Pamoja na mabadiliko ya JK, bado pressure ipo kwa JK kuwapendelea Wakristo ktk masuala ya uongozi. Chaguo la Mukama ni kuonesha ni jinsi gani kwamba Wakristo bado wanapendelewa ktk nafasi za kazi...
Huyu mtu ni nani katika nchi hii?
Nilimnukuu kwenye clip moja ya ITV jana akisema hata kama kuna utata kwenye matokeo utakaosababisha mawakala wa vyama kugoma kusaini form za kukubali matokea...
Wakubwa,
Hatimaye Makamba ndo hivyo tena kapitiwa na mkumbo wa mageuzi ndani ya CCM, Ninawasikitikia wale wote ambao maisha yao ndani ya Chama hicho yalitegemea kuwapo kwake. Tufikirie hatima ya...
Baada ya kushindwa uchaguzi Mkuu, CCM sasa yaamua Kutoana macho huko Dodoma. Hebu jiulize :
1/ Kama kweli CCM ilishinda uchaguzi Mkuu mbona sasa wananyoosheana vidole na kupigana huko Dodoma ...
Habari zilizopatikana kutoka Dodoma kwenye kikao cha CCM chini ya uenyekiti wa Rais Jakaya Kikwete zinaeleza kuwa baadhi ya viongozi waadamizi wa chama hicho wamevuliwa madaraka.Kwa mujibu wa...
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, amevunja Kamati Kuu pamoja na sekretarieti ya chama hicho inayoongozwa na Katibu Mkuu, Yusuf Makamba.
Hatua hiyo imechukuliwa usiku...
Baada ya Shitambala kujitosa mwenyewe baharini, ninaanza rasmi kumpigia chapuo JM (Sugu) ashike hatamu za CHADEMA mkoani Mbeya. Ni wakati wa vijana sasa, na anaweza.
Kwa kadiri mambo yanavyokwenda na kwa kadiri siku zinavyokwenda ndivyo mzigo wa Matumaini ambao Rais Kikwete alichutuma kuubeba ndivyo unavyozidi kuwa mzito na unaozidi kumuelemea.
Kwa mtu...
kunatetesi zinazoenelea kuzagaaa huku mitaani yakuwa mh LEMA huenda akawa NAIBU katibu mkuu wa chama hicho. nahili linatokana na mh zitto kushindwa kufanya kazi za chama kwa muda mrefu sasa na...
Wana JF naomba kujua kama mtanzania wa kizazi kipya, miaka ya nyuma Taifa la Tanzania lilikua na Ideology [Itikadi] ambayo kupitia mfumo wa chama kimoja Idelogy ya chama ndio ilikua Idelogy ya...
Saturday, 09 April 2011 08:39
Salma Said, Zanzibar
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Othman Masoud amesema Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania halina uwezo wa...
kwakweli ni jambo lakusikitisha ambapo naona watanzania tupo kwenye hali ngumu katika maeneo mbali mbali,hasa kiuchumi,lakini ni jambo lakusikitisha serikali inapojitwisha mzigo wakulipa deni la...
nimeangalia jicho la habari star tV leo asubuhi,nimesikitishwa na mwanaJF mmoja anaitwa Kigwangala(mbunge wa nzega) kuupotosha uma kwa makusudi kabisa. anaseme CHADEMA walisema wangeandika katiba...
Hivi viongozi wa CCM wamelogwa au? wanaugua ugonjwa gani? mbona hawatuambii wana ugua nini? Lakini kila siku wako kwenye msururu wa kwenda Loliondo kwa babu?
Nauliza maswli haya kutokana na...
Vigogo wa KENYA washtakiwa The Hague ICC.
Leo ndio leo katika historia, washukiwa hawa watatu watawasili saa nane mchana leo kusomewa tuhuma.na tarehe ya kusikiliza ushahidi wa kufungua kesi (...
Saturday, 09 April 2011 09:10
Midraji Ibrahim, Dodoma
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema Jumamosi ijayo kitafanya maandamano nchi nzima kupinga muswada wa sheria wa...
• Adaiwa kuwa chanzo cha kuvurugika kwa kura za maoni
MZIMU wa kuvurunda kwa uchaguzi wa kura za maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), umemwangukia Katibu Mkuu wa chama hicho taifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.