Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Hii ndo shule Watanzania tumesoma na bado zipo sana Tanzania.Je tutafika katika karne hii ya sayansi na technolojia?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ulipowadia wakati wa halaiki iliyowashirikisha wanafunzi 500, mvua kubwa ilianza kunyesha na kuvuruga kabisa sherehe hizo.Kwa mujibu wa ratiba ya sherehe hizo, kipindi kilichokuwa kikifuatia ni...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Mkinga Mkinga 26 April 2011 The newly appointed Chama Cha Mapinduzi (CCM) secretary general, Mr Wilson Mukama, has scoffed at critics of the ongoing campaign to weed out corrupt elements in...
0 Reactions
4 Replies
983 Views
Katika kuadhimisha miaka 47 ya Muungano wa JMT, Kiongozi mmoja na immediate past President, Dr. Amani Karume hakuonekana. Jee alikuwa wapi (maana hatujasikia kusairi) na inaashiria nini...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Na Maggid Mjengwa, INAZUNGUMZWA sana mitaani , dhana hii ya CCM kujivua gamba. Najiuliza, je, huku ni ‘ Kuzaliwa kwa Chama ‘kipya’ au kuzaliwa ‘upya’ kwa chama kikongwe? Unaweza kukiona...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
UMOJA wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) uliundwa kwa lengo la kuwaunganisha na kuwaandaa vijana wa Tanzania ili kulinda na kutetea mapinduzi ya Afrika. UVCCM ilikuwa jumuiya miongoni mwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Je Watanzania sisi ni taifa la wapendao kufanya kazi kwa bidii au ni taifa la walalamishi? Jamii forum inajiita kuwa ni jumuiko la wanaofikiri {GREAT THINKERS}. Kwa bahati mbaya Great...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau, Chadema ina bahati ya kuwa na vijana madhubuti wenye uwezo mkubwa na ushawishi mkubwa katika jamii.Miongoni mwao ni wale waliokuwa wagombea ubunge sehemu mbalimbali nchini.Ninatoa wito kwa...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamani nisaidieni kujua. Hawa wanasiasa wetu mara nyingi wanahubiri wasiyoyaamini wenyewe na hawajali wanaowarepresent. Hivi kweli hawa watu wana dini na wanamwogo mungu?pa
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Salaam wanajamvi, Habari za uhakika zinasema kuwa Rais Kikwete amemteua Prof. Idrissa Bilali Mshoro kuwa Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya Shirika la Utafiti na maendeleo ya viwanda (TIRDO)...
0 Reactions
110 Replies
16K Views
Hekima na busara ni kitu muhimu kwa binadamu,kinapokosekana kwa binadamu ufanya vitu vya ajabu,hasa inapotokea kwa binadamu huyo kupoteza hekima na busara na kubaki na kauli.Hili limetokea kwa CCM...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
..busara ambayo ina mantiki na labda wenye hisia za kichama zaidi wataona ina makengeza ya ajabu ni hii...chama tawala isishiriki kwa namna yoyote ile katika kuandaa na kutekeleza mchakato wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
source; Tanzania Daima na Mwandishi wetu Barua za makada watatu wanaotuhumiwa kwa ufisadi ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Rostam Azizi, Edward Lowassa, na Andrew Chenge, za kuwataka...
1 Reactions
28 Replies
4K Views
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo, amevitaka vyama vya siasa na serikali kwa ujumla kuacha mara moja kuwazuia watu wanaodaiwa kuwa mafisadi kwenda kupata...
1 Reactions
63 Replies
8K Views
As am watching TBC (one of the rare moments that I do) am reflecting on Mwl. Julius Nyerere. With his failures as a human being he remains a true son of Tanzania. He is a hero in many aspects...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Kuna mikakati ya muda mrefu na ya muda mfupi kwa vyama vya siasa kuwin washabiki na wanachama wengi kipindi fulani! Hapa kuna long term strategies na short term strategies ikitiegemeana na haswa...
4 Reactions
112 Replies
10K Views
Sisi hatuna makubwa. Kwa kuwa ni watutunao tawaliwa(kikoloni) na Tanganyika kwa kisingizio cha muungano, tunachotaka ni "independence", "Freedom" and "Democracy". Sina haja kuchambuwa kila...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Danson Kaijage “NI lazima Wilaya ya Kilombero iwe na heshima ya kimaendeleo, haiwezekani wilaya yenye vyanzo vya kuzalisha umeme na yenye kulima mpunga kwa wingi, wananchi wake wawe nyuma...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kitaendelea na ratiba yake ya kufanya maandamano ya amani katika mikoa minne kuanzia wiki ijayo. Chama hicho kimesema kuwa ziara hiyo ya...
1 Reactions
33 Replies
3K Views
Tamko la Jumuiya za Kiislamu Zanzibar juu ya sherehe za Muungano Sherehe za Muungano Zanzibar, wananchi wasusia Posted on April 26, 2011 by zanzibarpost Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom