Juzi nikiwa natizama kipindi cha daladala kinachorushwa na itv kila siku saa moja jioni.kuna tetesi mh. J.mnyika umechukua ela kutoka kwa magari ya maji taka ili yaendelee kumwaga maji taka hayo...
Gazeti la Mwanahalisi Tarehe 27/04/2011:
Gazeti hili lilipomtafuta William Malecela anayeishi New York, Marekani, kujua iwapo ni mwanachama wa Chadema alisema, Si kweli hata kidogo.
Alisema...
After Arusha declaration was set aside once Mwl. Nyerere said, "I read and re-read the document after it was set aside and found nothing to change; although, if given the second chance I would do...
So much growth, so much poverty: Dars case
By PAUL REDFERN
THE EAST AFRICAN
Posted Monday, May 2 2011 at 00:00
Tanzania's phenomenal growth rates over the past decade have not resulted...
Hawa ni Viongozi wa CCM as Malecela asema CCM maeneo hayo kujivua gamba?
Balozi wa Tanzania Umoja Wa Mataifa Ombeni Sefue (Kati) wakiwa na Viongozi wapya wa Jumuia ya Watanzania waishio New...
Madiwani CCM, Chadema nusura wazipige kikaoni Sunday,
01 May 2011 07:19
Mwananchi
Madiwani wa CCM na Chadema jana nusura wageuke wanamasubwi katika kikao cha Baraza la Madiwani la Manispaa...
Kumetokea tabia ya Vijana wa CHADEMA kushupalia Utajiri wa Mtoto wa Rais Dk. Jakaya Kikwete, wengi wao wao ni Vijana wa CHADEMA wanaosukumwa na Nongwa kwamba Baba yake Riziwani ni Rais.
Napenda...
-Wewe ulitaka tukipigwa na Amin tukae kimya alafu mwisho wake iweje?. Tuwe watumwa sio?.
-Air Tanzania ilikufa chini ya Mwalu Nyerere au watudanganya?.
-Shirika la reli aliliua Mwalimu au...
A miner getting out of a mine in Arusha. Tanzania has huge deposits of uranium. File Photo
By Leonard Magomba
Posted Monday, May 2 2011 at 18:11
Tanzania hopes to grow its mining industry...
Zawadi za wafanyakazi bora ,aliyenacho ndiye anayeongezewa?Hivi kweli Serikali inatoa 600,000/= kwa mwalimu zawadi ya mei mosi wakati kada nyingine wahudumu wamepewa zaidi ya 1Million,hii imekaa vipi
By Jenerali Ulimwengu
Posted Monday, May 2 2011
President Jakaya Kikwete has just appointed the man to take the place left vacant after the non-renewal of Tido Mhando's contract as director...
Posted Monday, May 2 2011 at 00:00
By PAUL REDFERN in Washington DC
Tanzania's phenomenal growth rates over the past decade have not resulted in sufficient levels of poverty reduction, says...
Elizabeth Suleyman
SERIKALI kupitia taasisi zake,imetumia zaidi ya Sh176 millioni, kugharimia salamu 217 za pongezi katika vyombo vya habari, utafiti wa shirika moja lisilokuwa la kiserikali...
Central Organization of Trade Union (COTU) wanataka 60%.
kama serikali haitasikiliza madai ya wafanyakazi, Jumanne (3rd May 2011) wanagoma.
Kibaki kakimbia sherehe za Mei Dei. Watu walikuwa...
Mchungaji Mtikila adai CCM ina ugonjwa wa ‘Nambulila' ambao mgonjwa hufa na kuzikwa akijiona.
"Wapangwa wana ugonjwa unaitwa Nambulila. Ni ugonjwa unaotokana na tego la mke. Mtu...
Joseph Senga
MKOA wa Tabora ni moja ya mikoa ambayo ina historia kubwa katika kupigania uhuru wa Tanzania ambao pia umetoa vipaji vya nyanja mbalimbali. Lakini cha kushangaza leo hii ndio...
Wadau manispaa ya kinondoni imetenga mil kumi kuandaa taarifa ya utekelezaji wa ilani ya ccm fedha hizi ni za walipa kodi
Mil 10 zinatengwa wkt mitaro haijazibukiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.