Kwa yeyote mwenye mapenzi ya kweli na nchi hii atakubali kuwa nchi hii inahitaji ukombozi mpya kutoka kwa wakoloni weusi ambao mfumo wao ni wa utawala ni mbaya kuliko hata wakoloni...
Hivi majuzi tumeshuhudia raisi Obama akiwaarifu maraisi waliomtangulia jinsi alivyofanikiwa kumpata na kumuua Osama bin Laden, tena kampigia simu raisi aliyekuwa wa chama hasimu,Bush. Sasa...
Nilipoangalia taarifa ya habari jana, Mufti alikuwa akiweka jiwe la msingi katika kituo cha elimu Kondoa, nilisikitika kuona mufti Sheikh Simba, akisisitiza elimu kwa Waislam kwa dharau.
Sijui...
Mwalimu nyerere alijivunia utawala bora, Mwinyi alijivunia ruksa, Mkapa alijivunia kuimarisha uchumi, je Kikwete atajivunia nini, tulichambue hili kwa makini wana jf
Wakuu,
Mwisho wa siku saba alizotoa Ridhiwan Kikwete kwa Dr Slaa na Mch. Mtikila ni leo Jumatatu!
Je kijana huyu atakuwa keshaanza taratibu zozote za kuwaburuza wakubwa hawa kwa Pilato?
Au...
http://www.blip.tv/file/4994905
Maalim Ally Bassaleh akizungumza na Waislam mara baada ya Sala ya Ijumaa leo ktk msikiti wake wa Idrissa jijini Dar es Salaam
Katibu wa Mambo ya Nje ya Sekreatariet ya CCM Mh January Makama amesema kuwa "CCM ni 'progressive party', hivyo lazima kirudi katika msingi wake ambao ni kuleta maendeleo ya jamii kwa kuisimamia...
Wakati anaamua kuachana na kazi ya kiroho,hakuiacha kwa kashfa mbaya,bali aliamua kufanya shughuli nyingine ya kuisaidia jamii,alipoingia kwenye siasa akagundua mambo hayaendi sawa,yeye kama...
Mwishoni mwa mwaka jana tulimwona na kumsoma Mzee Sabodo kwenye vyombo mbalimbali vya habari kuwa ametoa msaada ili kufanikisha uchimbaji wa visima wa maji.
Takribani visima 700 na kama sikosee...
MBUNGE wa Vunjo mkoani Kilimanjaro, Augustino Mrema ameonya tabia ya baadhi ya matajiri kuwahonga baadhi ya watendaji wa vijiji na kata ili wasishiriki katika kazi za kujitolea hususan miradi ya...
Uchafu, yaani namaanisha UCHAFU kweli kweli
Yaani binadamu kufurahia maisha, kula na kulala katikati ya takataka, uozo, harufu mbaya, maji yenye kinyesi na mikojo na wadudu kama inzi bila...
Written by Stonetown (Kiongozi) // 09/05/2011 // Habari // No comments
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeviagiza vyombo vya usalama Zanzibar kulishuhulikia ipasavyo suala la kuchomwa moto...
Na Mwandishi wetu - Mwanahalisi
VIONGOZI wakuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wameshindwa kuwaondoa katika chama hicho wale wanaowaita watuhumiwa wakuu wa ufisadi nchini, imefahamika...
Ndg viongozi wa CDM mlioko sasa Mbeya,
Nimeona maandamano katika picha hapa JF yalifana saana, sasa nilipenda kujua kama mlipata idadi ya watu waliojiunga na chama ili nasi tulioko mbali tufahamu...
Nimesikia kwenye habari za magazetini asubuhi
hii kwamba mbunge wa mbeya mjini
ame hamasisha wana nchi wa mbeya kwamba
akija kiongozi ambaye hawamtaki,...
au kiongozi yeyote,hata kama "ni raisi"...
More Power to Chadema - Wahindi Ni Wezi na watoa Rushwa
A railway engine belonging to the Tanzania Railways. Photo/FILE
By MIKE MANDE
Monday, May 9 2011 at 00:00
Tanzanian...
Wakati huohuo Joseph Senga kutoka Chunya anaripoti kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilbrod Slaa, amewataka maaskofu kutohubiri amani na badala yake wahubiri kwanza kupatikana kwa haki...
How to resign: Hand in your notice without burning bridges
You relish the moment you will tell your boss that you are leaving to work for more money at a competitor. But before you rush to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.