Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Saturday, 09 April 2011 HATMA ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuf Makamba inatarajiwa kujulikana kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama hicho kinachoanza leo. Kikao...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Virusi vinavyoitafuna ni CCM ni RUSHWA na UFISADI miongoni mwa WanaCCM. Ninaomba kueleza: Ukianzia ngazi ya shina, tawi, kata, wilaya, mkoa hadi taifa kuna watu wanaojifanya kuwa CCM ni yao...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanajamvini nilikuwa naangalia taarifa ya habari Channel 10 kuhusu sakata la dodoma nillkichokiona kwa Lema ni kuwa huyu ni mtu jasiri. Mkuu wa mkoa anasema "kuanzia sasa wanasiasa hawaruhusiwi...
2 Reactions
89 Replies
8K Views
Nilikuwa namsikiliza Waziri kivuli wa sekta ya utamaduni Joseph Mbilinyi au Mr. 2 kupitia Chadema. Akiwasilisha kambi ya Upinzani anadai vyombo vya habari viruhusiwe kutangaza kilugha. Msikilize...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Ni tabia ya mchawi kuwa anapoona sasa anakaribia kuumbuka huwachonganisha watu kwa kauli na vitendo vyake. Uchawi ni wa kwenu ninyi wenyewe kama mlinunua ama kurithishwa sisi halituhusu; pokeeni...
4 Reactions
3 Replies
1K Views
PLANS are under way to construct a coal power station that will produce 120 Megawatts of electricity in attempt to compliment government efforts to end power woes. The power plant will be...
0 Reactions
2 Replies
938 Views
Chadema yakwamisha bajeti ya Jiji Arusha Imeandikwa na Na Prisca Libaga, Maelezo, Arusha; Tarehe: 8th April 2011 @ 23:59 Imesomwa na watu: 138; Jumla ya maoni: 0...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hali zenu wanajamii!!! Mwenzenu nina mdogo wangu kamaliza Chuo kikuu cha Dar Es Salaam mambo ya biashara. Miaka mitatu sasa anatembea kutafuta kazi hajapata hata kama ana first class...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Jamani wana JF, mataifa ya ulaya wanaamini Afrika ni bara la giza. Kuna baadhi ya nchi za Asia wanaamini Afrika ni Bara la watu waliochaganyikwa, wasiojua kipi kizuri na kipi kibaya, Wao...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Wakuu: Jioni hii bungeni; Kuna Mbunge wa Nkasi (CCM). Mh. Kesy amesisitiza kuwa nchi yetu si masikini na kusema kuwa EWURA ( Mamlaka ya kudhibiti nishati na madini) kila mfanyakazi (management)...
0 Reactions
74 Replies
9K Views
Ndugu wanajamvi wenzangu...yafuatayo ni maneno ya wajumbe wa CCM wakimuongelea mwenyekiti wao ambaye wengi tunamjua kama Raisi wa Tanzania “Si rahisi kuwa na maamuzi mazito; tatizo la bwana...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama vile nchi inaelekea mrama hivi...sasa baada ya ile habari ya mabomu Dodoma,na vurugu Dar yote kuhusu katiba, imefuatia hii kutoka Arusha UV-CCM Arusha wanasema wana vijana zaidi ya 9,000...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Wana JF, Hebu naomba kujua uhai wa chama katika Mikoa hii mbona sisikii saana nguvu ya CDM katika mikoa hii. Kwa nini isifanyike jitihada ya hali na Mali katika kukiweka chama king'ae katika...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu zangu, Nilikuwa kimya muda mrefu lakini tangu Mswada huu wa kutunga sheria ya kutunga katiba mpya utoke nimekerwa na vitendo vya serikali na Bunge kiasi kwamba nimelazimika kujitokeza...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Rais JK, inavyoonekana ni kama kadanganywa issue ya ujenzi jangwani, ambapo jana aliagiza ujenzi usimamishwe mara moja na kubomolewa... Leo ITV habari saa mbili usiku. Mafundi na wachina wanasema...
0 Reactions
63 Replies
7K Views
Katika mahojiano na TBC radio saa 1.30 asubuhi leo akifafanua sababu za kuzuia maandamano ya waislamu kupinga uvamizi wa Libya. Mtangazaji akataka maoni yake kuhusu ongezeko la maandamano tz...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Katika gazeti la Mwananchi la leo juu ya habari inayohusu vurugu iliyotokea jana kwenye public hearing ya mswada wa sheria ya marejeo ya katiba kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Chadema wamekabidhi rasmi hundi yenye dhamani ya 5mil kwa familia ya hayati Denis,tukio hilo limefanyika leo,ingawa familia ya Ismail hawakuwepo baada ya wao wenyewe kujikoroga.Hayati denis...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tunaomba sana muanzishe kodi mpya ya Michango ya Harusi, ambapo Kiwango cha Kodi kinachopendezwa kwa Kila Harusi inayochangiwa fedha kiwe ni asilimia 99.999. Kodi Hii Mpya Inapendekezwa Kuanza...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
wadau wenzangu nimechoshwa na haya matamshi ya kuwaona watu wasiopo chadema hawana mawazo mazuri. Pale karimjee wakati tambwe hiza akiongea upupu wake hata wana ccm walimzomea lakini cha ajabu ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom