Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Katika hali inaayoonekana kutaka kukiimarisha chama hasa kwa kutumia vijana, Chama Cha Mapinduzi kinajiandaa kutumia mitandao ya kijamii kama vile Facebook, twitter na mingineyo kwa ajili ya...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Katika mjadala unaoendelea wa marekebesho ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuna malalamiko na lawama zinazoanzia Zanzibar kwamba mpangilio na utaratibu wa sasa umemshusha hadhi Rais...
5 Reactions
6 Replies
2K Views
Naandika haya nikitafakari maduduku, malalamiko ya wananchi hususani wazanzibari kwa upande mmoja kwamba muungano unanyonya/unakwaza na kufifisha maendeleo ya sehemu hii ya muungano n kwa upande...
2 Reactions
76 Replies
7K Views
wakubwa hivi mnajua muda uliotolewa na CCM kwa mafisadi kwa wamejiandoa chamani ni 10/7/2011 na ikifika 11/7/2011 basi 'mafisadi' watatoswa.Leo ni karibu wiki tatu lakini hawajapewa barua...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Martin Kaswahili TANGU kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge, na madiwani mwezi Oktoba mwaka jana, nchi yetu imeshuhudia matukio kadhaa ya kipekee ambayo huenda yakawa kiashirio cha...
1 Reactions
36 Replies
3K Views
Kama mimi ningelikuwa mmoja wa wale mapacha 3 wa UFISADI al-maarufu RACHEL ningelichukua uamuzi ambao CCM wasingesahau: Uamuzi huu ungelikuwa kama ifuatavyo: Kwanza tungelifanya kikao na kuweka...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Friday, 22 April 2011 Fidelis Butahe MWASISI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edwin Mtei amesema siku za CCM kukaa madarakani zinahesabika kwa kuwa chama hicho kimekosa usimamizi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wanajamvi; Haya masuala hayawezi kamwe kwisha iwapo wahusika wanakenuliwa meno tu na JK na serikali yake. JK yuko tayari kila mara kuwaambia wananchi -- "Kuongezeka kwa gharama za umeme...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kikwete ndie aliyemmbeba Lowasa na hivyo hivyo, ndivyo hatakavyo mdondosha. Japo jamaa yake huyo anakusudia adondoke nae,na kwa kuwa yupo aliyemjenga mwenzie, huyo aliyemjenga mwenzie ndie atakae...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WanaJF wenzangu mimi nauliza je JK atatoa hotuba leo? Au atapotezea tena! Nimewasikiliza watangazaji wa TVZ na TBC1 wakidai ni bora leo atoa hotuba ili kukidhi matakwa wa watanzania wengi. La...
0 Reactions
0 Replies
909 Views
……hapa hatukuja kutazamana sura kama unampenda kanywe chai….. Pengine watanzania wengi hawaifahamu kauli hii na hawajawahi kuisikia hata siku moja na hawajui nani aliisema? Kumbukumbu za...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna sababu Kadhaa za kupendekeza CCM Ifutwe kama ifuatavyo: 1. CCM imekubali kuwa imekumbatia mafisadi. CCM imewataja Lowasa, Rostam na Chenge kama vinara. Hawa ni wachache tu kutoka...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Ndugu Jaji fredrick werema, Anazungumzia kuhusu Sheria ya Marejee ya katiba, kifupi anautetea mshwaada!washa tv angalia!
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Written by Mrfroasty (Ufundi) | 25/04/2011 Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ikulu – Magogoni, Dar es Salaam Tanzaania. Kwako Mheshimiwa Rais, YAH...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
*Kijana UVCCM awarushia tuhuma nzito *Awapa siku 21 watuhumiwa wang’oke Na Mwandishi Wetu - Mtanzania MJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Dar es...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Siku za mapumziko rasmi Tanzania ni mzigo kiuchumi kwa vile siku hizo zimeakisiwa kisiasa zaidi kuliko kiuchumi. Madhara yake kiuchumi ni makubwa kwa nchi inayohangaikia kujikwamua ili kukuza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwalimu katika speech yake ya mwaka 1970 uko New York akiongea na Maryknoll Sisters' Confeerence anasema. "My purpose today is to suggest to you that the church should accept that the development...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Today, we are asking this question after last week’s revelation that the India-based firm, Rites, is demanding a total of Sh177 billion as the cost of ending the deal it sealed with the Tanzanian...
0 Reactions
105 Replies
8K Views
Akiwa ziarani rais wa JMT alikiri kutojua chanzo cha umasikini,,akajibu hivi Hata mimi sijui sababu,huwa najiuliza kila siku swali hilo lakini sijapata jibu,mwisho wa kunukuu Leo namwuliza JK ni...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nikiangalia madudu yanayofanywa na serikali ya JK miaka 50 baada ya kile kinachoitwa uhuru ndani ya nchi inayodaiwa kuwa ni kisiwa cha amani huku wananchi wake wakiogelea kwenye lindi la ufukara...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom