Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
wadau hebu angalieni mjadala.
0 Reactions
113 Replies
10K Views
Katiba Mpya: Tunachotaka sasa Na Mabere Marando - Imechapwa 20 April 2011 (Source - Mwanahalisi) KUNA madai kwamba kinachohitajika sasa ni kuwaelimisha wananchi juu ya katiba iliyopo kabla...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
DIWANI wa kata ya Mgama, wilayani Iringa Vijijini, Denis Lupala (CCM), yuko matatani baada ya kumwita Naibu Katibu Mkuu CCM, Tanzania Bara, Kapteni John Chiligati, kuwa ni fisadi na anapaswa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Rais Mstaafu Benjamin Mkapa anatarajiwa kutinga mahakamani Kisutu, katika kesi inayomkabili Prof Mahalu juu ya manunuzi wa nyumba akiwa balozi nchini Italia. Rais Mkapa atatua Kisutu kutoa...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Na Mabere Marando KUNA madai kwamba kinachohitajika sasa ni kuwaelimisha wananchi juu ya katiba iliyopo kabla ya kuandika katika mpya. Nina maoni tofauti. Suala la leo si kujua katiba yetu ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nape unadai Kikwete na familia yake wanachafuliwa kwa kuhusishwa na hao watu kwani nyoka anajivua magamba. Kijana hizi picha zinadanganya ? Kumbuka Wapemba hutambuana kwa vilemba na ndege wa...
7 Reactions
5 Replies
3K Views
Katika siku ya wafanyakazi May 1995, rais mstaafu na mwenyekiti mstaafu wa CCM Mwl. Julius K. Nyerere ndiyo alikuwa mgeni rasmi. Alitoa hotuba ndefu kidogo iliyo jaa maono na muongozo. Lakini...
2 Reactions
46 Replies
4K Views
kuna mkufunzi wetu mmoja hapa chuoni kwetu udom ametueleza leo muungano ulikuwa tarehe 22 april ndio siku waliosaini makubaliano tarehe 26 ni siku ilikuwa ya sherehe ya muungano pia kuna mzee...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Itashangaza CHADEMA kikipoteza nafasi hii adimu! Lula wa Ndali-Mwananzela Aprili 20, 2011 CCM imeanza kuteka hoja zao, moja baada ya nyingine CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
SOURCE : Nape: Wapinzani wachukue watuhumiwa ufisadi CCM Ramadhan Semtawa KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, amesema chama hicho hakitishwi na uwezekano wa vyama vya upinzani...
0 Reactions
51 Replies
4K Views
Wana JF, Mimi naomba mnisaidie kuelewa juu ya siasa zinazoelezwa na CCM hasa kila wanapokuwa katika mikutano yao iwe mijini au vijiji Kuhusu Amani Tanzania: Kila wanapokuwa katika majukwaa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimejaribu kutafuta maana na tafsiri sahii ya usemi "kujivua gamba" . Neno gamba kwa maana pana ni kama nyumba au kitu mfano wa container lkinachotumika kuhifadhia kitu/vitu fulani; kwa msingi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Heri ya pasaka wakubwa. kukaa kwangu kote sijasikia habari kuhusu kila kambi ya upinzani ya kila nchi miongoni mwa nchi za afrika mashariki zikijadili kuhusu kupeleka wabunge watakao wakirisha...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Tutawapeleka Hague Posted on April 27, 2011 by zanzibaryetu Wakati watanzania tunaadhimisha miaka 47 ya muungano, kundi la watu kumi walioanzisha mchakato wa kudai hati ya Muungano kati ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
By Emmanuel Lengwa 27th April 2011 The recently established task force by Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) in Mbeya Region, christened as 'Chadema Twanga Kotekote' yesterday (April...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wana jamii tupatieni taarifa ya mazishi ya mpambanaji wa CHDM aliyeaga dunia huko shinyanga. "Askari mmoja anapokufa vitani huwaongezea NGUVU waliobaki kuendeleza mapambano kwa bidii zaidi"
0 Reactions
1 Replies
1K Views
HAWA WAPINZANI WA KIBONGO SIWAELEWI,WANA NIA KWELI YA KUTUVUSHA AU NI TAMAA ZAO BINAFSI,NAOMBENI MISIMAMO YA JOHN CHEO,AUGUST MREMA,MTIKILA NA WENGINE...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna wakati Nimuangaliapo mwanadamu huwa ninasisimuka sana. Ninasisimuka nimuangaliapo mwanadamu katika umoja wake na zaidi pale wanapokuwa katika wingi wao. Sisisimuki kwa sababu ya jinsia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Samson Mwigamba KIFO chake kimetokea ghafla sana lakini hatuna zaidi ya kumwachia Mungu ambaye ndiye hupanga nani atangulie na nani afuate. Hii leo Jumatano Aprili 27, 2011 niko mkoani...
7 Reactions
31 Replies
7K Views
*Kaulimbiu mpya sasa ni ‘Towards New CCM’ *Nape: Mapinduzi makubwa yaja, viongozi wajiandae *Vuai: CCM Zanzibar tunakabiliwa na kazi nzito *Cheche za mrithi wa Makamba ni nguvu ya soda? Na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom