Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Ni safari ya uzinduzi wa matawi,ndiyo imeanza,ngome ya Mwakyembe ndio inateketetea,matawi manne yatafunguliwa,
0 Reactions
63 Replies
4K Views
KWAKILADHULUMA WATANZANIA TUDUMISHE AMANI!!?? UNAPORWA ARDHI DUMISHA AMANI!! UNALALA NJAAA NDUMISHA AMANI!! UNAUMWA SANA DUMISHA AMANI !! HUNA ELIMU DUMISHA AMANI!! UNAIBIWANA MWENZIO DUMISHA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Why Don't they (Leaders)stop their trips Overseas? Ingesaidia Wananchi angalau kuongeza kima cha chini Monday, May 9, 2011, 6:50 Habari kuu, The african Meeting ends in stalemate Govt to...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
*Vigogo wawili wavuliwa gamba *Mmoja anyang’anywa uanachama Na Omary Mlekwa, Hai HALI ya kisiasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, si shwari, baada ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hivi ushawahi kujiuliza bila hoja ya mafisadi chadema leo ingekuwa wapi? Maana wao kila wakipanda majukwaani ni kuropoka tu mafisadi,mafisadi,mafisadi!! Kila siku ni list mpya lakini nashangaa...
0 Reactions
3 Replies
979 Views
TBC taarifa, Bukoba Amesema ukiritimba wa maafisa wa serikali umezidi hakuna hata mmoja anafanya kazi. Amesema mkubwa wao anarandaranda na watendaji wanazuga tu maofisini Amesema siyo lazima...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Wasomi wa Tanzania jamani tuamke tuiomboe nchi yetu na umasikini uliodhiri na ufisadi wa kila aina.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani Kwa wale wenye Ratiba za Chama Cha Magamba, au za Mwenyekiti wake au za Ikulu kabisa Ni lini Jakaya ataanza dhihara za mikoani kuwashukuru wananchi kwa kumpigia kura kwa wingi yeye na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Yes hii ndio Tanzania tuliyoitaka, changamoto pande zote, mifumko ya bei, ugumu wa maisha, unaochangiwa pia na ungezeko la bei la hata huduma za jamii kama matibabu, maji, umeme ambao hata hivyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF Juhudi za chadema za kutafuta mazingira ya haki ya kidemokrasia zinatakiwa ziwe beyond internal struggle for change. kwa kuwa taarifa mbalimbali za wasimamizi wa uchaguzi wa mwaka 2010...
0 Reactions
2 Replies
984 Views
Ndugu Zangu, Bwana Yesu alipotembelea mto Galilaya, aliwakuta wavuvi wakivua samaki, Simoni alikuwa ni miongoni mwa wavuvi hao. Yesu akasema; " Simoni, acha kuvua samaki. E nenda ukawavue...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Why All Diaspora Conferences Chama Cha Mapinduzi is participating?? Why there is no Chadema Overseas Members participating ? I have attended several and sometimes they put foward only the ruling...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Tanzania MPs to block $20m payment to Indian firm Share Bookmark Print Email Rating A railway engine belonging to the Tanzania...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mbunge wa jimbo la Arusha mjini kamanda Lema siku ya leo amechangisha zaidi ya sh 21 ml, kwaajili ya ukarabati wa shule za jiji hilo, huku yeye kama yeye akitoa kiasi cha sh ml 1.8. Akitoa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mkutano upo uwanja wa S/Tunduma Silinde na na viongozi wapo kuongea Rwakatale analonga hivi sasa anasubiliwa Slaa zito nawengine.
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kiliunda tume ya Iliyoongozwa na Bwana Wilson Mukama katika kutafuta sababu hasa ya CCM kuchukiwa na Wananchi hasa Vijana. Kwa Mujibu wa Bwana Mukama ni kwamba Tume...
8 Reactions
57 Replies
4K Views
Huyu muheshimiwa (Mbunge wa Rombo) kwa bahati mbaya hajaweka mawasiliano yake kwenye website ya CDM kama wabunge wenzake. Nakuomba mheshimiwa kama unapita huku JF, unipatie mawasiliano yako kwani...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Ndugu wana jf nimeona niwasilishe swali hili kwenu, ni jambo la kawaida kuona viongozi wetu wa ngazi yakitaifa wanapopita barabarani huwa wanapita na ving’ola na misafara inayokimbizwa si chini ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wanaharakati JF! Umeshawahi kujiuliza ni mwanasiasa yupi, mpenda Aman na Maendeleo, Mtanzania ambae anafaa tumpatie tuzo ya ''Mwanasiasa Bora 2010'', kutokana na mchango wake binafsi kwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Juzi nchini Uingereza ulifanyika uchaguzi wa kuchagua councillors na wawakilishi wengine. Uchaguzi ule kwangu mie unaweza kuwa ni mfano wa ndoa kati ya CUF na CCM kule Zenji ingawa kwa huko...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Back
Top Bottom