Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
President Barack Obama decided not to release photos of Osama bin Laden's corpse, citing national security risks and saying the United States should not brandish "trophies" of its victory...
0 Reactions
0 Replies
722 Views
Mwenyekiti wa CCM Jakaya Kikwete anasema anataka chama kirudi mikononi mwa wanyonge hivyo ili kufikia azma hiyo akaendesha ile operation butu inayokwenda kwa jina la "operation vua gamba" Kuna...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ni muungano gani hasa twautaka Watanzania? Yahya Charahani KELELE dhidi ya Muungano zinazidi kiasi kwamba, sasa wapo baadhi wameanza kuhoji nini hasa sababu ya muungano huu? Wazanzibari...
0 Reactions
0 Replies
946 Views
Katika hali ambayo tunashindwa kuelewa ni kuwa Hawa viongozi wa Zanzibar , wakisimama majukwaani mfano katika sherehe za muungano na mambo mengine mnaonekana kusema kuwa muungano mwaupenda, ni...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
CDM wanaanza ziara ya operesheni sangara nyanda za juu kusuni wosia wangu kwao ni huu hapa Nendeni bila woga, nendeni kuwahubiria ukombozi wa taifa lao, nendeni kawaambineni TZ bila CCM amani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MJINI TUMEINGIZWA KWA PILAU, POMBE NA KANGA Wanakula na kusaza Huku njaa watulaza Siku nyingi mi nawaza Lini twakoma ukilaza Mjini tumeingizwa kwa pilau, pombe na kanga Kura zetu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Samatta’s tough words Wednesday, 04 May 2011 23:08 By Edward Qorro The Citizen Reporter Dar es Salaam. Retired Chief Justice Barnabas Samatta has challenged the media in Tanzania to stand...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Tanzania Daima KATIBU Mkuu Mstaafu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Luteni Yusuf Makamba na Katibu Mkuu Mstaafu wa chama hicho, Philip Mangula, wamezawadiwa mashangingi mapya, aina ya V8...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Hivi karibuni tumeshuhudia chaguzi zilojaa utata ivory coast ,Nigeria,Uganda,hapa nyumbani Tanzania na Kenya mwaka 2007:-Kumekuwepo tuhuma za kuchakua matokeo. Tuhuma ambazo zimesabashi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimekuwa nikifuatilia mijadala mbalimbali juu ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuwa Tanzania na kugundua kuwa japo muungano ni mzuri na wa kudumishwa kwa nguvu zote una mapungufu. Mapungufu...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
... Akizungumzia vurugu hizo, Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Samia Suluhu Hassan, alisema waliofanya vurugu hizo ni wahuni. Alisema kikundi hicho cha wahuni kilikwenda katika...
1 Reactions
76 Replies
5K Views
Raisi Jakaya Kikwete ametajwa kuwa mmoja wa mashahidi muhimu sana wa professa Costa Mahalu na ameitwa mahakami kwa ajili ya kutoa Ushahidi. Source mwanahalisi ya leo 4/05/2011
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Clouds FM taarifa Mbowe amekaririwa akisema zilitokana na vyanzo mbalimbali ikiwemo ruzuku toka serikalini
0 Reactions
98 Replies
7K Views
  • Closed
Kadri siku zinavykwenda naona dalili zote za CCM kuanguka. Hakuna atakayeweza kuiokoa chama hiki kongwe. Naona anguko hilo litatokea ndani ya miaka kumi na tano (15). Watakaokingusha CCM ni wana...
12 Reactions
282 Replies
12K Views
Mbunge wa Segerea (CCM), jijini Dar es Salaam Dk. Makongoro Mahanga, amesema bado CCM haijajivua gamba na ameitahadharisha kuwa isipojisafisha na tope la rushwa na ufisadi kama ilivyoagizwa na...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Uchaguzi umeisha toka nov 2010,raisi yupo na cabinet yake kashaiteua, na wabunge wapo tayari. Je kwa nini mpaka leo hajateua wakuu wa mikoa?? au ndo mpaka akapige ramli mlingotini??
0 Reactions
100 Replies
10K Views
WanaJF mambo yanavyoenda hapa TZ hawa watu wawili ndo wanasababisha maafa kila sehemu Arusha wapo, Dowans wapo, EPA wamekula Kagoda etc Kama hawa watu na wengine hawatowajibishwa KIKWETE...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Atatoa ufafanuzi wa mambo kadhaa kama itakavyoonekana kwenye 1st post kwenye hii topic. Nitawa-update juu ya kinachoendelea kwenye kikao hicho. ============ UPDATES: Kikao ndo kinaanza...
5 Reactions
80 Replies
10K Views
Tangu Mkama aseme CCM hawakutoa azimio la siku 90 na kwamba hakuna fisadi hata mmoja atakayepewa barua sijasikia tena Nape akiongea. Lakini namwona huyu Mzee Mkama naye mnafiki mbona alikuwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wana jf baada ya ujenzi wa vyoo shule Suye kujengwa kwa 80,000,000/- kuna tetesi kwamba kuna daraja balo leshindwa kufunguliwa kutokana na mgogoro wa ujenzi wake kutumia sh. 300,000,000/- Hilo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom