Hivi chichiem mbona hawafanyi maandamano hata kidogo,au wao wanaona inji iko sawasawa.Wapi maji,barabara,huduma za afya,elimu,umeme,ujangili ndani ya chichiem,maisha magumu n.k.Mambo ni mengi ya...
Ningeomba waandishi wa habari wakaifuatilie jinsi uongozi wa CCM unavyoitafuna aridhi ya Wanamonduli....! Maeneo yanayotafunwa na uongozi huo ni pamoja na Lorkisale; katika kata ya Lorkisale...
uliitoa mwaka jana pale ulipochagulia kwa mara ya 2 kuwa mgombea urais kuwa ikibidi 2012 mkutano mfanyie humo pale makao makuu mpaachie ccm mkoa mh mbona kimya?
Juzi nchini Uingereza ulifanyika uchaguzi wa kuchagua councillors na wawakilishi wengine. Uchaguzi ule kwangu mie unaweza kuwa ni mfano wa ndoa kati ya CUF na CCM kule Zenji ingawa kwa huko...
Jana katika pitapita zangu niliwakuta Mabere nyaucho Marando na Dr Lamwai katika mzingira ambayo yalinitia wasiwasi kama yana neema kwa CDM tafadhali mwenye kujua anijuze kulikoni katika kona ile...
Na Anneth Kagenda
MBUNGE wa Jimbo la Kinondoni, Bw. Idd Azzan amelalamika kuwa kuna watu ndani ya chama hicho mkoa wa Dar es Salaam wamemtishia kumnyanganya kadi
yake uanachama, jambo ambalo...
Siyo siri, nani aweza kimbia akifukuzwa na simba asiye na meno? au ni nani aweza kusikia, kuamini na kutekeleza vitisho vinavyotolewa na wana siasa wasiojali au kuheshimu sheria walizotunga...
Du, kweli sasa naanza kuamini Rostam Aziz ndiye rais wa Tanzania. Yaani miaka yote hii hii kagoda inazungumziwa ndiyo leo DPP anaikumbuka??? Kwa nini asianze na ushahidi kutoka tume ya Mwema na...
:happy:" AISE WANA JF TOPIC NI TAMU KWELI KWELI --- NAMPENDA SANA HUYO MZEE SIMBAYE ---- SANA KWENYE PROGRAM ZAKE.
IT IS TRUE KWAMBA EMPLOYEES ARE BEING FRUSTRATED BY EMPLOYERS KWANZA ---- WHEN...
Thursday, May 5, 2011,
Makala na Uchambuzi, Rai
Na Siyovelwa Hussein
HIVI karibuni nilizungumzia suala la kuutazama upya uhuru wa nchi za Afrika.
Miongoni mwa mambo niliyoyasema ni lile la...
IMF sounds alarm over Tanzania economy Wednesday, 04 May 2011 22:58
By Al-amani Mutarubukwa
The Citizen Reporter
Dar es Salaam. The International Monetary Fund (IMF) is concerned about...
Ndugu wana JF, Nimekuwa nikifuatilia tafsiri ya kujivua magamba kwa CCM ndani ya jamvi letu, naona wengi wetu tunaangalia kwa mtazamo wa hasi sana.
Mwenyekiti wa CCM taifa, Mh JK alitangaza...
kituo cha Television cha ITV kimerudisha kipindi maalum cha "malumbano ya hoja" kipindi naweza kusema kipya tofauti na kile cha zamani 1990s, kuna tofauti kubwa . anyway.... Hoja ya leo ni...
Na Martha Fataely, Moshi
SERIKALI imeombwa kwenda mbali zaidi katika vita dhidi ya ufisadi kwa kuhakikisha inawadhiti, kuwafilisi na kuwafikisha mahakamani watuhumiwa wote wanaotajwa kwani ni...
Kana Watanzania wengi hasa wa diaspora wana uzoefu wa kazi nyingi lakini kuna Tatizo kubwa la hongo. Kama ni Mtanzania ni lazima wakuombe pesa kabla ya kazi na Plan zako ukitoa mapema zinauzwa kwa...
Kikwete ameweka rekodi kama Rais wa kwanza kuwa mgeni rasmi kwenye tamasha la kwaya pale alipoalikwa kwenye tamasha la pasaka lililoandaliwa na Msama Promotions.
Sijui kama haya yalikuwa maoni...
Kilichojiri kikao cha kamati kuu ya CHADEMA siku ya Jumamosi tarehe 30.04.2011
Ø Zitto apinga mpango wa ununuzi wa magari ya Chama ya mitumba kutoka India yenye thamani ya Tshs 480 milioni...
Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi, amesema Azimio la Arusha halijafutwa kama watu wengi wanavyodhani. Mwinyi alitoa kauli hiyo jana jijini Dar es Salaam, wakati wa uzinduzi wa Benki ya Biashara ya...
Umekua ni utaratibu kwa viongozi mbalimbali wa kuteuliwa na kuchaguliwa kuapishwa kwa kushika vitabu vya dini/madhebu yao na kuapa kwamba watailinda katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.