Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kwenye Kongamano lilofanyika Leo Chuo kikuu Dar es salaam Kuhusu ushirikiswhaji wa AZIMIO LA ARUSHA KWENYE MCHAKATO WA KUUNDA KATIBA MPYA , Profesa Shiji alionekana kutilia maanani zaidi MIIKO ya...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Abiria waendao mikoani na nchi jirani wamekwama ktk kituo kikuu mabasi Ubungo kufuatia mgomo wa madereva wa mabasi tangu alfajiri leo RADIO1 STEREO
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna mambo mengi yamekuwa yakitajwa kuwa ndio yamepelekea kuvunjika kwa AZIMIO LA ARUSHA.Lakini haya hapa ndio ukweli wenyewe. 1.HAKUKUWA NA UKWELI KATIKA BAADHI YA MISINGI YAKE Mfano...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
*Kesi ya Chadema Arusha yaibua mapya *Mahakama yaelezwa Josephine mjamzito Na Eliya Mbonea, Arusha KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilbrod Slaa, anatarajia kupata...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), amebaini ufisadi wa Sh50.6 bilioni serikalini ukiwamo wa malipo yanayotia shaka ya Sh15.7 bilioni katika kipindi cha mwaka wa fedha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kauli mbiu ya siku ya wafanyakazi yaani Mei Mosi kwa mwaka huu ni.. Serikali isipojali maslahi ya wafanyakazi tunakuwa kama watumwa ndani ya nchi yetu.... Nadhani Mkewe na Serikali yake ujumbe huu...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Iramba Willison Msengi (katikati) akitoa tamko juu ya taarifa ya kukipaka matope chama hicho. Wa kwanza kushoto ni katibu wa CCM wilaya hiyo Sikujua Samwenda...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
[quote="Mag3, post: 1916788"][CENTER] Adaiwa kuwa bilionea kwa mgongo wa Ikulu Na Mwandishi wetu - Tanzania Daima. [LEFT] RAIS Jakaya Kikwete anakabiliwa na kashfa nzito...
0 Reactions
0 Replies
736 Views
Habari wana jamii, mimi na vijana wenzangu tuna hamu kubwa ya kujiunga na chama cha CHADEMA hapa mkoani Tabora. Nia ni kuleta changamoto kwa vijana wa CCM na CCM kwa ujumla. Vile vile nia yetu ni...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Katika Kongamano la Azimio la Arusha linalorushwa na ITV Live mzee J. Butiku ameeleza kwa nini azimio la Arusha lilikufa na tukajiingiza katika mfumo wa soko holela au ubepari. Alieleza jinsi...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Tackle runaway cost of living to avert disturbances By Editor THIS DAY 28th April 2011 With the cost of living continuing to skyrocket, urgent measures are needed to save the general...
0 Reactions
0 Replies
671 Views
Nimesikiliza kipindi cha BBC kilichomalizika hivi punde juu ya maoni ya Watanzania kuhusu Muungano. Nilichosikia leo kutoka kwa waliojitambulisha kuwa ni Wazanzibari hakina tofauti na kile...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Kikwete ‘jino kwa jino' na Lowassa Na Saed Kubenea - Imechapwa 13 April 2011 Mwanahalisi HATUA ya kukivua gamba Chama Cha Mapinduzi (CCM), imegeuka vita vya "jino kwa jino" kwa...
3 Reactions
72 Replies
9K Views
Pinda awapasha wazanzibari Written by Bigfather // 29/04/2011 // Habari // 17 Comments...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Kwa nini watu tuishio kusini, mikoa ya Lindi na Mtwara serikali haitujali? Ni kuhusiana na kipande cha barabara kuanzia mbele kidogo ya daraja refu Tanzania maarufu kama daraja la Mkapa kupitia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ndugu zangu nataka tujadili kwa wazi thread hii hivi ni kweli nchi yetu itajengwa na chadema pekee? naomba tuongee ukweli tuache siasa za kishabiki haziwezi kutufikisha popote sisi watanzania wa...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Tangu sheikh yahaya ajipambanue kwa watanzania kuwa yeye ndiyo mchawi na mlinzi mkuu wa kikwete kwa kutumia majini, si kikwete wala makamba wala kinana wala riziwani wala salma kikwete...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Redio | Mzalendo.net Fungua hapo taarifa ya bahari ya 15:00-16:00 wakihojiwa viongozi haoo baada ya habari. Pia tuma maoni yako hapa JF.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
WIKIQUOTES – Jakaya Mrisho Kikwete Sourced 2005 It's very sad that Tanzania is a poor football country. If elected, I promise to put this country on the world football map. I will make...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wale wanao sema Tanzania ndio Tanganyika ni kweli maana sijawahi kuskia hata siku moja kuwa Watanganyika wamekaa pamoja kuzungumza masuala yasio ya Muungano au kuwatowa wabunge wa Zanzibar katika...
0 Reactions
1 Replies
997 Views
Back
Top Bottom