Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Naye Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Eusebius Nzigilwa, ameelezea wasiwasi wake juu ya uundwaji wa Katiba mpya kutokana na kuendeshwa kwa misingi ya kichama badala ya maslahi ya...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Mjumbe wa UVCCM mkoa wa Kilimanjaro Paul Makonda ameomba serikali imnyang'anye Rostam uraia na kumfukuza nchini Source radio one news
0 Reactions
90 Replies
9K Views
Written by haki | // 0 comments Email This BlogThis! Share to Twitter Share to Facebook Mwenyekiti wa chama cha Tanzania Labour (TLP), Augustino Mrema ambaye pia ni Mbunge wa Vunjo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ussi Khamis Haji August 27, 2008 zanzibar daima Kuimarisha Muungano Katika Utangulizi (Preamble) wa Makubaliano ya Muungano baina ya Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya watu wa Zanzibar ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
A FORMER Prime Minister and veteran politician, Dr John Samuel Malecela, has cautioned on the prevailing complacency on peace and political intolerance, a recipe that could throw the peace and...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Siri za wizi alizofichwa Mkaguzi Mkuu nje nje Mwandishi Wetu Aprili 20, 2011 - Mabilioni yaligawanywa kama njugu kufidia hasara hewa - Ni kampuni 27 za vigogo, imo Al-Adawi iliyovuna mil 400/-...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Afisa mmoja katika ofisi za ubalozi za Iran amewahi bainisha kuwa wa-iran (Washiraz) wamekuwa na mahusiano mazuri na watanzania toka karne 9. Amesema washiraz walishiriki katika kuikomboa Zanzibar...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Watanzania mnapaswa kuelewa kuwa kinachomsumbua J. Kikwete katika uongozi wake ni laana ya Baba wa Taifa mwl. Nyerere mwaka ulee kina Kikwete, Lowasa walipotaka kuteuliwa wagombea urais kupitia...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
GP Mwema atema amwaga cheche Makamanda wa wilaya zote kufundwa Serikali za mitaa wakae `mkao wa kula` DC ajitosa kuendesha ibada ya mazishi Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Said Mwema...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Viongozi wa dini wametoa wito kwa katiba iundwe bila kupendelea chama flani au maslai ya watu flani source: taarifa ya habari itv.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
HIVI MPAMBANAJI NI NANI? NI M VUA GAMBA,MVAA GAMBA JIPYA AU MTETEA WANYONGE??JANA NILIKUWA MAHALI NIMEPOZI NAJIMIMINIA KILIMANJARO KAMA KUMI NAMBILI HIVI NIKAMSIKIA NAPE NNAUYE ANASEMA ETI YEYE...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
  • Closed
Nimesoma makala ya mwandishi wa muda mrefu Mayage S Mayage katika gazeti la Raia Mwema wiki hii.Nitangulie kusema nilimjua ndugu huyu kupitia maandishi yake katika magazeti ya Habari Corporation...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hili gazeti leo limeandika "bunduki zaidi zakutwa", mwanzo waliandika "CDM yamiliki silaha za kivita", Kila nikakaa na kuwatafakari hawa jambo leo nakosa majibu, hivi wanachokiandika wanaweza...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
TAREHE YA UCHAGUZI: Uchaguzi utafanyika siku ya Jumamosi tarehe 28 Mei 2011. NAFASI ZINAZOGOMBEWA: Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu, Mratibu wa Uhamasishaji, Mweka...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
''Rushwa ni adui wa haki. Tunamtaka rais ambaye atalitambua hilo na ataichukia rushwa hata ukimuangalia anaonyesha kweli anaiichukia rushwa, sio rais ambaye anayesema kweli rushwa ni adui wa haki...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
hakika ccm ya leo ni hopeless. hopeless chama cha mapinduzi: bado kinaamini pasipo hata chembe ya soni kwamba watanzania bado ni mazuzu wa kufikiri. ndiyo maana hawaishi kuja na slogan kila...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Mbunge wa ARUSHA MJINI mh Godbless lema baada ya safari za Nzega na Igunga, ametua jijini Arusha na kuwasha moto wa pekee kwa wanafunzi wa chuo cha uhasibu kilichopo Njiro jijini humo. Ufunguzi...
1 Reactions
97 Replies
9K Views
Watumishi wa umma tunaofanya hospitali za jeshi tunadhalilishwa na jeshi hili kwa kutolipa kodi kwenye nyumba tulizopangishiwa uraiani,HAYA NI MAGAMBA NA JESHI LIIGE MFANO WA CCM!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sioni jambo jipya linaloweza kufanikishwa na CCM ikiwa mambo waliyopanga wenyewe yamewashida kama nilivyoweza kukumbuka machache hapa chini: Chama cha Mapinduzi kilishindwa kutekeleza programu...
5 Reactions
21 Replies
3K Views
Back
Top Bottom