Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Post Election Advertising - Is it necessary??
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana JF. Heshima kwa wote. Ile Ziara ya Maandamano ya Nyanda za Juu Kusini imewadia.Maandalizi yanaendelea vizuri na kesho ndio msafara unaoondoka kwa Convoy kuelekea Mkoani Mbeya. Maandamano...
9 Reactions
183 Replies
15K Views
Ndugu zangu wajf, baada ya marumbano na minyukano baina ya MBOWE na ZITTO. Sasa naomba mwongozo wenu wanajf kwa kuuliza maswali yafuatayo:- (a) Nini chanzo cha mgogoro wao! (b) Mgogoro wao ni kwa...
0 Reactions
56 Replies
4K Views
Bila ushabiki wowote wa kisiasa, ninawasihi na kuwashauri CHADEMA muwaache watu walime huu ni msimu wa kilimo. Kama nyote mjuavyo, nchi yetu inategemea kilimo tena cha jembe la mkono. Hiki ni...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Kilikuwa ni kikao cha KUU (Kamati ya Ulinzi na Usalama) kwa ajili ya kusaili vijana wa kujiunga na JKT. Mara akaingia kijana mmoja OFINI KWA DC, Mkuu wa Wilaya ya Urambo kwa kile kilichoonekana...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Prof. Safari kajiunga RASMI na CHADEMA na hivi sasa yupo Live anajaribu kutoa ufafanuzi wa kwanini kajiunga CHADEMA. Tutaendelea kujuzana kinachoendelea, fuatilia updates hapa chini...
20 Reactions
506 Replies
46K Views
Katika vita yeyote ile ni kosa la jinai kufanya tendo lolote linalo imarisha mshikamano ndani ya kambi ya adui. Hii inatokana na ukweli kwamba adui wanapoanza kuzozana wao kwa wao wanatoa fursa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Ushauri wangu ni kuwa chadema myanunue magari hayo tu mpaka yatapopitia kwenye hatua zifuatazo: 1. yathaminiwe na msamini ambaye ni independent. 2. yapitie kwa dealer wa magari hayo ili kujua...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Katika hali ya kawaida na maisha ya kila siku ni vigumu kutenganisha vitu hivi viwili. Haviwezi kutenganishwa kwa sababu aidha kimoja kinasaidia kingine au kimoja kinaharibu kingine. Hapa kwetu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kipindi cha Mkapa mishahara ilitoka tar 24. Serikali ya JK inachelewesha sana. Kwa mfano hadi leo hatujapata mishahara. Nilidhani ni sisi tu lakini leo nilikuwa udsm nikaona tangazo pale utawala...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Nimestushwa na kushangazwa sana na kauri ya katibu mkuu mpya wa CCM bwana Wilson Mukama aliyoitoa akiwa Zanzibar akidai CCM ina itikadi ya ujamaa na kujitegemea na kutangaza ati CHADEMA hawana...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Wednesday, 04 May 2011 08:36 Rachel Balama na Rose Itono, Jijini CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeazimia kuandaa mkakati wa kuangalia ubora wa wanachama wake kuliko kuendelea kuwa na mamluki ndani...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Kuna news nimeiona Michuzi (siku hizi anabania huwezi ku copy text from his blog), ambazo zinaonyesha how bold huyu Dr Shein is. Anasema kuwa hoteli itajengwa Stone Town na asiyetaka akashtaki...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Pokea hongera zangu mheshimiwa rais kwa kufanya haya yafuatayo kwa ufanisi mkubwa. 1. Umepigana kufa na kupona na kuhakikisha Dr. Slaa hasikii harufu ya ikulu. 2. Hukulala usiku na mchana hadi...
2 Reactions
42 Replies
5K Views
Wakati nchi imejaa matatizo ya msingi kama barabara mbovu,kina mama kila siku wanapoteza maisha wakijifungua kwa huduma mbovu mahospitalini na rushwa, wanafunzi wa vyuo kukosa nyenzo, wameanzish...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Vyama vya upinzani vilianzishwa nchini Tanzania kwa mujibu wa sheria mwaka 1992. Katibu mkuu wa CCM bw. Wilson Mukama anapotamka kwamba vyama vya upinzani vilianzishwa kwa shinikizo ana maana...
0 Reactions
151 Replies
11K Views
Mbunge wa Kyela (CCM), Dk. Harrison Mwakyembe, amemshukia Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM, Yusuf Makamba, kwamba alitumia madaraka yake vibaya kutokana na kufanya uteuzi wa Katibu mpya wa chama hicho...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Na Waandishi Wetu, jijini Habari LEO ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuph Makamba, ambaye alijiuzulu wadhifa huo hivi karibuni baada ya kukitumikia chama na Serikali kwa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Taarifa ya habari Channel ten Ulevi wa serikali kuomba omba umekubuhu sasa Polisi wetu wanatembeza bakuli kuomba mavazi. Imeripotiwa kwamba NGO hiyo toka Korea inayoitwa Ephata imetoa msaada wa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
*Zitto adai Serikali imejitia kitanzi NA Waandishi Wetu, jijini Habari Leo MBUNGE wa Jimbo la Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Zitto Kabwe, ameibuka...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom