Wadau,
Wahenga hawakukosea waliposema utatambua matendo na moyo wa mtu kwa kauli zake, na mtoto wa nyoka ni nyoka. Kwa nasaha hizo za wahenga tunangalie kauli mbili tu za Ridhiwani Kikwete.
Kauli...
Jamani wadau tusaidiane kwa hili kujivua gamba ni term ambayo tunaitumia kisayansi hasa kwa reptilia katika swala la ukuaji sasa hawa wanaolitumia kisiasa wanamaanisha wanatoka stage moja ya...
Subject: Re: TAKUKURU WASHINDWA KUWACHUNGUZA MAFISADI SASA WAWAGEUKIA MAASKOFU?
Habari za uhakika ni kuwa baada ya kuona maaskofu wengi wakipiga vita dhidi ya ufisadi, mipango imeandaliwa kuanza...
Edward Qorro
3 May 2011
President Jakaya Kikwete yesterday joined other leaders in welcoming the news about the death of Osama bin Laden.
The President described the death of bin Laden as "a...
Nionavyo mimi sura na picha ya CHADEMA imejikita kwa mambo yafuatayo:
1. Foudership syndrome! "Sisi ni waanzilishi"
2. Ownership syndrome! "Bila ya mimi....., ......., na fulani hakuna CDM"...
Mwenyekiti wa Chama cha DP,Mchungaji Christopher Mtikila amesema CHADEMA hakipaswi kuaminiwa na Watanzania kwa kuwa ni chama chenye mafisadi na Wafanyabiashara haramu.
Pia amefananisha maneno...
Siku chache zilizopita nilijaribu kubadilishana mawazo na wanajamvi katika tafsiri ya CCM kujivua gamba kwamba ilikuwa inapotoshwa kwa kufananishwa na nyoka badala ya lengo lake.
Sasa CDM...
naomba kila mpenda mabadiliko aelewe chadema wako macho tena yamefunguka yote kabisa na wanajua kabisa ccm wana intelligent ya kizamani ya kuvuruga vyama vingine
yule mzee shibuda ilikuwa na...
Salaam wanajamvi,
Najua leo jamvi liko bize sana na ishu za utajiri wa mtoto wa mfalme.
Pamoja na hayo ningependa pia kuwakumbusha habari hii ambayo pia ni muhimu katika mustakhabari wa taifa...
Wadau,
Nilipata mshtuko mkubwa niliposoma habari ya mgogoro baina ya kambi ya Zitto na Mbowe leo asubuhi.Habari ile iliandikwa kama vile ni gazeti la uhuru au Jambo leo. Wakati napitia ile...
Mahali alipofikishwa Lowassa ni sawa na mahali walipo arsenal. hawana nafasi ya ubingwa wakicheza hawana na kupoteza. Lowassa hana cha kupoteza. wameshamzika kisiasa na hana nafasi tena ccm...
Jamani eeeeh!
Kama tunavyoshuhudia suala la ufisadi ndani ya CCM na serikali yake linashika moto kwa kasi sana huku vigogo wao kadha wa chama hicho wanajitokeza na kuzidi kulimwagia mafuta...
Kwenye kongamano la Azimio la Arusha pale Mlimani, kiongozi wa vijana na alianza hotuba yake kwa maneno haya: TUMEONEWA KIASI CHA KUTOSHA, TUMENYONYWA KIASI CHA KUTOSHA, TUMENYANYASWA KIASI CHA...
Wana JF
Kamati kuu ya chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) iliyokutana tarehe 30/4/2011 imeamua kumtoa Shibuda kwenye nafasi ya kukaimu nafasi ya Uenyekiti wa Mkoa wa Shinyanga. Lakini...
KATIBU wa Mambo ya Nje ya Sekreatarieti ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Januari Makamba amesema chama hicho kimejivua gamba ili kujenga imani kwa umma hasa vijana ambao ni wapiga kura.Kwa mujibu...
Kwa hali ninayoiona humu ndani ya jf,chadema wakipewa hii nchi watakuja kuondolewa na mabomu ya UN siyo kura!yaani viongozi wa cdm na wapenz wao ni wabinafsi,wasiopenda kuambiwa ukweli!vile vile...
ni yule aliyezuia chadema-moshi kulipia watoto wa shule ada kwa madai kuwa wazazi watakosa uchungu wa elimu kwa watoto wao.
eti na yeye (kinabo) ni mfanyakazi hodari.
Wana JF
Dalili zinaonyesha kuwa upo mkakati mkubwa umesukwa kuivuruga CHADEMA kwa mbinu mbalimbali. Kwa mfano ukiangalia kwa sasa mara baada ya CCM kumtosa EL na RA vyombo vya habari vya ITV na...
Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu, Mch Mtikila amekuja na mpya kuhusu CCM
"...........Kuhusu hatima ya CCM na kile alichokiita usanii wa kujivua gamba, Mchungaji Mtikila alisema chama hicho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.