Ashakumu siyo matusi waswahili walisema ''kujamba ajambe mkubwa kosa linaelekezwa kwa mtoto''. Huu msemo ndiyo uliotumiwa na kamati ya Mukama na wenzie waliotwishwa mzigo na Mwenyekiti wa Chama...
Kwa heshima na taadhima nachukua nafasi hii kukusifa Dokta wa Heshima (UDOM), Kanali, Mheshimiwa Sana Jakaya Mrisho Kikwete kwa mengi uliyoifanyia nchi hii tangu ushike hatamu ya uongozi wa juu...
Baada ya uchaguzi mkuu wa kugombea uraisi uliofanyika tarehe31 oktoba.Serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania,kupitia taasisi,idara na mashirika mbalimbali ya umma ilitumia shilingi...
Ndugu wana JF,
Salaam.
Taarifa ya habari ya jana ITV saa 2.00 usiku, ilitangazwa kuwa leo kutakuwepo na mjadala juu ya Mapitio ya Azimio la Arusha na Katiba Mpya.
Namna ambavyo Azimio hilo...
Vurugu kubwa ziliibuka katika kikao cha Baraza la Madiwani la Manispaa ya Kinondoni, jana baada ya madiwani wa Chadema kuhoji matumizi ya sh. 44 milioni zilizodaiwa kutengwa kwa ajili ya Ilani ya...
Sunday, May 1, 2011, 11:37
Makala na Uchambuzi, Mtanzania
WIMBO wa sasa kila kona nasikijia ni kujivua gamba tu, uliyoasisiwa na Chama Cha Mapindizi (CCM) wiki kadhaa zilizopita.
CCM yenyewe...
Wakuu!
JK leo katika sherehe ya wafanyakazi duniani ( mei Moi) mjini morogoro. Rais amekana
kauli mbiu ya wafanyakazi inayosema " Serikali isipojali maslahi ya wafanyakazi tunakuwa watumwa ndani...
Fedha ndiyo kigezo kikuu ktk uongozi kauli hii alitamka Wasira ndio maana ni vigumu kuwajali wanyonge.
Pindi nisikiapo ccm natamani ningekuwa kiziwi ama kipofu ili nisikutane na hili neno CCM...
MADIWANI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jana walisusia Kikao cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita, kilichokuwa mahususi kwa ajili ya kupitisha bajeti ya...
Mimi hushangazwa na Watanganyika kukataa kujita Watanganyika hali ya kuwa Tanganyika ina historia yake uhuru wake na Tanzania ni jina lakuchomekwa tu.
Jee hamuoni ufahari kulinda na kuenzi...
Ndugu Zangu,
TUMEKUWA tukitamka; Ukistaajabia ya Mussa , utayaona ya Filauni! Si wengi wenye kuyajua ya Mussa ni yepi na ya Filauni pia.
Kuna simulizi niliyopata kuipokea. Kuwa alipata...
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi limeanza kazi kwa kufanya mapinduzi makubwa kwenye bajeti yake ikiwamo kupunguza matumizi kwenye mambo yasiyo ya lazima huku ikiazimia...
2015 utakuwa mwisho wa WABAKA UCHUMI Siha na Tanzani kwa ujumla kwani nia ni kuingiza damu changa kwenye uongozi kuanzia Wenyeviti wa Serikali za Mitaa,Madiwani na Mbunge kwani hali ya Nchi...
Nakupenda Tanzania nchi yangu "YESTERDAY IS NOT OURS TO RECOVER, BUT TOMORROW IS OURS TO WIN OR LOSE." naipenda nchi yangu tanzania ndio maana siogopi kuitetea mbele ya maadui wake wakubwa...
:disapointed:"kuna watu wameibebesha CCM mzgo mkubwa ambao umekigharimu, sasa hivi tunarejesha CHAMA kipya ambacho kigezo cha uongozi au ujumbe wa NEC hakitakuwa fedha tena......"...
Ndugu wanaJF
Tangu wachaguliwe kuwa sekretarieti mpya ya ccm,wamekuwa wakipita sehemu mbalimbali nchini na kujieleza kuwa wao ccm ni chama cha wanyonge,na zaidi sana wanasema chama chao kilikuwa...
nimesoma makala ya Isango tz daima uk 5 nikacheka sana. Amekumbusha jinsi Makamba alimlaani nape na kusema amefungiwa mbinguni na duniani. alisamehewa lini? ccm haina tofauti na ze comedy
Mishahara duni,kukatwa kodi kubwa, gharama za maisha kuongezeka, mazingira magumu ya kazi na mafao kiduchu ya uzeeni ni mambo yanayopunguza ari ya kazi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.