Imeandikwa na Halima Mlacha; Tarehe: 4th May 2011
JAJI Mkuu mstaafu, Augustine Ramadhani , amelitaka Baraza la Habari Tanzania (MCT) na
wadau wote wa habari nchini kukusanya nguvu zao na...
"Ubunifu wa mtu ni siraha yake,ubunifu wa mtu usichezewe,ni lazima uheshimiwe,utunzwe na ulindwe" Grayson, 2011.
Hizi ni baadhi ya senteso zangu nyingi zitakazopatika katika kijitabu changu...
Kipindi cha mapitio cha magazeti kinachorushwa na kituo cha ITV asubuhi hakina mvuto kabisa na bora kisitishwe kwa ajili ya marekebisho.
Kwanza kabisa magazeti wanayopitia ni machache sana...
Ukitazama historia ya nchi nyingi za afrika wakati wa kupigania uhuru toka kwa wakoloni utagundua kuwa japo ilikuwa lazima mwafrika awe huru lakini wapigania uhuru hawakuwa na mipango madhubuti...
HUKU MWANAKIJIJI, KUBENEA na wanaharakati wengine wakijitahidi kuhakikisha ufisadi unapungua, kumbe mambo tofauti kabisa.
Gazeti la Chama cha CDM kilichoapa kupambana na mafisadi linakuwa mstari...
ndugu zangu ktk jambo ninaloshukuru ktk maisha yangu ni kutokuwahi kuwa CCM, siko zote ktk kipindi hiki kifupi nichobakisha ktk maisha YANGU namuomba Mungu anipe umri nitakaoweza kushuhudia...
Kumekuwa na tetesi nyingi sana kwamba baadhi ya wakuu wa mikoa na wilaya wamekuwa miungu watu katika mikoa na wilaya zao kiasi kwamba wakati mwingine wamekuwa wanawalazimisha watendaji wao kama...
HomeNewsNational
National
Dr Besigyes aides were yesterday sent back to jail until May 9 when their bail application will be heard. PHOTO BY STEPHEN WANDERA
By Sheila Naturinda...
Source: Mwananchi
Inasikitisha sana kuwa na serikali isiyokuwa na nidhamu ya matumizi ya hela. Serikali au taasisi makini huwa inakuwa na budget na kuifuata bila kuongeza kitu. Sasa hapa kwetu...
1 May
Posted May 1, 2011 by Wolfgang's East Africa and Indian Ocean Tourism reports
WITH POACHING IT IS FOREIGNERS TOO
Foreigners seems to be one of the key word these days in Tanzania...
Wadau,
Tukiwa na siku tatu tangu tusheherekee sikukuu ya wafanyakazi tanzania,siku ambayo kwangu nilizidi kukata tamaa kutokana na kauli ya rais wetu kwenye hotuba yake kutamka kuwa kufungua...
Mwenyekiti wa Chadema Mh.Freeman Mbowe amesema chama chake hakiungi mkono matumizi ya nguvu kupita kiasi wala hakiungi mkono ugaidi. Amesema hayo alipokuwa akisoma maazimio ya kamati kuu na baraza...
Juzi nilitembelea Dodoma na Bahati nzuri nikbahatika Kukutana na Mafundi Mitambo ya Umeme Na Sauti wa Bunge...Nilistuka nilipoambia ati Siku ile Tundu Lisu anaongelea Watawala Kuingilia Uhuru wa...
Kwa hali ilivyo sasa ni wazi kuwa kuna ufa mkubwa kati ya watanganyika na wazanzibar. Kwa mtazamo wangu, kama kuna kosa ambalo ccm itakuja ilijutie milele ni kumweka mzanzibar kugombea urais wa...
The ruling party in Tanzania, Chama Cha Mapinduzi (CCM) has met today in Dar es Salaam and according to the agenda the party is discussing the future of three its members (names withheld), who are...
WILISONI, KATUPE MBALI HIYO RIPOTI KABLA HAIJAANGAMIZA ZAIDI CCM NA TAIFA KWA UJUMLA MAANA HATA KIDOGO HAIKUA ZAO LA LILE JINA LA UBATIZO LA 'SCIENTIFIC RESEARCH' ULIOIPA LA SIVYO CCM MTAJIKUTA...
Kama nongwa ni ufisadi, ufisadi hakuanza JK wala awamu ya 4, ni zao linalotokana na sera mbovu za CCM na baadhi ya Watanania, na hata vyama vya upinzani.
Kama wizi wa kura ni mfumo...
ok wanajamvi
Mara nyingi hapa mnaongelea mapesa tu sasa tujadili assets. Naleta mada ya kichkozi lakini yenye nia ya kujenga.
Serikali inayo standard ya asset zake eg magari kuwa zikifikia...
Historic Index
Nov 1978 Issue 1 Aims of Tanzanian Affairs. Editor Terence Ranger. Partially online
1984 David Brewin takes over as Editor
July 1985 Issue 21 Mwalimus visit to UK; Socialism &...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.