Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Habari za siku wana JF? Leo asubuhi tulikuwa tunaangalia kipindi cha 'Tuongee Asubuhi' kinachorushwa Star TV, mada ilikuwa MSWADA WA SHERIA YA KUTUNGA KATIBA MPYA. Mojawapo ya wageni alikuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Katika kuusoma ule muswada wa kupitiwa upya kwa katiba, yapo maneno fulani nimekutana nayo, naomba mnisaidie kwa wanaoelewa hii lugha. (2) In the implementation of subsection(1 ),the Commission...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau naomba kuuliza na mwenye majibu sahihi wanipe hivi huu mchakato wa katiba mpya ni wa Tanzania wa mikoa mitatu tu?Dar Es Salaam, Dodoma na Zanzibar???? Siku walizoweka ni sahihi kwa jambo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa inayoongozwa na Kamati ya Hesabu za Serikali Kuu na ile ya Mashirika ya Umma, zimeibua ufisadi wa kutisha ulioligeuza taifa kuwa shamba la bibi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tangu kuzinduliwa kwa bunge hili la kumi wananchi wengi wamekuwa wakionyesha kutoridhishwa na utendaji kazi wake. Chazo cha kutokuwa na imani na bunge hilo hasa kinatokana na hisia zilizojengeka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakenya wanne wanaodai waliteswa na utawala wa kikoloni wa Uingereza katika jitihada zake za kukandamiza harakati za kundi la Mau Mau,wamefungua kesi jijini London. Kundi hilo linalodai fidia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Country Tanzania United States Leader President: Jakaya Kikwete President: Barack Obama Population 40,213,200 303,825,000 GDP per capita $1,400 US...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Yale mambo ya zomeazomea yaliyowakumba makada wa CCM na UDP,Prince Bagenda na John Momose Cheyo pale katika Ukumbi wa Nkrumah-UDSM,jana yaliwakumba Makada wawili wa CCM:Jaji Joseph Sinde Warioba...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
TANZANIA tumeanza kushindanisha watu kwenye kugombea urais tokea mwaka 1995. Kwa lugha nyingine ni katika chaguzi kuu nne (1995, 2000, 2005 na 2010) ambapo tumeshuhudia nchini mwetu mtu...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau wanahoji? kwa nini? mwanza ina zaidi ya 1/3 ya waTZ wote. kwa nini imetengwa? kwa nini tukusanye maoni kwa kutumia vijiwe vya waswahili wa Pwani tu? wadau wanauliza.
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Sammy Makilla HIVI majuzi Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, alizungumzia umuhimu wa wana-CCM wenzake kutambua umuhimu na faida za kuzungumzia mambo yanayowahusu pale panapostahili na sio ovyo ovyo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tumeona jinsi gani hiki chama ccm na viongozi wake wanacho tarajia kukifanya juu ya katiba yetu. Ukweli ni kwamba, tulioyaona mwaka jana sio uhujumu ila na vita vilianzishwa kuwa kandamiza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu Mh. Samwel Sitta, napenda kutumia nafasi hii kukupa taswira halisi ya kile nionacho mimi katika swala zima la siasa. Katika tafakari yangu kwa muda sasa juu ya maisha yako kisiasa, huku...
1 Reactions
47 Replies
5K Views
By Guardian on sunday correspondent Just before I started –off for LUSAKA, I was in Dar es Salaam on the new year eve and for me it was one of those rare opportunities that I could watch...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Barua ya Wazi kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar On April 6, 2011 Na Dk. Yussuf Saleh Salim Mheshimiwa Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi, MUWAZA inakuandikia ukiwa kama...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
KAMPUNI ya Dowans Holding SA na Dowans Tanzania Ltd, zimeiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam itupilie mbali mapingamizi waliyowekewa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
BARAZA Baraza la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Arusha limemfukuza Mjumbe wa Baraza la Vijana Taifa anayewakilisha mkoa huo, Mrisho Gambo, kwa madai ya kukihujumu chama...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
…kambi ya upinzani inaona umefika muda wa vyombo vya habari kutangaza kwa lugha za asili…. Haya ni maneno ya mbunge wa Mbeya mjini (CHADEMA) Bw Joseph Desmund Mbilinyi ambaye...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Kinachoonekana kwa sasa CCM nivikumbo kama mtu anavyokuwa anapita kwenye msongamano wawatu wengi akiwa ameitwa mbele jinsi anavyokuwa anapangua watu ili akaitike wito!!Mzee mengi Kauli yake ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mh Zitto Ameuliza swali pesa zinazotumika kulipa mafuta mazito na wizara ya nishati na madini ili hali hizo pesa hazikuwa outlined kwenye bajeti ya 2010/2011. Je hii imekaaje, Amelijbu kisiasa...
1 Reactions
39 Replies
4K Views
Back
Top Bottom