Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Najua sasa hivi tupo kwenye kikao cha tatu tu cha Bunge na kwamba mpaka ikifika miaka mitano (2015) mengi yata jitokeza. baadhi yenu mnaweza kusema nimapema mno kutafakari wabunge gani mpaka sasa...
2 Reactions
66 Replies
6K Views
Dr pole kwa mapambano ya kulikomboa taifa hili. naomba nishauri kupitia jf nadhani ujumbe utakufikia. si jambo jipya lilishasemwa sana ila nataka kujua hatua iliyopigwa. tunashauri kuhusu kufungua...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Mbunge ni mwakilishi wa wananchi wake katika Bunge, yaani baada ya kuona kuwa watu wote nchi nzima hatuwezi kwenda Dodoma kujadili mambo yanayohusu maslai ya Taifa letu, tukaamua kuwatuma...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Penda msipende kwa kijana yeyote aliye CCM au anayejiunga na CCM kwa sasa aidha ni kwa kwa maslahi fulani binafsi, au kapewa fulana au anaupungufu wa kufikiri kutokana na ujinga (ujasiri wa...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wadau nimesoma gazeti la mtanzania toleo la leo jumapili tarehe 27 february 2011 kuna makala isemayo siku za CCM zinahesabika,pia main headline inazungumzia anguko la pato la taifa kutokana...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Na Maggid Mjengwa, WAKONGO wa Kinshasa na kwengineko wanaujua wimbo huu; ”Papaa Mobutu ee, lokuta monene, oy'akanisaka, MPR ekokufaha, wayahaa, Tata Marechal, tikala libela, tata...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Amepata ajali maeneo ya Same gari imepinduka yeye na wenzake wamesalimuka wamelazwa KCMC Source: breaking news ITV usiku huu
0 Reactions
60 Replies
6K Views
Kitendo cha vyama vya siasa kushindwa kupeleka hesabu zao kukaguliwa kinaashiria nini ktk dunia ya uwazi na ukweli?Nilitegemea CCM na Chadema wangekuwa wa kwanza kupeleka hesabu zao.Chama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Dhana ya kujivua gamba ni mbaya kwa sababu nyoka anapojivu gamba huwa anakua kijana zaidi,hivyo anaongeza muda wa kuishi zaidi na anakua na uchu na hasira kuliko mwanzo,hawa waliojivua gamba ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kutokana na mapambano ya kulikomboa taifa hili mara ya pili kufikia mahali pazuri ningependa kumkumbusha/kumshauri amiri jeshi mkuu wa mageuzi dr Slaa afanye kikao kikubwa na wasanii wote wa nchi...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
hivi taaluma za watanzania huwa zinaheshimika? naona kila mahali wanasiasa ndo wameshika atamu, daktari bosi wake mbunge, enginia kwa diwani hakoi, hakimu naye hana pakupumulia, kuna taifa...
0 Reactions
1 Replies
951 Views
KATIBU kata wa Chama cha Mapinduzi (CCM), wilaya ya Iringa Vijijini, Patrick Ng’ara (40), mkazi wa kijiji cha Ilandutwa, ameuawa kinyama kwa kucharangwa mapanga akiwa nje ya nyumba yake usiku wa...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Kikwete, hili ni lako, usiwaachie wadogo zako Jenerali Ulimwengu Aprili 20, 2011 BAADA ya kukaa wiki kadhaa bila kuonekana katika safu hii, wiki hii narejea ulingoni kuendeleza mjadala...
4 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa nchi yetu na nchi nyingi chama tawala ndio uunda serikali na mara nyingi matendo na maamuzi ya chama utekelezwa na serikali, kwa maana nyingine serikali ndio kioo cha chama.Baada ya kusoma...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
La mgambo limelia, kila mtu kasikia, Magamba nayatupia,kujiweka asilia, Wengi walinililia,hamsini tanzania, Kujivua kwa magamba, sio kwamba sina sumu, Sio kwamba sina sumu,nilipovua magamba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dk. Slaa afichua mabilioni ya Rostam Asema anapokea bil. 280/- kwa mwaka, ataka akamatwe Na Joseph Senga KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa...
14 Reactions
241 Replies
22K Views
Dr Wilbrod Slaa(Phd) amekuwa mwana siasa maarufu hapa nchini hasa kwa namna yake ya kuibua mambo mbalimbali mchanganyiko mengine yakiwa na ukweli na mengine ya kiwa hayana ukweli! Suala la...
2 Reactions
100 Replies
9K Views
Aina zote za chuki lazima zisahauliwe, iwe chuki ya kitaifa au chuki ya kidini kadiri ya watu watakavyo shikilia kwenye chuki hatutakuwa na amani duniani vita vyote tulivyokuwa navyo katika siku...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ni mdau wa karibu sana wa JKM,pia alipewa fungu ktk pesa za epa na akashiriki ktk kutumia pesa zile kufungua kiwanda,akiwa na wenzake MWITA,SHEWEJI na yeye mwenyewe KIGWANGALA kiwanda kikaitwa MSK...
1 Reactions
129 Replies
16K Views
Mimi ni kati ya vijana wanaofurahishwa sana na jukwaa huru la chambuzi mbalimbali zinazofanyika humu ndani ya Jamii Forum, na kinachonifurahisha zaidi ni pale watu wanapoibuka na hoja nzito na...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom