Wananajamvi nauliza:
Hivi amani huombewa (au huombwa), kuihimiza au kuijenga? Nifafanue kidogo: Hapa nina maana kipi kinakuja cha msingi zaidi kuliko kingine: kuomba tu na kuhimiza kuwepo amani...
Wakuu, mimi ni msomsji wa makala mbali mbali ambazo mwandishi mahiri, Ndimara Tegambwage huzitoa magazetini, hususan kwenye gazeti PENDWA la Mwanahalisi. Kinachonishangaza ni kuwa, kwa karibu wiki...
Muswada wa katiba mpya uliopendekezwa na serikali na hatimaye kujadiliwa na wanaharakati, wanasiasa pamoja na wananchi katika kongamano la pili la katiba iliyoandaliwa na UDASA na kufanyika...
Nimefatilia toka tuanze kujadili suala la katiba hapa JF na wale wanaoandika katika magazeti na hata kwenye runinga neno MAREKEBISHO ya katiba lina tumika sana.
umekuja muswada na wenyewe heading...
rais ameombwa kuminya kiuchumi vyombo vya habari binafsi ili kuimarisha vijarida vitakavyoanzishwa na UVCCM.Mawasiliano kati ya viongozi wa umoja huo yanaonyesha kumwomba rais JK kumuagiza katibu...
Wana JF
Vyama vya upinzania upande wa Zanzibar vinampango wa kuishawishi serikali ya mapinduzi ya Zanzibar kwa maandamano ili nafasi za rais za kuteuwa wawakilishi kumi wateuliwe watu wengine...
Wandugu,
Ni swali la kizushi tu. Katika mawaziri waliopwaya wakiwa ujenzi ni Dr. Kawambwa. Ilikuwa kama wizara haina waziri. Ni kama alipokuwa wizara ya maji. Lakini nyakati zote hizo hatujawahi...
JK ameendeleza rekodi yake ya kusema hajui na anashangaa kuhusu mambo muhimu kabisa ya maisha haya ya watanzania.Alinukuliwa akisema(na ameungwa mkono na Waziri Mkuu wake,Pinda) kuwa hajui kwanini...
Nimeangalia news za chanel ten na clouds tv wametangaza yule MKUU wa Idara ya Organaizesheni Kampeni na Uchaguzi wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Faustine Sungura amelazwa katika Hospitali ya Taifa...
KADA wa (CCM) David Msuya Mkazi wa Kibaha mkoani Pwani amemshukia Katibu Mkuu wa CCM Yusufu Makamba akidai ameshindwa kukiongozi chama hicho na kumtaka ajiuzulu.
MwanaCCM huyo amesema...
Ndugu Zangu wana JF,
Nimejaribu kupitia kwenye website ya bunge kutafuta namba ya Mbunge wangu wa Nyamagana Bwana Dibongo Wenje lakini nimekuta profile yake hainna contacts zozote na nikaenda...
Kati ya mambo aliyoyaongelea ni kuhusu suala hili la kutoza kodi kwa kutumia mashine hizi. Alisema anawaomba wafanyabiashara watoe ushirikiano kwa kutumia mashine. Sasa ninajaribu kujiuliza...
BARAZA LA VIJANA CHADEMA MKOA WA ARUSHA(BAVICHA)
P.0.BOX 12525
ARUSHA
TEL.0754 834152
Email.arushabavicha@gmail.com
Tovuti ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
TAMKO LA BAVICHA...
Tofauti na ilivyokuwa tabia yake huko nyuma ya kuamini kuwa Wizara ya Ujenzi na wakala wa barabara TANROAD ndio Alfa na Omega katika masuala ya barabara, jana wakati wa uzinduzi wa barabara ya...
siku za hivi karibuni BAVICHA imekuwa na nguvu na kuonekana kuwa imetengwa sana, naomba kujua kwa undani zaidi.je malengo yaliyowekwa yanatekelezwa? Je vijana wameisha wafikia au watawafikia...
Zanzibar. Amendments to the 10th Zanzibar Constitution have been a catalyst for the overhaul of the Union Constitution, the national chairman of NCCR-Mageuzi, Mr James Mbatia, has said...
Balozi wa EU nchini Mr Tim Clarke amekanusha taarifa zilizotolewa na baadhi ya mawaziri nchini kwamba Chadema inapata msaada wa kifedha kutoka mataifa ya nje (5 kutoka EU).
Bolozi amesema...
MHESHIMIWA JAMES MBATIA WANANCHI TUMECHOKA KUONA UNAKUWA MKEREKETWA WA CHAMA CHA MAPINDUZI.
Mheshimiwa mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi James Mbatia sisi wananchi wa Mkoa wa Kigoma...
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoani Kigoma, imefuta kesi ya jinai iliyokuwa inamkabili Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Mbunge Zitto Kabwe (Chadema) kutokana upande wa mashitaka kushindwa kuleta maelezo ya...
Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema (Bavicha) ngazi ya taifa, linatarajia kufanya uchaguzi mwezi ujao.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mbunge wa Ubungo kwa tiketi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.