Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Aprili 6, 2011 Makamba kung'atuka rasmi Makundi yakamiana Wataka nuksi kwa chama watoswe KIKAO cha Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinachotarajiwa kufanyika mjini Dodoma...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Hizi ni baadhi tu ya nukuu za Saif al-Islam-mwana wa Gaddafi. Bado atatoa kauli nyingi nyingine. Tuzijadili hizi wakati tukisubiri hizo mpya. Yaweza kuwa kweli, pia yaweza kuwa propaganda Sayf...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wawakilishi wa vijana katika vyama vya ccm,chadema,cuf wanaunguruma radio wapoFM 98:0 live wakijadili mambo mbali mbali yanayohusu vyama vyao. Tutawajuza zaidi kwa kadri tutakavyofuatilia. .
0 Reactions
25 Replies
3K Views
MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, John Tendwa amesema yupo sahihi katika utendaji wa kazi yake, kwa kuwa anafuata sheria na kwamba endapo Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kitapuuza...
0 Reactions
57 Replies
5K Views
Wakuu, kwakuwa doc hii ni ndefu, nashauri watu wai-download as an attachment hapa chini
2 Reactions
41 Replies
4K Views
Makamu wa rais wa kenya Kalonzo Musyoka amezijia juu taasisi zinazofanya opinion polls na kusema ni wachochezi na kuitaja Synovate kama mojawapo ya taasisi hizo. Alisema haiwezekani mtu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa mtindo huu,ni wabunge tu na matajiri ndo wanao furahia maisha,...wengi tuna washabikia katika siasa kumbe ni mlango wa ninyi kujipalia ulaji na kutusahau watanganyika wengine,.. Kwanini...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
ni swali lililoulizwa na Mchungaji Peter Msigwa. Kwamba muswada huu wa Katiba umeandikwa kwa ung'eng'e, halafu tunasema tutaupelekwa kwa wananchi, ambao kimsingi wengi wao hawajui Kiingereza, Je...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Sasa hivi naona LIVE bungeni dodoma kupitia TBC,wenyeviti wa kamati za bunge wakiwakilisha taarifa zao,inavyoonekana ni kama wamewafunika mawaziri wa serikali ya ccm,je kuna haja ya kubadili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tuesday, 05 April 2011 19:34 Waziri wa Ardhi, Maji, Makazi na Nishati wa Zanzibar , Ali Juma Shamuhuma Salma Said, Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imekataa kulipa deni la umeme...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
MBUNGE mwingine wa Chadema, Tundu Lissu ameingia matatani baada ya Spika wa Bunge, Anne Makinda, kumtaka kuwasilisha uthibitisho wa madai kuwa Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, alisema...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mh. Tundu Lissu amemwuliza Ngeleja kuhusu kampuni ya madini ambayo imechukua maeneo ya wakazi wa Singida Mashariki bila fidia na kujenga kiwanja cha ndege kwenye mashamba ya wananchi. Na...
0 Reactions
87 Replies
10K Views
Remember those trips to the tent in Sirte, when you left with bulging briefcases? By JENERALI ULIMWENGU Requiem mass — or more appropriately, the khitma — may have to wait. Muammar...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Inasemekana katika kile kinachoonekana kama nikujijenga na kuangamiza maadui waliojitokeza katika kinyanganyiro cha uchaguzi wa spika Mh anna makinda amepangua safu ya watendaji ndani ya bunge kwa...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Baada ya Tanzania kumpata spika mwanamke wa kwanza na kuandika historia mpya ya bunge la nchi hii unaweza kusema nini juu ya utendaji wake so far. Kuna matumaini yeyote ya kupata ufanisi wabunge...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wadau, Sasa ni muda mrefu kidogo toka melody za nyimbo za uhamasishaji za CDM kutoweka kwenye mitandao ya simu hasa Airtel bila kutolewa sababu yoyote. Jambo hili limewasikitisha wadau wengi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kagoda scandal queries resurface in Bunge Ubungo MP (Chadema), Mr John Mnyika By Mkinga Mkinga The Citizen Reporter Dodoma. Queries over the outcome of the investigation on the involvement of...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanajamvi baada ya Prince Bagenda kuonekana mamluki ambaye hakubeba ujumbe wa CCM jana kwa nini rz1 asingetumwa kwa kuwa ana uelewa wa chama na serikali na bba yake amekuwa akimtumia katika...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Jana kwenye taarifa ya habari kulikuwa na kioja ambapo waziri Gaudencia Kabaka alikuwa anatoa taarifa kwa bosi wake juu ya utendaji wa Machinga Complex. Kwa mtu mwenye madaraka ya waziri kutokuwa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Tofauti kubwa imeendelea kudhihirika kati ya CUF Zanzibar na CUF Tanzania, baada ya maoni ya Hamad Rashid juu ya muswada wa katiba kupingwa hadharani na Naibu Katibu Mkuu (Bara), Julius Mtatiro...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom