Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Nilifuatilia kwa makini mjadala wa katiba ulioendeshwa mlimani siku ya jumamosi, mjadala ulikuwa mzuri lakini kati ya mambo ya kukumbukwa na kutosahaulika ni mzee mapesa kushushwa jukwaani na...
7 Reactions
27 Replies
4K Views
Katika hali isiyo kuwa ya kawaida nchi ya Tanzania sasa yapata miaka 47 tangu 1964 ikiwa inatawaliwa na marais wawili wote wakiwa ndani ya nchi moja na wakielewana na kupanga pamoja tofauti na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kweli kuishi kwingi ni kuona mengi! 1: Muhimu katika habari kubwa na tamu za leo Jumatatu Aprili 4, 2011 - Kumbe kikombe cha Babu wa Loliondo ni USHIRIKINA!!!!!! 2: Rais na waziri wake wa sheria...
1 Reactions
34 Replies
4K Views
Kuna taarifa kuwa leo JK ameanza ziara kutembelea wizara zote. Kubwa nililoshuhudia ni msongamano wa magari kipindi cha mchana kwenye maeneo ya katikati ya jiji wakati alipokuwa anatoka Wizara ya...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Mbunge wa Ubungo kwa tiketi ya CHADEMA, John Mnyika Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema (Bavicha) ngazi ya taifa, linatarajia kufanya uchaguzi mwezi ujao. Kwa mujibu...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Geofrey Nyangóro KATIBU Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UV-CCM), Martine Shigela amepokea mapendekezo ya vijana wa Tawi la Matangini, Kimara jijini Dar es Salaam kwamba wtuhumiwa...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Ndugu Zangu, PARADOX ni ile hali ya maelezo kupingana yenyewe. Kutokuwepo na lojiki ya jambo zima. Haujapita mwezi tangu pale Waziri Mkuu Mizengo Pinda alijitokeza hadharani na kuunga...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
By The guardian reporter 8th April 2010 The ivory jigsaw between Kenya and Tanzania is not over, although there are now reports of silent maneuvers to end the row through diplomacy...
0 Reactions
148 Replies
12K Views
Kwa hali ilivyo Zanzibar, wakati umefika maamuzi juu ya kuvunjika muungano yafanyike haraka iwezekanavyo. Asilimia 90% ya wazanzibari hawataki muungano. Kwenye kongamno inayoendelea zanzibar...
0 Reactions
103 Replies
9K Views
Yule Kada wa CCM kupitia UVCCM aliyeanzisha sakata la akina EL na RA ataongea na wandishi wa habari leo saa nne asubuhi, hapa Dar es Salaam. CHINI NI TAMKO LAKE FULL TEXT...
1 Reactions
52 Replies
6K Views
Wanajf hii imenichanganya. Katika ziara ya Anan mkoani Mbeya sijamwona Sugu (Mbunge wa Mbeya mjini) bali makada wa CCM tu. Hii inaashiria nini......!!??
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza kufanya maandamano makubwa ya amani mkoani Kigoma mwezi ujao kupinga hali ngumu ya maisha kutokana na mfumuko wa bei na malipo ya fidia ya...
0 Reactions
48 Replies
6K Views
Wakuu habari za weekend? Leo asubuhi nilikuwa nasikiliza dondoo za gazeti la Mwananchi na nikasikitishwa na habari moja.Ni kwamba huyu jamaa wa CUF aliyegombea urais wa jamhuri ya muungano ya...
0 Reactions
64 Replies
6K Views
Maige anatafuta nini Barrick? Na Mwandishi Maalum EZEKIEL Maige aweza kuwa mwigizaji au mtendaji wa dhati. Bali kwa sasa hakuna awezaye kujua nia, shabaha na uwezo wake. Waziri...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa siku za karibuni Umoja wa vijana wa CCM (UVCCM), umekuwa ukitoa kauli zenye utata kati ya viongozi wake. Baada ya kikao cha Bagamoyo, wakaibuka wengine Tabora na kauli tofauti. Mara akaibuka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
baada ya kuusoma na kuuelewa mswada wa marekebisho ya katiba nimegundua kwa nini ccm wanapigana sana vikumbo kwa ajili ya urais 2015,.sababu ni rahisi tu kuijua;kwa mswada huu ambao ni kama katiba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Aprili Mosi 2011 Rais Jakaya Kikwete alilihutubia taifa na kuzungumzia masuala matatu: shughuli ya kutembelea Wizara na Idara za serikali, taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Wakati viongozi wenzake wa kamati za watch dogs, Zitto na Mrema wakiungana na maelfu ya Watanzania kupendekeza sheria za kudhibiti ubadhirifu wa fedha za umma, ikiwemo kuzipa kamati hizo uwezo wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimekuwa natafuta sources za funds za ccm sipati jibu. Hivi karibuni tumewaona Membe na makada wa ccm wakirusha maneno kwa cdm kuhusu funding, Je wao wanalipwa na nani? Wanapata wapi funds za...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
DK SHEIN AONGOZA KIKAO CHA KAMATI MAALUM YA HALMASHAURI KUU YA CCMT AIFA, ZANZIBAR LEO Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM,Dk Ali Mohamed...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Back
Top Bottom