Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Amechokoza kujivua magamba ndani ya ccm wakat moto wa katiba tayar umewashwa.Je ataweza kumudu?Au nchi itamshinda?Ana ubavu?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Baadhi ya wagosi (watu watokao na wanaoishi mkoa wa tanga) wamefurahishwa sana na kitendo cha mzee makamba kutoka ndani ya ccm. Wengi wamefurahia suala hilo haswa kwa sababu ya ubabe,dharau,kebehi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hata kama sektetary ya ccm viongozi wake wamejiuzulu pana tija gani kwa taifa!?,huu unaweza kuwa mchezo wa kisiasa kuwanyamazisha wananchi wakiingia wengine wanakula vilevile kiasi mpaka mje...
0 Reactions
2 Replies
891 Views
Wana JF Baada ya Jimbo la Mbeya Vijijini kuchukuliwa na CCM wananchi walitoa malaamiko kuwa Shitambala aliuza jimbo kwa Mafisadi wa CCM. Chadema makao makuu wakaingilia kati wakatoa tamko kuwa...
0 Reactions
0 Replies
999 Views
Tatizo la CCM ni mawazo ya kizee na matendo ya kibepari. Kabla ya kubadili uongozi, kwanza wabadili fikra zao juu ya taifa la sasa la tz.. Wasiendelee kuamini kwamba mtanzania wa sasa ndio yule...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Katika hali ambayo haikutarajiwa na wengi, CCM imekiri hadharani kuwa imejaa magamba, na imeanza kuyavua. Lakini tujiulize Magamba yaliyopo ni CC na sektretarieti peke yake? Mimi naona kuwa Gamba...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Nijuavyo mimi chama cha siasa chochote kile, kinaundwa na sera zake na wala siyo viongozi. Kwa mantiki hiyo sera za CCM kamazilivyokuwa zimebuniwa na waasisi wa chama hicho zilikuwa zimejikita...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimejaribu kufuatilia threads mbalimbali juu ya yaliyotokea huko Dodoma. Nimeona wachangiaji wengi kama akina Field Marshall, etc wakiwafagilia watu walio ndani ya CCM kwa mabadiliko hayo. Pia...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
CCM Mbeya Mjini yajipanga kukomboa jimbo 2015 Imeandikwa na Na Joachim Nyambo, Mbeya; Tarehe: 8th April 2011 @ 23:59 Imesomwa na watu: 80; Jumla ya maoni: 0...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ndugu wana JF, nifananishe CCM na Mfumo wa ukuaaji wa wanadamu. Tuanzie na mfumo huo kuanzia Utoto, Ujana na Hadi Uzee, Mwili wa Binadamu hukuaa na kufikia UZEE ambao ndio UKOMO WAKE. Hata kama...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu.Habari za Jumapili. Leo tena tunaendelea na harakati zetu za kujipenyeza na kuwekeza kwa Vijana wa Vyuo Vikuu.Vijana wa CHADEMA Dodoma wameandaa Kongamano kubwa la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu...
3 Reactions
167 Replies
15K Views
Taasisi ya kimataifa inayojihusisha na Tafiti za Kukuza Utawala Bora Afrika (JPF), imesema hali ya kisiasa nchini ni tulivu na yenye amani tangu kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu wa Wabunge na Rais...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sunday, 10 April 2011 23:19 By Moses Mashalla The Citizen Correspondent Arusha: The Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) founder Edwin Mtei yesterday came out to support the call by...
0 Reactions
0 Replies
864 Views
Inasikitisha: Ni umbali wa km kama 2 tu, toka ukumbi wa BUNGE la JMT, ambapo wabunge wa CCM, CDM et al. na mawaziri hukutana, kuna Hospitali ya mkoa wa Dodoma ambapo wanawake wazazi hulala chini...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Tibaijuka: I am not a dictator The UN agency’s fortunes could decline, as the UK has withheld funding, accusing its management of lack of transparency, irregularities and highhandedness when...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wazee, Miongoni mwa hazina kubwa ya ccm ni Bw. Wilson Mukama. Huyu jamaa ni kifaa na hivi karibuni ametumika sana kujaribu kufunikafunika uchafu wa ccm na serikali yake. Inawezekana jk akamteua...
2 Reactions
70 Replies
12K Views
Katibu wa mkoa bw Eddo Makatta.anatoa tamko la chama,kwanza anaanza kwa kusema kuwa kuna maandamo tarehe 16 yatakayoongozwa na mh Freeman Mbowe,kupinga mswada wa katiba,kuhusu Shitambala anasema...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
wakuu, Taarifa zilizotufikia humu jamvini ni JK (mwenyekiti wa CCM) Kulalamika kuwa CCM kuendelea kutegemea wafadhili matajiri ni kuhatarisha uhuru wa chama. Maswali ya kujiuliza hapa ni kuwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tukitaka kuangamia vibaya Wz’bar nikuendelea na mjadala wa mswada wa katiba bila ya Tanganyika na kero za Muungano kujadiliwa wazi. Written by mkulima // 10/04/2011 // Habari // No comments...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom