Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Sunday, April 3, 2011 Tanzania is looking to construct emergency power plants to supply 260 MW and has issued a tender for contractors. "A tender has already been announced to seek a contractor...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani wana jamvi naomba tujadili kuhusu mpambano baina ya katibu mkuu wa CCM Yusuph Makamba na ShyRose Bhanji juu ya kauli ya kada huyo (ShyRose) kuwa viongozi wa juu CCM kujisababishia nguko...
0 Reactions
101 Replies
12K Views
Mbunge atoa milioni 6.5/- kwa waathirika MBUNGE wa Igunga, Rostam Aziz ametoa pole ya Sh milioni 6.5 kwa wananchi walioathiriwa na mvua kubwa wilayani hapa WAATHIRIKA wa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Posted Monday, April 4 2011 The East African Community countries will soon have a common draft Constitution in readiness for the Political Federation expected some time in 2015. But first...
0 Reactions
0 Replies
798 Views
I found that the men most in repute were all but the most foolish; and that some inferior men were really wiser and better...
0 Reactions
0 Replies
971 Views
Hii nimeikopi kutoka jukwaa la "Hoja na Habari Mchanganyiko". Nimeona Pale si Mahala Pake. Inakosa Wachangiaji. Lakini hii thread ina hadhi ya Nyota 5. WanaJF Tuchangie: Imeandikwa na...
0 Reactions
65 Replies
7K Views
Naamini lile sakata la kuvunjwa kwa majengo ya Empire Properties Ltd (Masaki) litakuwa na impact mbaya kwa Serikali siku za usoni. Niwakumbushe habari hizi: Samani zavunjwa vunjwa ghorofa za...
0 Reactions
68 Replies
8K Views
River Nile in Egypt. The $85.1 million Tanzanian project will not be received kindly by Egypt and Sudan. Posted Monday, April 4 2011 at 00:00 Tanzania is headed for another diplomatic row...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MAMBO yazidi kuwa magumu ndani ya jumuiya ya vijana wa chama cha mapinduzi (UVCCM) na chama cha mapinduzi baada ya vijana sasa kutaka kuonyesha wazi kutumika kusafisha njia ya urais mwaka 2015...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Muswanda wa kuweka utaratibu wa kuongoza mchakato wa uandaaji wa katiba mpya, unao tarajiwa kuwasilishwa bungeni katika kikao kinachoanza wiki ijayo, kama utapitishwa na bunge kama ulivyo, itakuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauliza wanajamvi: Kwa nini CUF siku hizi wanafanya mikutano yao kimya kimya tu tena katika maeneo ya vichochoroni? Ni tofauti na CDM ambayo mikutano yake hufanyika katika maeneo makubwa na ya...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
  • Closed
POAC yaipongeza PPF kwa clean audit opinion Kamati ya Bunge ya Mashirika ya Umma (POAC), chini ya uenyekiti wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, imetoa pongezi kwa Mfuko wa Pensheni...
0 Reactions
49 Replies
6K Views
WAkati maisha yanazidi kuwa mabovu au kama wasemavyo wenye hekima, kila kukicha heri jana kuliko leo, Watanzania wanazidi kunitatiza. Ukiangalia vyama, badala ya kuangalia uwezekano wa kuweka...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Ama hakika nguvu za CHADEMA zinanatisha, sasa imedhihirika kuwa CHADEMA ndicho chama kinachoongoza kanseli ya Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni badala ya Chama Cha Mapinduzi ambacho ndicho...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Mzee mkinga ambaye amejizolea umaarufu kutokana na uwezo waka wa kuchangia hoja katika mijadala mbalimbali jana alisusia kongamano la katiba lililofanyika UDSM nkuruma hall mara baada ya kukosa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
katika uchaguzi mkuu wa Tanzania 2010 kulikuwa na kioja kimoja ambako mgombea mwenza wa Dr Slaa ambaye alikuwa na elimu ya darasa la saba hii ni ajabu sana kwa chama chenye kujivunia wasomi...
0 Reactions
108 Replies
10K Views
Wakuu amani kwenu Nimefanikiwa kulibamba TAMKO la katibu wa CHADEMA mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Basil Lema alilolisoma mbele ya wandishi wa habari mjini Moshi. Naliweka hapa kwa manufaa ya wasomaji...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
BAADA YA KUWALINGANISHA WENYEVITI WA VYAMA VIWILI VIKUBWA HAPA NCHINI KWA KUDADISI UTENDAJI WAO WA KAZI YAANI KIKWETWE(CCM) Vs MBOWE (CHADEMA), LEO NINAOMBA MAONI YENU NI NANI KIONGOZI BORA KWA...
0 Reactions
53 Replies
5K Views
Wandugu, Wachambuzi wa masuala ya kisiasa nchini wanaweza wakanikosoa lakini kwa jinsi hali ilivyo sasa, naona kama Chama Cha Matajiri (CCM) kipo ICU kinapumua kwa kutumia mashine. Wakati wowote...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Na Mwinyi Sadallah 3rd April 2011 Wanasheria na wanaharakati wametaka katiba ya Zanzibar ibadilishwe ili kumuondolea madaraka makubwa aliyopewa Rais katika uteuzi wa viongozi na uwezo wa kulivunja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom