TANZANIA imetoa mwito kwa nchi tajiri kutambua nafasi yao katika kuzikwamua nchi masikini ili zikuze uchumi wake na kuwasaidia wananchi katika nchi hizo.
Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib...
MVUA zinazoendelea kunyesha Jijini Dar es Salaam zimeathiri makazi ya muda ya waathirika wa mabomu ya Gongo la Mboto na kuwafanya waishi kwa mashaka na hofu ya kupata magonjwa ya milipuko na...
Mkutano kati ya Lowassa na rais ulikuwa mfupi sana. Lowassa alimueleza Bwana Mkubwa (rais Kikwete), jinsi asivyofurahishwa na mwenendo wa Nape hasa jinsi anavyowatuhumu ufisadi. Alimsihi Rais...
Ndugu zangu,
Mmojawapo ya wanamtandao waliomfikisha Kikwete hapo alipo ni Bw. Salva Rweyemamu. Huyu jamaa alitumia kalamu yake kwa nguvu zake zote kumpamba kikwete na bila aibu ndiye aliyeongoza...
Vijana tunakiamini chama cha demokrasia na maendeleo,kwa namna kinavyosimama na kuibua na kuhoji mambo muhimu sana katika jamii yetu.
Hata wazazi wetu wanaamini chadema ndio kimbilio letu, licha...
Mheshimiwa Mbunge Nyerere nakupa salute kwa utendaji wako wa kazi though ni kimya kimya! Ktk maandamano cjabahatika kukuona kabisa, tuyaache hayo kwan NAJUA UNAJUA! Sasa mkuu nafurahi upo...
Elizabeth Suleyman - Gazeti la Mwananchi
SERIKALI kupitia taasisi zake, imetumia zaidi ya Sh176 millioni, kugharimia salamu 217 za pongezi katika vyombo vya habari , utafiti wa shirika moja...
Jamani sijamuona PM Pinda toka kujivua gamba kwa CCm sijui yupo wapi Hata kwenye Semina elekezi kama Kilanja Mkuu sijasikia ana topic ya kuwafunda Mawaziri hii inakuwaje? nae ni gamba?
Kwa kuwa CHADEMA ndiyo chama kikuu cha upinzani hapa TZ waTZ wana penda kusikia ujumbe maalumu toka kwa viongozi wao wakuu wa CDM,na kwa kuwa chama tawala cha magamba wana hotuba ya kila mwezi...
* Sio wakati wetu na sisi watanzania tukutane na kusuluhisha tofauti zetu ka amani?
Moses Mulondo
7 May 2011
THE National Resistance Movement (NRM) and opposition leaders have met in...
Dk.Slaa: ANASA WARAKA WA SIRI CCM, AFICHUA WIZI WA MABILIONI HAZINA
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk.Willbrod Slaa, sasa ametamka rasmi kwamba nchi haitatawalika...
Waziri Magufuli anasifika kwa kutaja takwimu mbalimbali zinazohusu wizara yoyote anayoiongoza. Katika kipindi cha dakika 45 kinachorushwa na ITV, Magufuli alikuwa anajikanganya katika kutoa...
Wakuu siku ya jana, mh Mwakyembe, amezuiliwa na wakazi wa Kyela kuingia stendi ya Kyela na kuzomewa na wakazi wa hapa wakidai aliwaahidi lami na hajatekeleza, toka juzi hakuna gari linaloingia...
Nimekuwa naona Wassira mara atoe matamko, mara ajibu shutuma, mara azindue miradi, nk. Sasa ningependa nijue majukumu ya Ofisi ya Rais-Mahusiano na Uratibu (President's Office-Social Relations and...
Leo nimeona CCM wakifanya Maandamano Singida wakiwa Katika Ziara ya keelezea Kujivua Gamba
Kwa Nilichokiona Katika yale Maandamano hakika naweza Sema kwamba Kweli CCM ni Chama Kikongwe na...
Msikilize Queen Zee kutoka South Sudan, nchi ambayo hivi karibuni imeomba kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki, akielezea harakati za ukombozi za akina John Garang.
NI watu wenye profile hii
1. Ni wazee na vikongwe kiumri, hakuna lolote waliloacha mbele yao zaidi ya familia zilizokata tamaa,
familia zisizo na matumaini ya kupiga hatua yoyote mbele ya...
CDM wanaanza ziara ya operesheni sangara nyanda za juu kusuni wosia wangu kwao ni huu hapa
Nendeni bila woga, nendeni kuwahubiria ukombozi wa taifa lao, nendeni kawaambineni TZ bila CCM amani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.