Katika pitapita zangu nimekumbana na mambo mengi sana ya kishirikina ndani ya CCM. Na waliowengi ndani ya hicho chama wamekuwa mstari wa mbele kuabudu ushirikina kuwa ndo kinga ya nafasi zao ndani...
Dear JF members,
Watanzania kwa mara nyingine tena, tumeendelea kupumbazwa na usanii wa hali ya juu unaosanifiwa na kutekelezwa na Chama Cha Magamba maarufu kwa kifupi kama ccm. Baadhi ya...
Clerics caution on resource use
By The guardian team
23rd April 2011
Evangelical Lutheran Church of Tanzania Head Bishop Dr Alex Malasusa (R) with other faithful at Azania Front Church...
Mbunge wa singida mashariki (chadema)Tundu lissu,wakati akijadili kipengele cha wajumbe wa kamati za maadili na nidhamu za mahakama.Lissu ambaye pia ni mnadhimu wa kambi ya upinzani bungeni...
Ili niujue UONGO lazima niwe na UKWELI. Nitaendelea kuuamini uongo kuwa ndiyo ukweli hadi pale nitakapoujua UKWELI.Nikijua ukweli ukaniletea uongo ukisema huu ndiyo ukweli nitakwambia wewe ni...
RAIA MWEMA UGHAIBUNI
CCM na joka lenye vichwa vitatu!
Evarist Chahali, Uskochi
Aprili 20, 2011
Litasalimika viwili vikikatwa?
MARA baada ya kupata taarifa kuhusu mabadiliko ndani ya...
Wadau;
Hii nayo kali Nape anaambiwa kampeni yake ni unafiki mkubwa nia ni kupoteza lengo tu.
Huyu Amb. Ndobho anataka wote walionufaika na hela za EPA watoke CCM -- bila shaka akiwemo Mkuu...
Wana jf...kweli leo nimeamini wabunge wa ccm ni vichefuchefu....spika amerudisha muswada wa maoni ya katiba wao wanapiga vigelegele na kushangilia bila aibu eti ccm ccm ccm ni aibu kubwa sana...
JANA KWA MARA YA PILI KUMSIKIA DR AVERY (samahani jina nitakuwa nimelisahau) AKICHIKIZWA NA JINA TANGANYIKA.
HUYU BWANA NI MHADHIRI CHUO KIKUU NA NILIMUONA KUPITIA CHANNEL TEN KWA MARA YA KWANZA...
22nd April 11
Why Tanzanians fear EAC federation
Felister Peter
As more countries show interest in joining the East African Community (EAC), the Minister for East African Cooperation, Samwel...
IJUMAA KUU: Maaskofu wahofia hatima ya nchi Send to a friendSaturday, 23 April 2011 09:01
Askofu mkuu wa kanisa la Kilutheri Tanzania (KKKT) Alex Malasusa mbele kulia akiongoza mamia ya...
Madiwani wa Chadema wakiongozwa na Mbunge Lema wanasusia vikao vya baraza la madiwani katika manispaa. Mara ya mwisho walisusia kikao cha budget and this was very wrong kwasababu decisions...
Tathmini ya utendaji wa wabunge iliyofanywa katika Mkutano wa Tatu wa Bunge la 10 uliomalizika wiki iliyopita, umeonyesha kuwa wabunge wa upinzani wameonyesha ufanisi mkubwa ikilinganishwa na wale...
Tundu Lissu ni mbunge mahiri sana tena utapenda competence yake pale kwenye mijadala ya sheria au haki za binadamu. Mswaada wa uendeshaji wa mahakama uliyopelekwa bungeni siku ya jumamosi...
ElBaradei Wants War Crimes Probe of Bush Team
NEW YORK The former chief U.N. nuclear inspector suggests in a new memoir that Bush administration officials should face international criminal...
KATIBU Mkuu wa Baraza la Makanisa ya Pentekoste Tanzania (PCT), Askofu Dk. David Mwasota amesema Mungu amemvisha Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete joho la ufahamu na ujasiri...
Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Magharibi, Suluhu Ali Rashid leo amemtangaza mgombea wa CCM, Hamza Khamis Juma kuwa mshindi katika Uchaguzi huo kwa kupata kura 807 dhidi ya wagombea wa vyama vya...
Honestly CCM have done the massive reconstitute in CC, Nina imani na wajumbe karibia wote isipokuwa January who we all believe that he is a puppet. Mtu kama Mkama, Nape, Chligati hawana makundi...
Leo katika ibada ya ijumaa kuuya moja wa madhehebu iliyofanyika katika uwanja wa shekh Abed jijini Arusha na mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha Isidori Shirima pia kulikuwa na viongozi...
Katika hali isiyo tarajiwa wananchi na wakazi wa BUSANDA wameanza kujuta kwa kumchagua mbunge wa BUSANDA kwa Ticket ya CCM,bi Lolensia Bukwimba. Maana tangu achaguliwe hajakanyanga tena Busanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.