashauri Wana JF Tutembelee website hiyo tutoe maoni najua wengi tumeusoma vizuri ( link: http://www.parliament.go.tz/bunge/constution.php)
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Event: Tafakuri ya kina ya Azimio la Arusha na nafasi yake kwenye mjadala wa Katiba Date: 30/04/2011 Place: Nkrumah Hall a.k.a Nkrumah all Main Speaker: Prof Shivji Time: From 9: 30 AM to 2 PM...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Thursday, 28 April 2011 21:04 Elizabeth Suleyman UMOJA wa vyama vya Upinzani Mkoa wa Dodoma, umemwandikia barua Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu( Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Na Rehema Mohamed MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imewataka walalamikaji katika kesi ya kupinga uchaguzi iliyofunguliwa na Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, Bw. James Mbatia na wenzake...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nawasalim wana JF Naomba tuweke kando ushabiki wa vyama tusaidiane kwenye hili la CUF: Mwenyekiti LIPUMBA kwa sasa achana na mbio za uraisi andaa sura mpya kwa uhai wa chama. LIPUMBA msomi...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
MKUTANO mkuu wa kuwachagua viongozi wa ngazi za juu wa Baraza la Vijana wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) unatarajia kufanyika mwishoni mwa Aprili, mwaka huu. BAVICHA haina uongozi...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Back
Top Bottom