Katibu wa Bunge, Dk. Thomas Kashililah, amejitosa ulingoni kujibu mapigo ya wakosoaji wa utendaji wa Spika wa Bunge, Anne Makinda, wanaodai kwamba kazi hiyo imemuelemea.
Kujitokeza kwa Dk...
Mei mosi ni siku ambayo wafanyakazi wote nchini wanaungana na wenzao wengine duniani kuazimisha siku yao ya Kimataifa na mimi nikiwa mmoja wa wanaothamini mchngo wao katika jamii napenda kuchukua...
Kinachowashangaza watanzania na wenye kuitakia mema nchi hii ( sio CDM ) ni pale ambapo CDM kususia sherehe zote za kitaifa japokuwa hupewa mualiko rasmi. Hivi hizi sherehe zote za kitaifa hazina...
LEO Watanzania tunaadhimisha miaka 47 ya Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar. Mwaka 1964 waasisi wa Muungano huo, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Abeid Amani Karume, walikaa pamoja na...
Wakati wa Kenya wanamuondosha kwa furaha Rais mstaafu Daniel arap Moi na kudhani ndio kikwazo cha maisha yao. vumbi la machafuko liliikumba baada mpinzani wake ambae ni rais wa sasa Kuvuruga amani...
CHAMA cha UPDP kimefanya mabadiliko ya uongozi kwa kumwondoa aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho Abdallah Ally.
Mwenyekiti wa chama hicho, Fahmi Dovutwa, alisema mabadiliko hayo yalifanyika...
Waafrika habarini za saizi tena kwa mara nyingine tena twamshukuru mungu mwenyezi mjaza neema ndogondogo na kubwa nene na nyembamba fupi na ndefu kwa uhai wake kukupa nafasi tena kuwepo jamvini...
Katibu wa bunge bwana Kashillillah aliita waandishi wa habari kuelezea minyukano iliyojitokeza katika mkutano wa 3 wa bunge hili la 10, aliuleza umma kwamba kilichosababisha ni ugeni wa wabunge na...
NI saa 12 asubuhi, mlango wa chumba changu unagongwa: Kaka Zitto, kaka Zitto, ndivyo mama yangu Bi Shida huita wanawe wote wa kiume.
Naamka, mama ananiambia: Shelembi ametutoka. Ni kama...
Maneno haya yametamkwa na ndugu Shitambala.........
...Anaongeza: Hicho chama nilikuwa naendesha kama kampuni binafsi. Kwani nilikuwa natoa fedha yangu mfukoni, na hawawezi kunikwamisha...
Hakika Chama kimepoteza watu muhimu ambao waliweza kuleta changamoto ndani na nje ya Chama.Binafsi nikiwa si MwanaCDM lakini nilivutiwa sana na viongozi hawa.Hawa ilikuwa ni tunu ya Taifa kwa...
"......kama baadhi ya watu wanavyohoji chimbuko la Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kati ya Julius Nyerere na Abeid Karume ndivyo leo watu wanavyotaka kujua ni makubaliano gani yaliyofikiwa kati...
Hili swala la kijivua gamba naona kama ni mchezo wa kitoto, hii inatokana na ukweli kuwa ccm ina idadi ya viongozi wengi ambao wamekuwa kero na kikwazo kwa maendeleo ya chama hata nchi kwa ujumla...
Utetezi wa kwanza: Tanzania kama wazo
M. M. Mwanakijiji
Mola nakuabudia
Sifa nakurudishia
U peke nakuinamia
Jinalo natukuzia
Kalamu naishikia
Wazo naliandikia
Linahusu Tanzania
Mama...
Katika harakati za kujikwamua na maisha aliyekuwa mbunge wa Nkenge Nazir Mustafa Karamagi(CCM) na Salim Mohammed Salim wameamua kuanzisha kampuni ya mawasilino kuwa mshindani wa...
Awila Silla, Singida
NAIBU Waziri wa Ujenzi, Dk Harrison Mwakiembe, amewataka wakandarasi wanaotengeneza barabara za lami, kuacha mara moja, tabia ya kugeuza kodi za Watanzania kuwa ni...
Exuper Kachenje
MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, Januari Makamba amesema kamati yake italihoji Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (Tanesco), kuhusu upotevu wa mabilioni ya...
Kila mtu sasa anashangilia kuwa CCM inajisafisha kwa kuwatema watuhumiwa wote wa ufisadi, miezi michache iliyopita tuliambiwa kuwa CCM ni chama kinachofuata utawala wa sheria kwamba kisingewaacha...
Wandugu,
Jamani wadau mliopo huko Shinyanga Mjini mtuhabarishe na ikiwezekana hata ku-post picha za mazishi ya Kamanda Shelembi aliyepokwa ushindi wa Ubunge wa Jombo la Shinyanga Mjini. Kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.